Messi alikataa kupiga penati mara mbili kwenye mechi dhidi ya Alanas, Ronaldo aling'ang'ania kupiga zote mwenyewe

Usitusimulie kama umewaona peke yako CR7, ana ubora wake na Messi ana ubora wake

Sawaa, kila mtu ana ubora wake.,, ila kuna mmoja atatokea bora zaidi ya mwenzie, kwanzia ufundi, ubora wa magoli, freekik zilizoenda shule, ukija kwenye vikombe, tuzo n.k. Messi sio wakumlinganisha na mchezaji yeyote yule.

Wachezaji wangu bora kuwahi kutokea
Messi
Maradona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…