Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Sasa matusi ya nini yahkee? Mimi kwa mfano ni mkristo. Simusapoti Israel kwa sababu ya ukristo wangu, la hasha. Israel wengi bado wanaheshimu uyahudi wao, dini kongwe kuliko Ukristo na Uislam.

Namsapoti Israel kwa sababu ya historia. Historia inatuambia Jerusalem ni jiji lililojengwa na waebrania=Israel=wayahudi. Umejengwa kwanza na Daud, lkn Suleiman akafanya kazi kubwa zaidi. Hata majina ya miji hiyo, yanasadifu uzayuni kuliko upalestina. Hiyo tu ni ishara tosha kuwa ni miji mikongwe ya wazayuni au waebrania.

Wote tunafahamu kupitia historia kuwa, Isaak na Ismail wote ni watoto wa Ibrahimu ambaye ni mrithi wa ahadi za Mungu. Tofauti iliyopo kati ya Ishumael=baba wa wapalestine na Isack=baba wa waebrania, ni kuwa mmoja alikuwa na mchanganyiko wa damu yaani Ebrania+Egypt wakati Isaak alikuwa pure Israel au myahudi.

Tofauti nyingine ni kuwa, Isack ni mtoto wa ahadi, wa kurithi mahali pa Ibrahimu, lakini Ishumael alifukuzwa na kuwa mkimbizi mbele ya ndugu yake Isack. Pengine hata kuoa alioa kwa warabu kuliko kwa waebrania.

History inatuambia pia, Israel walipokosa, walinyang'anywa nchi na vyote viijazavyo, wakachukua wengine, lkn historia hiyohiyo inasema ipo siku huyu aliyefukuzwa atarudi kwake, aendeleze maisha hapo.

Utata uliopo, umekimbia miaka mingi iliyopita, unarudi unakuta watu wamejimilikisha eneo lako. Je kudai eneo ambalo ni mali yako, ni kosa?

Wewe umejenga mji wako huko, baadae ukakimbilia mjini wengine wakauendeleza. Baadae maisha yamekupiga, unaamua kurudi kwenye mji wako, unakuta watu wameendeleza lkn unakumbuka hakika nyumba uliyoiacha ulivyo ijenga. Je kudai mali yako hiyo ni kosa?

Kama Palestine wanadai wao ndo walioubuni mji huo, iweje ukose majina ya kipalestina au kiarabu lakini uwe na majina ya kiyahudi?

The best solution ni kuwafanya watoto wa Ibrahimu kukaa pamoja kama familia, lakini kitendo cha Palestine kuwaona Israel hawastahili wakati wao ni mazao ya kuchepuka tu, wanajidanganya.

Vitisho vyao havitaiyumbisha Israel, na siku zote wameonesha hivyo. Tangu mwaka 1948, wameonesha wana uwezo kuliko Palestine. Cha msingi wakae wayamalize kama watoto wa baba mmoja siyo kujifanya wajuaji.
Hivi unajua ufalme wa Kabaka ulikuwa instilsunafika hadi Bukoba so Kagera ni Uganda?Hivi unajua Kenya na Ethiopia kuna majimbo yanakaliwa na Wasomali pekee kwa hiyo Somalia wayadai?.Ukifuata historia mipaka yote itabadilika ndo maana tuliambiwa tuheshimu ile iliyoachwa na wakoloni.Israel ilitawaliwa na kusambaratishwa na wakoloni kadhaa,kwa hiyo wasiwalaumu Wapalestina
 
Eti najishitukia... ni nani anajishitukia kati yangu na wewe ambae unatoa maelezo mareeeeeeeeefu, kujaribu kukataa ukweli kwamba:
View attachment 798019
Mwaka 2016, Obama Administration ndiyo iliidhinisha huo msaada wa $38 Billion na bado wanataka kuwaongezea.... sasa wewe endelea na porojo zako kwamba eti hizo pesa US wananunua teknolojia Israel wakati ushaambiwa kabisa ni military aid!!!

