Messi hawezi kuwa Bora Nje ya Barcelona

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Nasema na ninarudia tena kusema Messi unaeweza kumfananisha japo kidogo na Cr7 ni messi wa Barca tu..Nje ya hapo messi hata Kagere hampati..!! Naona copa america watu mshaanza kulia lia mapema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]timu inakaa kabisa inamtegemea Messi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Argentina bhana waache bhangi.
 
Usi mfananishe kagere na vitu vya ajabu
 
Tatizo mnachanganyaga vitu vinne kwa wakati mmoja
(1)Messi
(2)Cr 7
(3)Fc Barcelona
(4)Argentina National Team
Ukweli hauwezi kupata chochote unacholazimisha kutuaminisha....utasema mengi lakini bado mchezaji bora na Extra ordinary atabaki kua mmoja tu duniani... Wengi wamejaribu kumlinganisha na magwiji wengine waliotangulia lkn inafikia Mahala wanakwambia huyo kiumbe ni hatari!... A creature from another planet!...
Makocha wote wakubwa wa dunia wameshamjadili na kutoa takwimu zao, wengine wakimfananisha na mchezaji wa PlayStation!....
 
So huo ukubwa wake na manjonjo akiwa tu Barcelona huwaga hatuuelewi yani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kipaji kinakuwepo akivaa uzi wa Barca tu???
 
Labda mfumo na aina ya wachezaji anaocheza nao Argentina ni tofauti na kule Barca! Ila kwa mashindano haya bado mapema sana lolote linaweza kutokea
 
Is it MESSI or MESS? The later befits him!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…