Messi alikataa kucheza uarabuni kwa shilingi Trilioni 4 kwa mwaka sababu ya sheria kandamizi za dola ya kiislamu zinanyanyasa na kubagua wakristo

Messi alikataa kucheza uarabuni kwa shilingi Trilioni 4 kwa mwaka sababu ya sheria kandamizi za dola ya kiislamu zinanyanyasa na kubagua wakristo

1920 Saudi Arabia lilikuwa jangwa Tanganyika wakati huo ilikuwa na Utajiri na Rasilimali nyingi kuliko Saudia.

Leo Saudia inawakopesha nchi kibao mpaka za Ulaya, wana Uchumi zaidi ya Mara 10 ya uchumi wetu.

We kaa na mawazo yako mgando hayo hayo, ukiamka asubuhi unafikiria kitu gani kipya cha kulalamika.
Wanabiashara gani tofauti na hela za wajinga wanaokwenda kumpiga shetani mawe na kulizunguka jiwe?
 
Huyu ni Mkatoliki mwenye Imani kweli kweli sio kama lili zezeta la ureno limeingia kwenye propaganda za waarabu

🔹🇮🇱 Waarabu bado wapo kwenye propaganda ya kizamani ya kushawishi watu maarufu kueneza dini Yao

🔹🇮🇱 Mpira wao hawatumii kama burudani Bali nyenzo ya kueneza dini Yao

🇮🇱Utaona walipoandaa kombe la dunia, waliwaalika akina Zakir Nir wakitarajia atawabadili dini wazungu

🇮🇱 Akina Tyson, wachezaji maarufu wa zamani akina Pogba, Adebayo nk wamelipwa hela nyingi eti wa influence washabiki wao wawafuate

🇮🇱 Hilo jinga jinga la ureno halijabadili ila linatumiwa kwenye propaganda

🇮🇱 Mwarabu siku zote chochote anachokifanya ni kufanikisha kueneza dini yake
Cc DP World 🤔
 
Wanabiashara gani tofauti na hela za wajinga wanaokwenda kumpiga shetani mawe na kulizunguka jiwe?
Hijja haijawahi kuingiza faida Saudia, wao wanatoa hela nyingi zaidi kama hufahamu. Huwezi ukakaa siku moja bila kutumia bidhaa inayomilikiwa na Saudia, hapo kwenyewe hio comment ume type na kifaa ambacho kinatumia technology inayomilikiwa na Saudia.
 
Hijja haijawahi kuingiza faida Saudia, wao wanatoa hela nyingi zaidi kama hufahamu. Huwezi ukakaa siku moja bila kutumia bidhaa inayomilikiwa na Saudia, hapo kwenyewe hio comment ume type na kifaa ambacho kinatumia technology inayomilikiwa na Saudia.
Kifaa gani kutoka saudia kinatumika bongo wakati vyote vinatoka china?
 
Linapokuja suala la dini watu munajitoa akili sana
Kifaa gani kutoka saudia kinatumika bongo wakati vyote vinatoka china?
Si suala la dini nyie ndio uelewa wenu mdogo mno kwenye mambo ya nayo endelea Duniani.

Nawapeni mifano Michache, Saudia ana mfuko wa Fedha unaitwa PIF hivi ni baadhi ya vitu ambavyo PIF inavimiliki kwa Asilimia kadhaa

1. Uber tunaifahamu
2. Electronic arts inayotengeneza Magemu kama Fifa na need for speed, Battlefield na mengineyo
3. Arm inayotengeneza processor za simu zote Duniani
4. starbucks watengenezaji wakubwa wa Kahawa
5. Amazon soko kubwa la bidhaa
6. Microsoft watengenezaji windows na office
7. Nvidia watengenezaji Gpu
8. Amd watengenezaji cpu na gpu
9. Adobe na bidhaa zao za adobe
10. Meta na bidhaa zao kama Facebook na instagram
11. Google kampuni ya kusearch
12. Alibaba wauzaji wengine wa bidhaa

Angalia hizo kampuni halafu niambie ngapi zinakuhusu unazitumia,

PIF yenyewe ina value zaidi ya Trilioni 2000 za kitanzania.
 