Jerusalem Post, hawa hapa chini:
View attachment 798065

Wenye Israel yao hao hapo juu wanakuambia wazi kwamba ni military aid halafu wewe unakuja na ngonjera eti pesa anazotoa US kwa Israel ni kwa ajili ya kununua silaha na teknolojia!!

Congressional Research Service wanapigilia msumari hapa chini:
View attachment 798069

Sasa endeleeni na porojo zenu kwamba eti Israel haipigiki kwa sababu ni taifa teule wakati ukweli ni kwamba kuna wanaume wanalipia ulinzi wa Israel!!!
Mkuu wenye akili wamekuelewa achana naye huyo mfia dini aliyekaririshwa mambo ndio maana ana argue bila facts..... hivi hajiulizi kivipi ''taifa teule'' wachinjwe kama kuku na hitler?? ....hamna logic kabisa hapo maana kama wangekuwa ni taifa teule basi hata hitler asingeweza kuwaua kama mende
 
Hujui Politics wewe dogo kaa hivyo hivyo tu there is no free lunch in this world American they are getting something in return na Usisikie Misaada tu kisiasa kuna mkopo pia huitwa Msaada i told American are not fool kugawa hivyo pesa hovyo... kafanye uchunguzi.
Hivi nyie wafuasi wa "Taifa Teule" hamjaambukizwa uginiasi na Wayahudi?! Unaleta leo mambo ambayo nimeshayaongea tangu majuzi pale niliposema kwamba:
Anayesababisha ni Marekani mwenyewe kwa faida yake...

Kwa mfano, mkataba niliogusia ulikuwa unaitaka Israel kutumia 75% ya msaada kununua vifaa vya kijeshi toka USA!
Kwa maana nyingine, kiwango kikubwa cha misaada ya US kwa Israel kinarudi US kwenyewe!
Huna cha kunifundfisha, labda mimi nikufundsishe wewe! Tangu juzi nimesema anayefaidika na hiyo misaada ni US mwenyewe in other way round! Nikachambua kwa mapana na marefu bila kuhangaika kwenda ku-Google kama ulivyofanya wewe kwenda kuokoteza articles za wafuasi wenzako wa Taifa Teule!
Under the 2010 US budget, about $75 billion, $65 billion and $3.25 billion will be spent on military operations and aid in Afghanistan, Iraq and Pakistan during this fiscal year, respectively. Israel will receive $3 billion, in military aid only. There is no economic aid to Israel, other than loan guarantees that continue to be repaid in full and on time.
Kwahiyo mwenyewe hapo ume-bold, ukaona haitoshi, ukapiga na nyekundu kabisa ukidhani ni bonge la point!!!

We jamaa, uwe unasoma kwa vituo, elewa kisha jibu hoja badala ya kukurupuka!! Hoja ilikuwa ni nguvu za kijeshi za Israel na ndipo nikasema, MSAADA WA KIJESHI anaopata Israel toka US, hata kama tungepata Tanzania nasi tungekuwa hatukamitiki! Mwandishi wa hiyo makala, Steve Rothman ni Dem na alishawahi kuwa kwenye House of Reps. Rothman ni advocate mzuri wa Israel!

Hapo Rothman analalamika jinsi US inavyotumia billions in MILITARY AID kwa Israel BUT
There is no economic aid to Israel, other than loan guarantees that continue to be repaid in full and on time.
Na ndio maana, kabla ya hiyo uliyodhani ni bonge la point kwako, alianza kwa kusema:
Israel will receive $3 billion, in military aid only
Kwamba, wakati Israel ilipokea, by the time, $3 Billion in MILITARY AID but there's no ECONOMIC AID!! Lakini kutokana na ushabiki maandazi ulionao kwa "taifa teule" au probably inawezekana lugha na yenyewe ikawa ni kikwazo kwako; basi ukadhani hiyo $ 3 Billion mkopo!!! Jomba, ni msaada huo...


