Wewe utakua unavuta bangi sio bure au wewe mchawi mtu wa husda, Messi unaweza ukamlinganisha na mchezaji gani kama sio nguvu za bangi?
Messi sio overrated mkuu kama ulivyosema ila kwa jana Mbappe amefanya kazi nzuri.Mbappe jana ndie alikua Best Player in the field tena by miles kabisa.
Kila mtu abusu kombe lake🚶🚶
View attachment 2451506
Messi sio overrated mkuu kama ulivyosema ila kwa jana mbappe amefanya kazi nzuri.
Ni kawaida tu kwa messi katika Mechi yeye huhitaji Bao moja tu ili atangzwe Man Of The MatchKwan Messi Jana kachukua man of the match? Kama ni hivyo basi hayo ni mauzauza ila kwenye mchezaji bora wa mashindano kastahili
Mimi naona hata ile golden ball hakutakiwa kushinda yeyeKwan messi Jana kachukua man of the match? Kama ni hivyo basi hayo ni mauzauza ila kwenye mchezaji bora wa mashindano kastahili
Vijana wanavuta bangi hawali ndio tatizo hilo....Wewe utakua unavuta bangi sio bure au wewe mchawi mtu wa husda, Messi unaweza ukamlinganisha na mchezaji gani kama sio nguvu za bangi?
Ameondoka na tuzo ya mchezaji bora wa mashindano
Hiyo ya man of the match katangazwa wapi?
Mimi naona hata ile golden ball hakutakiwa kushinda yeye
Mbape alifanya vizuri zaidi katika kombe hili kuliko Messi
Ila ni sababu za marketing tu
Weka takwimu mkuu tuoneMimi naona hata ile golden ball hakutakiwa kushinda yeye
Mbape alifanya vizuri zaidi katika kombe hili kuliko Messi
Ila ni sababu za marketing tu
Wekeni takwimu mkuu tuone kama kweli kaonewatunaweza kuviona ni vitu vidogo, lakini kwa kweli sio vidogo vinavyojumuishwa zinatengeneza CV nzito kwa mtu.
Mbappe ameonewa kwa kunyimwa Tunzo ya uchazaji bora.
Mbappe jana ndie alikua Best Player in the field tena by miles kabisa.
Mkuu naomba usiihusishe bangi na mambo ya kipuuzi ...huyo ana matatizo yake mwenyeweWewe utakua unavuta bangi sio bure au wewe mchawi mtu wa husda, Messi unaweza ukamlinganisha na mchezaji gani kama sio nguvu za bangi?