Messi anastahili kuwa GOAT wa Dunia

Messi anastahili kuwa GOAT wa Dunia

Uyo uliyemtaja Anacheza timu gani katika ndondo cup?
Mpira haujaanza jana, huyo ni msitaafu anakula mafao. Ni raia wa Brazil.


Messi kwenye upigaji wa Free kick hajawafikia mafundi wengine wa kazi hiyo kama Beckam, Zico, mtume na nabii wa mwisho wa soka (Ronaldinho) na Maradona.


Unaposema fundi wa free kick ulimwenguni ni Juninho Pernambucano ambaye aligundua knuckleball technique ya upigaji mpira ambayo mpaka kesho ni wachezaji wachache sana wanaoiweza.
 
Mpira haujaanza jana, huyo ni msitaafu anakula mafao. Ni raia wa Brazil.


Messi kwenye upigaji wa Free kick hajawafikia mafundi wengine wa kazi hiyo kama Beckam, Zico, mtume na nabii wa mwisho wa soka (Ronaldinho) na Maradona.


Unaposema fundi wa free kick ulimwenguni ni Juninho Pernambucano ambaye aligundua knuckleball technique ya upigaji mpira ambayo mpaka kesho ni wachezaji wachache sana wanaoiweza.
Binafsi namtambua Messi tu
 
Back
Top Bottom