crankshaft JF-Expert Member Joined Jun 12, 2019 Posts 1,427 Reaction score 3,438 Jun 7, 2023 #1 BBC wanaripoti kuwa Messi amekubali kujiunga na timu ya Inter Miami ya ligi ya Marekani (MLS) na kuikacha offer kubwa zaidi kutoka Al Hilal ya Saudi Arabia. Makubaliano yaliyofikiwa yatahusisha ushirikiano katika brand kama Adidas na Apple.
BBC wanaripoti kuwa Messi amekubali kujiunga na timu ya Inter Miami ya ligi ya Marekani (MLS) na kuikacha offer kubwa zaidi kutoka Al Hilal ya Saudi Arabia. Makubaliano yaliyofikiwa yatahusisha ushirikiano katika brand kama Adidas na Apple.
U uwe hodari JF-Expert Member Joined Dec 16, 2022 Posts 4,045 Reaction score 8,608 Jun 7, 2023 #2 Wise choice