That having said, suala la Israel kupokea msaada wa zaidi ya TZS Trillion 8 kwa mwaka lipo pale pale... acha ushabiki maandazi kwa Israel wakati kila apendae kufahamu, anafahamu backup wanayopata Israel toka USA!

Maelezo kwamba:
FIRST, IT’S important to remember that about 70 percent of the $3 billion aid must be used by Israel to purchase American military equipment. This provides real support for US high- tech defense jobs and contributes to maintaining our industrial base. This helps the US stay at the very top in the manufacturing of our own cutting-edge military munitions, aircraft, vehicles, missiles and virtually every defensive and offensive weapon in the US arsenal – with the added contribution of Israel’s renowned technical know-how.
Hayo ni maelezo ya kawaida kwenye masuala ya uhusiano/ushirikiano wa kimataifa! Hata Afrika ndivyo tunavyosema kwamba, misaada ya Wazungu kwa Afrika inawanufaisha Wazungu wenyewe... wanachukua dhahabu na almas yetu, wanachukua mazao yetu ya kilimo, wanachukua kila aina ya raslimali zetu zinazoenda kujenga uchumi wao na kuongeza ajira kwao!

Na kwamba, hata hiki wanachotupatia kama misaada is just a peanut of what they take from Afrika!

Na hoja kwamba:
Third, given Israel’s strategic location on the Mediterranean, with access to the Red Sea and other vital international shipping and military lanes of commerce and traffic, it is critically important to the US that Israel continues to serve as a port of call for our troops, ships, aircraft and intelligence operations.
Ni hoja ambayo nilishaongea tangu juzi kuonesha jinsi Middle East ilivyo strategic location kwa US pale niliposema kwamba:
Aidha kuna siku niliwahi kuelezea hapa; ukiacha simulizi za kutaka mafuta, ni kwanini US wanang'ang'ania Middle East!

Nikasema kwamba, Middle East ni makutano ya world's military superpowers... yaani Russia & US!

Ukisoma jinsi Soviet ilivyokuwa inajitanua enzi hizo, ilikuwa tayari imeshaimeza West Asia na ilikuwa inakuja Middle East. Ni kutokana na hilo ndio maana yapo mataifa ya Kiislamu kutoka West Asia ambayo yalikuwa sehemu ya Soviet Union!

So, ili US kui-block Soviet isijitanue zaidi; wakalazimika kupiga kambi Middle East na kudumisha uhusiano na washirika wake!

Inafahamika, ni Israel na Saudi Arabia ndio washirika wakubwa eneo hilo!

Bila shaka hata kama wewe ungekuwa ndie mwenye maamuzi ndani ya US halafu unatakiwa uwekeze wapi mabilioni ya US kati ya Israel na Saudi Arabia ili kuendeleza ushawishi wako ndani ya Middle East; bila shaka ungeamua kuwekeza Israel badala ya Saudi Arabia!
Hiyo ni hoja niliyoongea tangu juzi. Ukiangalia kwa makini, utaona ni hoja iliyokaa from personal judgment/analysis na sio wewe uliehangaika kwenda Google halafu bado unadai eti unajua siasa!!!

Hapo kwenye BLUE & RED nilisha-conclude tangu juzi ni kwanini US ni muhimu kwao kuisaidia Israel compared na mshirika wake mwingine (Saud Arabia) ambae, hata hivyo, ni mshirika asiye na njaa ya kutaka kusaidiwa!

Israel also has permitted the US to stockpile arms, fuel, munitions and other supplies on its soil to be accessed whenever America needs them in the region.
Hivi nyie wafuasi wa Taifa Teule huwa mnasoma kweli?! Hili na lenyewe si nimeshaliongelea tangu juzi pale niliposema:
Huo upande mmoja. Kingine: je umewahi kusikia kitu kinaitwa WRSA-I; yaani War Reserve Stockpile Ammunition-Israel?

Kama hujawahi kusikia, hiyo ni kama ghala la Kijeshi la Marekani lililopo Israel na lina kila kitu kinachohitajika kwa vita!

