Messi kujiunga na Inter Miami ya Marekani

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438


BBC wanaripoti kuwa Messi amekubali kujiunga na timu ya Inter Miami ya ligi ya Marekani (MLS) na kuikacha offer kubwa zaidi kutoka Al Hilal ya Saudi Arabia.

Makubaliano yaliyofikiwa yatahusisha ushirikiano katika brand kama Adidas na Apple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…