Nimegundua nafanya convo na MTU asiyefatilia mpira
Nimekupa takwimu hapo juu
Kwanini messi hawezi kuhama laliga alafu unaleta mambo ya Simba
Sorry brother
Heshimu watu na wewe utaheshimika
Kumitwa messi anduje inaonyesha jinsi gani usivyostaarabika
MTU mweusi ni wa kwanza kulilia anabaguliwa ila nyue ubaguzi mbele foot ball is love bro
Kuwa na mahaba na Messi hakukufanyi usijishushe, jishushe ujadili mada uliyoiweka mezani vizuri kwa hoja na uthibitisho.Nimegundua nafanya convo na MTU asiyefatilia mpira
Nimekupa takwimu hapo juu
Kwanini messi hawezi kuhama laliga alafu unaleta mambo ya Simba
Sorry brother
Kuwa na mahaba na Messi hakukufanyi usijishushe, jishushe ujadili mada uliyoiweka mezani vizuri kwa hoja na uthibitisho.
Mchezaji kuwa bora lazima atimize vigezo mbalimbali vya kuthibitisha kuwa yeye ni bora katika mipaka fulani( kiligi, kitimu, kitaifa, kidunia ).
Messi amekuwa bora mara 6 kidunia hadi sasa kwa kutwaa tuzo ya Ballon d'or ambapo hii tuzo inaangaziwa katika nyanja za vilabu, tena barani Ulaya pekee.
Ukija kwenye nyanja ya kitaifa katika nchi yake ya Argentina, kuna ukakasi mwingi wa kuthibitisha kuwa huyu ni bora Duniani, jambo ambalo ndio linazua mjadala namna hii.
Malegends kama akina Pele, Maradona, Zidane walikuwa bora kuanzia kwenye timu zao za Vilabu hadi timu za Taifa na walizisaidia nchi zao kutwaa mataji ya Kidunia. Hao vigezo vya kuwa bora vilitimia vizuri kuliko Messi ambapo vigezo vipo upande mmoja(wa kilabu yake ya Barca).
Sasa kinachohitajika, ni takwimu sahihi za Messi katika timu ya Taifa ili vithibitishe umwamba wake. Tuwekee takwimu.
Amefika,robo na nusu fainali za world cup...hapo ni padogo?Mbona hamuelewi sio kwamba aende timu gani,Messi nje ya Barcelona hana tofauti na Molinga,Mfano akiwa nje ya Barcelona ni Argentina ameshafanya kitu gani cha maana.
Nawe kama mwanaume kweli uhame hiyo nyumba uhamie nyumba ingine tuone kama utashindwa maishai!.....hoja dhaifu sana hiyoMessi kama mwanaume kweli atoke hapo Barkalona, sote tumejionea amefanya nini akiwa Argentina
Mafanikio ni kubeba Mataji tu,Tofauti na hapo ni 0.Amefika,robo na nusu fainali za world cup...hapo ni padogo?
yitzhak,
Paul schooled?
Leon Messi?
And you call yourself unajua mpira? Unadai unaangalia branding?
EPL is rh beat league in the world
Hahahaaaaaa... Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha kukosoa spelling unaona ulichoandika wewe
Ameshindwa kuisaidia Argentina? Leo hii tu umeshasahau alivyoisaidia kufuzu World Cup Russia kwa stunning goal ilhali Argentina ilikuwa inapumulia mashine? kufikia Argentina kuwa mshindi wa 2 kwenye World Cup pale South Africa unaona ni jambo dogo siyo? Labda kama una kichwa cha panzi.Kwanini hicho kipaji chake kimeshindwa kuisaidia Argentina miaka nenda Rudi kila mara yenye ndio amekuwa mtu wa kujiliza kama mtoto mdogo.
Ahamie timu gani?Kama mwanaume kweli ahame ligi, ahame timu. Wanaume wa kweli wanafanyaga hivyo
Lini EPL ilitoa mchezaji bora wa dunia!
Kama hujui mpira pita kushoto usikenue hapa
Manchester UnitedAhamie timu gani?
UharoManchester United
Hahahaaaa! mkuu upo serious kweli?Manchester United
Mkuu kwani Real madrid haipo La liga? umemuelewa mleta mada lakini?Real Madrid ndio bora zaidi imechukua mataji mengi kuliko Barca..hivi mara ya mwisho Barca kuchukua klabu bingwa Ulaya ni lini???