Hii maana yake nini? Leo hii US au Mshirika wake wa kijeshi akitaka kumshambulia Iran; hana haja ya kwenda US kukusanya mzigo kwa ajili ya kuingia vitani kwa sababu tayari wana stock ya kutosha waliyoiweka Israel!

That having said, msaada ni mkubwa kv Israeli inatumika pia kama ghala la US!
Aidha kwamba,
Fourth, America’s special relationship with Israel provides the US with real-time, minute-to-minute access to one of the best intelligence services in the world: Israel’s. With Israeli agents gathering intelligence and taking action throughout the Middle East and, literally, around the world, regarding al- Qaida, Hizbullah, Iran and Hamas, among others, the US receives invaluable information about anti-US and terrorist organizations and regimes.
Oh Lord!! What else ambacho sijasema wakati tayari nilishasema kwamba:
Lakini pia usisahau what's so called War in Terror. Kwa miaka nenda rudi; CIA wamekuwa wakiitumia sana Pakistan's Inter-Intelligence Service; yaani ISI!

Hata hivyo, hivi sasa US hawaiamini sana ISI kwa sababu baadhi ya maofisa wake ni ma-extremists!

Ni hawa maofisa ndio ambao pia walisababisha zoezi la kumsaka Osama bin Laden kuwa gumu kwa sababu walikuwa wanavujisha taarifa kwa Al Qaeda!

Kutokana na hilo, ni Mossad pekee ndio wanaoweza kuaminika na US/CIA kwenye ukanda wa Middle East katika kufanya intelligence sharing!!

That having said, ukipenda mtoto sharti upende na mamake na ili watimize majukumu yao ni lazima uwagharamie!
Hujui Politics wewe dogo kaa hivyo hivyo tu there is no free lunch in this world American they are getting something in return na Usisikie Misaada tu kisiasa kuna mkopo pia huitwa Msaada i told American are not fool kugawa hivyo pesa hovyo... kafanye uchunguzi.
Endelea kubaki na kiburi chako cha Uyahudi Mweusi ukidhani kwamba unajua huku ukiishia kupoteza bundle ku-Google kuleta mambo ambayo nilishayaongea kitambo!!!!

But you know what? Do more biased research... utapata articles kibao za Wafuasi wa Taifa Teule wataokupatia maelezo
matamu matamu na utakayopenda ya ni kwanini US wana-invest hizo pesa kwa Israel!

Watakuambia maneno kama vile ni jinsi gani US isivyoweza kuendelea bila Israel... watakuambia jinsi uchumi wa Marekani ulivyoshikiliwa na Wayahudi! Watakuambia jinsi Marekani inavyotegemea Majiniasi ya Kiyahudi na porojo zingine kadha wa kadha!!!

But eh! Be careful kwa sababu, ukikurupuka na hivyo vi-article vyako utaishia kuumbuka mwenyewe!!!!
 
Yaani Mungu awape hekima ya kufuatilia mambo. Kifupi tu ni kuwa hakuna wa kuifuta Israel. Hivi wewe huogopi watu ambao wamesambaa dunia nzima lakini hawasahau kwao? Huoni ajabu watu wamesambaa lakini utamaduni wao unabaki kuwa vilevile bila kubadilika? Huoni tu huo ni muujiza?

Jana niliwaambia kuwa, ukiona mkristo anasema lolote kuhusu myahudi, si kwa sababu ya ukaribu wa dini zao, la hasha, bali ni kwa sababu historia ya uwepo wake mkristo anaijua automatic anavyojifunza imani yake ya Kristo.

Kama UN wangekuwa na akili, ni kujivika madaraka ya Ibrahim na kuwaweka watoto wake pamoja na kujaribu kuwapa urithi, japokuwa israel anaweza kukataa maana mirathi yake imeandikwa wakati ya Ismail haijaandikwa popote.