Kichwa cha Uzi kingesomeka Hivi "Sheria kandamizi za dola ya kiislamu."

Messi ungemtoa hapo.
 
Umechanganya Kampuni za kichina na za kimarekani unaita za Saudi Arabia?
 
kuna sehemu umeandika vizuri na kuna sehemu umepuyanga but yote kwa yote hadithi yako inachekesha sana.
 
Kamba hizi Messi ni Balozi wa Saudia kama hufahamu

Ingia Instagram ya Messi umuone anavyovaa kanzu na vilemba vya Saudi akitangaza Utalii wa Saudia.
Alikataa kuishi Saudi Arabia,hajasema anaichukia Saudia au hawezi hata kuwa balozi wa bidhaa zao,muwe mnaelewa makala zinapoandikwa.
 
Alikataa kuishi Saudi Arabia,hajasema anaichukia Saudia au hawezi hata kuwa balozi wa bidhaa zao,muwe mnaelewa makala zinapoandikwa.
Wewe ndo unamsemea mtoa mada yeye amesema ni sababu ya dini, kama dini ni kigezo Messi asingekuwa balozi kupromote nchi yenye Udini.
 
Si suala la dini nyie ndio uelewa wenu mdogo mno kwenye mambo ya nayo endelea Duniani.

Nawapeni mifano Michache, Saudia ana mfuko wa Fedha unaitwa PIF hivi ni baadhi ya vitu ambavyo PIF inavimiliki kwa Asilimia kadhaa

1. Uber tunaifahamu
2. Electronic arts inayotengeneza Magemu kama Fifa na need for speed, Battlefield na mengineyo
3. Arm inayotengeneza processor za simu zote Duniani
4. starbucks watengenezaji wakubwa wa Kahawa
5. Amazon soko kubwa la bidhaa
6. Microsoft watengenezaji windows na office
7. Nvidia watengenezaji Gpu
8. Amd watengenezaji cpu na gpu
9. Adobe na bidhaa zao za adobe
10. Meta na bidhaa zao kama Facebook na instagram
11. Google kampuni ya kusearch
12. Alibaba wauzaji wengine wa bidhaa

Angalia hizo kampuni halafu niambie ngapi zinakuhusu unazitumia,

PIF yenyewe ina value zaidi ya Trilioni 2000 za kitanzania.
Hiyo namba mbili kuna bendera ya ushoga kwenye hizo games, unalijua hilo? Je anasupport?
 
Kutoka Wikipedia.

Saudi Arabia allows Christians to enter the
country as foreign workers for work or
tourism, but does not allow them to
practice their faith openly. Saudi Arabia
states that they are permitted to privately
practice their religion, but this is not
codified and raids on private practice by
the Committee for the Promotion of Virtue
and Prevention of Vice do occur, though
these have decreased since their powers
were curtailed in 2016. [12] Bringing a Bible
and other types of religious texts into the
country is allowed as long as it is for
personal use. [13]
 
Si suala la dini nyie ndio uelewa wenu mdogo mno kwenye mambo ya nayo endelea Duniani.

Nawapeni mifano Michache, Saudia ana mfuko wa Fedha unaitwa PIF hivi ni baadhi ya vitu ambavyo PIF inavimiliki kwa Asilimia kadhaa

1. Uber tunaifahamu
2. Electronic arts inayotengeneza Magemu kama Fifa na need for speed, Battlefield na mengineyo
3. Arm inayotengeneza processor za simu zote Duniani
4. starbucks watengenezaji wakubwa wa Kahawa
5. Amazon soko kubwa la bidhaa
6. Microsoft watengenezaji windows na office
7. Nvidia watengenezaji Gpu
8. Amd watengenezaji cpu na gpu
9. Adobe na bidhaa zao za adobe
10. Meta na bidhaa zao kama Facebook na instagram
11. Google kampuni ya kusearch
12. Alibaba wauzaji wengine wa bidhaa

Angalia hizo kampuni halafu niambie ngapi zinakuhusu unazitumia,

PIF yenyewe ina value zaidi ya Trilioni 2000 za kitanzania.
Ndio maana nikakuambia kuwa linapokuja suala la dini munakuwa zaidi ya mataahira hebu nikuulize swali kwanini watu wengi huwa wanazamia ulaya?
 
