Messi alikataa kucheza uarabuni kwa shilingi Trilioni 4 kwa mwaka sababu ya sheria kandamizi za dola ya kiislamu zinanyanyasa na kubagua wakristo

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432

Ni mchezaji mkimya na mtulivu sana lakini ana balaa uwanjani, mchezaji pekee ambae ana uwezo wa kupiga chenga mpaka wachezaji 6 na kipa, n.k.

Mwaka 2023 waarabu walikuwa tayari kumlipa Euro bilioni 1.4 kwa mwaka sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni 4 na bilioni 30 lakini aliwapiga chini.

alikataa kwasababu Saudi Arabia ni dola ya kiislam iliyoingiza dini kwenye serikali yenye sheria zinazokandamiza haki za dini zingine, Nchini Saudia
  • hakuna makanisa, wanaoweza kwenda nyumba za ibada ni waislamu tu
  • hurusiwi kusoma biblia hadharani, ni waislam pekee husoma Quran
  • Hurusiwi kabisa kunywa pombe hata kama ni mkristo sababu Quran imekataza
  • Marufuku kula vyakula haram kwenye Quran ya waislam
  • Mfungo wa Ramadan unaowahusu waislam hakuna kula hadharan hata uwe mkristo

 
View attachment 3036696
Ni mchezaji mkimya na mtulivu sana lakini balaa lake la uwanjani ni si la kitoto, Interview za wachezaji wanakiri wenyewe kwamba wakikutana na Messi ...
Kamba hizi Messi ni Balozi wa Saudia kama hufahamu

Ingia Instagram ya Messi umuone anavyovaa kanzu na vilemba vya Saudi akitangaza Utalii wa Saudia.
 
Ubalozi ni ishu nyingine kabisa, Yeye ni balozi wa utalii lakini anaishi nchi nyingine kabisa, Maisha yake ya kidini hayabanwi na sheria kandamizi za dola ya kiislam ya Saudi Arabia
 
Ubalozi ni ishu nyingine kabisa, Yeye ni balozi wa utalii lakini anaishi nchi nyingine kabisa, Maisha yake ya kidini hayabanwi na sheria kandamizi za dola ya kiislam ya Saudi Arabia
Sasa balozi wa Nchi na mtu wa kawaida nani supporter mkubwa wa hizo sheria? Tumia kama dk moja kaa chini fikiria tumia hata 0.1% ya ubongo wako.
 
Sasa balozi wa Nchi na mtu wa kawaida nani supporter mkubwa wa hizo sheria? Tumia kama dk moja kaa chini fikiria tumia hata 0.1% ya ubongo wako.
Ubalozi wa utalii unahusu kuhamasisha watu kutalii majangwa ya uarabuni, kutalii maghorofa marefu, n.k. unatalii siku 2 ama 3 unarudi kwenu kwenye uhuru.
 
Huyu ni Mkatoliki mwenye Imani kweli kweli sio kama lili zezeta la ureno limeingia kwenye propaganda za waarabu

๐Ÿ”น๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Waarabu bado wapo kwenye propaganda ya kizamani ya kushawishi watu maarufu kueneza dini Yao

๐Ÿ”น๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Mpira wao hawatumii kama burudani Bali nyenzo ya kueneza dini Yao

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑUtaona walipoandaa kombe la dunia, waliwaalika akina Zakir Nir wakitarajia atawabadili dini wazungu

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Akina Tyson, wachezaji maarufu wa zamani akina Pogba, Adebayo nk wamelipwa hela nyingi eti wa influence washabiki wao wawafuate

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Hilo jinga jinga la ureno halijabadili ila linatumiwa kwenye propaganda

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Mwarabu siku zote chochote anachokifanya ni kufanikisha kueneza dini yake
 
Ubalozi wa utalii unahusu kuhamasisha watu kutalii majangwa ya uarabuni, kutalii maghorofa marefu, n.k. unatalii siku 2 ama 3 unarudi kwenu kwenye uhuru.
Kwa hio siku 3 sheria inafutwa? Leo hii mtalii akija Tanzania sheria zetu hazimhusu?
 
1920 Saudi Arabia lilikuwa jangwa Tanganyika wakati huo ilikuwa na Utajiri na Rasilimali nyingi kuliko Saudia.

Leo Saudia inawakopesha nchi kibao mpaka za Ulaya, wana Uchumi zaidi ya Mara 10 ya uchumi wetu.

We kaa na mawazo yako mgando hayo hayo, ukiamka asubuhi unafikiria kitu gani kipya cha kulalamika.
 
Mhhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