Messi alikataa kupiga penati mara mbili kwenye mechi dhidi ya Alanas, Ronaldo aling'ang'ania kupiga zote mwenyewe

Umepigilia msumari [emoji16]
 
Kwa mafanikio aliyonayo Ronaldo Mungu fundi kweli
 

Punguza majungu,,,,,,,Kila mtu ana passion yake na namna yake ya kufanya vitu vyake.....
CR7 anaenjoy kufunga na kushangalia ana vibes na ile Siuuuuuuuuu
 
uwe hodari kila siku nasisitiza na naendelea kusisitiza kuwa huna akili, tenga muda wako kusoma vitabu vyenye maarifa kurekebisha akili yako ilijaa matope na hilo litasaidia kupunguza muda unaoupoteza kushinda katika vijiwe vya kahawa.
Huyu jamaa ana kila dalili za uchawi huwezi chukia mtu tu out of the blue
 
Ifike mahali tuache kumfananisha Messi na Ronaldo, Messi hafananishwi na mchezaji yeyote duniani.

Ronaldo ni mchezaji mzuri lakini linapofika suala la ulinganishi bado mnamkosea messi.
 
Una chuki na ronaldo
 
Wabongo bhn yaan ana andika kitu km mtu anamjua sana kumbe anamuona kwenye tv tu lakini huo uandishi utasema jirani yake
 
Ifike mahali tuache kumfananisha Messi na Ronaldo, Messi hafananishwi na mchezaji yeyote duniani.

Ronaldo ni mchezaji mzuri lakini linapofika suala la ulinganishi bado mnamkosea messi.
Usitusimulie kama umewaona peke yako CR7, ana ubora wake na Messi ana ubora wake
 
Hivi mtu anachukua $ 4.1 million per week * 2335 TSH = .💰💵💰💰💰....

Hebu tuwe realistic wewe na yeye nani mwenye matatizo?

Maybe macho yako yanapeleka wrong information kwenye ubongo so ubongo wako unashindwa kurudisha mawimbi vizuri. Unakwambia low signal.
Hebu deal na central coordinator yako vizuri.​
 

Halafu anaefanya uchambuzi kajificha kwa shemeji yake anaangalia tamthiliya za kutafsiriwa na hana habari kabisa
 
Kaka kisa mpira ndio unamkandia ronaldo namna hiyo?????Au una chuki binafsi kwani ronaldo ni mwanamke na hachoti mihela ya bure kaka????Kuhusu cantona kwani na yeye kakatazwa kwenda gym au kucheza mpira!!!!Mpeni ronaldo heshima yake jamaa anajua kkutafuta pesa popote pale anapokwenda ligi nne tofauti msisahau hilo!!!!Hao akina cantona wivu binafsi tu!!!!Messi he,s the best ever ila ronaldo ni mpambanaji every game for him is rumble in the jungle!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…