Kudai maamuzi ya wosia wa baba siyo kosa kwao, japokuwa wanaweza kuwa wanafanya dhambi kuua watu wasio na hatia. Lkn wanadai kilicho halali kwao.
Kwahiyo wajerumani wana haki ya kuja kututawala tena kisa tu kihistoria walipewa hili koloni kwa mikataba na machifu wetu???? Ina maana waethiopia wanaweza enda sudan na kudai warudishiwe nchi yao kisa kihistoria ilikuwa ndio makazi yao yaani kingdom of meroe???

Hivi kwanni mnaaminishwa israel pekee ndio walikuwa na nchi..... Mbona hta makabila mengi tu duniani yalisharithishwa nchi tokea enzi za Nuhu ila leo hawajadai..... Kwahiyo leo wasomali warudi Yemen wadai kwakuwa babu yao wa kwanza Yaani CUSH aliwapa hiyo nchi basi waarabu wa Yemen wawapishe???? Tukisema tufuate nchi za urithi dunia haitokalika maana hta itabidi kagera tuiachie uganda itabidi mara irudi kenya etc kutakalika kweli????

Unaposema hakuna wa kuifuta israel umesoma historia?? Mbona wapersia waliifuta.... Mbona wababylon waliifuta..... Mbona ottoman waliweza kufuya utawala wao hta warumi pia waliweza..... Hata walipohamia ulaya ya magharibi na mashariki bado walifutwa rejea walivyouawa huko urusi na lithuania pia walivyofutwa baadhi ya vizazi na hitler je hao waliwezaje kama ni taifa teule??

Jamani hta kma ni mkristo duniani wote tumeshakuwa sawa..... Kama ni uzao wa Abraham biblia iko wazi wakristo wote mmekuwa uzao wa abraham kiroho sasa mambo ya taifa teule yanatoka wapi???

Anyway nisaidie kujibu hilo swali kivipi walifutwa huko nyuma ila unasema hamna mwenye uwezo wa kuwafuta??
 
Mkuu wenye akili wamekuelewa achana naye huyo mfia dini aliyekaririshwa mambo ndio maana ana argue bila facts..... hivi hajiulizi kivipi ''taifa teule'' wachinjwe kama kuku?? ....hamna logic kabisa hapo maana kama wangekuwa ni taifa teule basi hata hitler asingeweza kuwaua kama mende
Bhana eh, tena kweli! Kuna wengine kuhangaika ku-argue nao ni kujipotezea calories bure! Post yangu ilikuwa purely secular but from nowhere, mtu anaanza kuingiza mambo ya dini! Anashindwa hata kujiuliza kama interest yangu ni udini kwanini Saudi Arabia nimewaita religious extremists... anyway, kwa akili za watu kama hawa atasema mimi ni Shia Muslim!!!
 
Suala la Israel ni gumu sana. Uzuri hakuna aliyewahi kushinda vita apiganapo na taifa teule, wote hushindwa vibaya sana. Hivyo hilo ni suala la muda tu.


IMG_20180521_162412.jpg



Mfalme Wa Kweli Na Wa Pekee Aliyeteuliwa na Mungu Kwa Sasa Ni KING MESSI.

Kwahiyo Hilo Taifa lako Zima la ISRAEL ndiyo tayari limeshashindwa na MESSI mmoja tu.

MY TAKE: YEYOTE ATAKAEAMUA KUSHINDANA NA MESSI BASI ATASHINDWA VIBAYA TU
 
View attachment 798565


Mfalme Wa Kweli Na Wa Pekee Aliyeteuliwa na Mungu Kwa Sasa Ni KING MESSI.

Kwahiyo Hilo Taifa lako Zima la ISRAEL ndiyo tayari limeshashindwa na MESSI mmoja tu.

MY TAKE: YEYOTE ATAKAEAMUA KUSHINDANA NA MESSI BASI ATASHINDWA VIBAYA TU

Hahahaa King Ngwaba nakuaminia babaa..nawewe pia Mungu akubariki huko ulipo Mkuu! Messi kawaumbua hawa waisrael/wauwaji.
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
Mmeshaanza mambo yenu
Ushabiki Israeli vs Palestine kuna jukwaa lenu peleka huko
 
Back
Top Bottom