Nakumbuka wakati fulani Bosi wangu (Mwislamu) aliniita na kuniambia nikasome Masters nchini Irani.

Nilistuka moyoni lakini hakunistukia.
Ilibidi nimwambie nitamjibu baadae kidogo ili nitafute jibu la kumridhisha kukataa kwangu.

Yaani niende nikasome Masters Irani miaka miwili na ushee, na mimi ni Mkristo.

Nikisingiziwa kesi za kijingajinga na radical Muslims, halafu Nichinjwe Shingo kizembe zembe tu.

Nilimgomea bila kunistukia.

Wanaweza wakanisingizia tu kuwa nimemkashifu mtume au nilitaka kumbaka msichana au vinginevyo nikauliwa bila sababu ya msingi.

Katika maisha yangu siwezi kuishi nchi inayo fuata Sharia Laws.
Ukikutwa umeongozana tu na mwanamke asiye mke wako ni jela.
Hakuna kuongea na mwanamke asiye ndugu au mke wako.
Hakuna japo tu kuongea na mwanamke miaka yote nikiwa huko.

Messi alikuwa sahihi kabisa kabisa.
Hizo nchi zinawafaa wenyewe.
 
Ndio maana nikakuambia kuwa linapokuja suala la dini munakuwa zaidi ya mataahira hebu nikuulize swali kwanini watu wengi huwa wanazamia ulaya?
Tuongee na data mkuu huwa sipendi stori za Vijiweni

Hizi ni Nchi zenye Migrants wengi duniani
Screenshot_20240709-103523_Pixel Launcher.png

Kama una hesabu Urusi top 10 ni Nchi 5 za Ulaya na kama huihesabu ni Nchi 4 za Ulaya, ukitoa Ujerumani hakuna Nchi ya Ulaya inayopokea Wageni kushinda Saudia, so hoja yako haina Mashiko, Saudia Ni Jangwa kuna hali ya Hewa mbaya why watu wanamiminika kushinda huko Ulaya? Na hizo ni data bila kuangalia population ya nchi husika.

Na hizi ni Nchi zenye Migrants wengi compare na population yao

countries-most-immigrants-2.jpg


Nchi kama Uae (Dubai ipo huko) ndio inaongoza Duniani kupokea watu wengi compare na population yao, Takriban Asilimia 88 ya watu wanaoishi huko ni immigrants. Saudia pia haipo mbali by far ina proportion kubwa ya migrants kushinda nchi yoyote ya Ulaya na Uswisi pekee ndio ina karibia.

Jenga hoja yako sasa kwa data na wewe, maneno ya kwenye kanga yaweke pembeni.
 
Tuongee na data mkuu huwa sipendi stori za Vijiweni

Hizi ni Nchi zenye Migrants wengi duniani
View attachment 3037355
Kama una hesabu Urusi top 10 ni Nchi 5 za Ulaya na kama huihesabu ni Nchi 4 za Ulaya, ukitoa Ujerumani hakuna Nchi ya Ulaya inayopokea Wageni kushinda Saudia, so hoja yako haina Mashiko, Saudia Ni Jangwa kuna hali ya Hewa mbaya why watu wanamiminika kushinda huko Ulaya? Na hizo ni data bila kuangalia population ya nchi husika.

Na hizi ni Nchi zenye Migrants wengi compare na population yao

View attachment 3037361

Nchi kama Uae (Dubai ipo huko) ndio inaongoza Duniani kupokea watu wengi compare na population yao, Takriban Asilimia 88 ya watu wanaoishi huko ni immigrants. Saudia pia haipo mbali by far ina proportion kubwa ya migrants kushinda nchi yoyote ya Ulaya na Uswisi pekee ndio ina karibia.

Jenga hoja yako sasa kwa data na wewe, maneno ya kwenye kanga yaweke pembeni.
Tuje kiuhalisia mimi nawajua watu wengi sana waliozamia uingereza,ufaransa na marekani na hata wewe ndoto zako kuu ni kuishi huko
 
Back
Top Bottom