Messi kujiunga na Inter Miami ya Marekani

Messi kujiunga na Inter Miami ya Marekani

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
IMG_7520.jpeg


BBC wanaripoti kuwa Messi amekubali kujiunga na timu ya Inter Miami ya ligi ya Marekani (MLS) na kuikacha offer kubwa zaidi kutoka Al Hilal ya Saudi Arabia.

Makubaliano yaliyofikiwa yatahusisha ushirikiano katika brand kama Adidas na Apple.
 
Back
Top Bottom