Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanangalia magoli hawa angalii hata build up za attemp zinakuwa engineered na nani,mechi ukuachana na kuscore anauwezo wa kuicheza timu, kucreate nafasi na kuscore ambacho Mbape kwenye michuano hii alikuwa anascore ila hana uwezo wa kuichezesha timu na kubuild up mashambulizi kutokea kwake. Ndio maana Argentina attemp zote off or on target zina anzia kwa Messi.Kwenye timu ya Ufaransa ktk WC hii mashambulizi yote yalikuwa yanaanzia kwa Griezman,Mbape kazi yake ilikiwa moja kufunga.Mzee unakua sio kama mtu wa soka? Hizo web/App hazina uhalisia hawa ni Goal angalia rate yaoView attachment 2452142
View attachment 2452143
Mbappe ana 7.0 according to goal na Messi ana 8.1 acha mpira wa livescore
Man of the Match kivipi?? Ukiachana na goli 3 ambazo 2 za penalty kafanya nini kingine?? Mbappe kaja kuoneka dk70 wakati anafunga goli la penalty. Tutoe magoli yao tuangalie Performance nani anastahili?? Mpira sio magoli is more than that vinaangaliwa vitu vingi
Mzee unakua sio kama mtu wa soka? Hizo web/App hazina uhalisia hawa ni Goal angalia rate yaoView attachment 2452142
View attachment 2452143
Mbappe ana 7.0 according to goal na Messi ana 8.1 acha mpira wa livescore
Kwani man of the match wanaangalia vigezo ganiMOTM kivipi embu nipe stats zako
Tatizo wanangalia magoli hawa angalii hata build up za attemp zinakuwa engineered na nani,mechi ukuachana na kuscore anauwezo wa kuicheza timu, kucreate nafasi na kuscore ambacho Mbape kwenye michuano hii alikuwa anascore ila hana uwezo wa kuichezesha timu na kubuild up mashambulizi kutokea kwake. Ndio maana Argentina attemp zote off or on target zina anzia kwa Messi.
We una chuki binafsi. We una utaalam gani wa kufanya uchambuzi wa mpira kuzidi wachambuzi wabobezi wenye utalaam wao tena wa kimataifa. we wale wabishi wa mtaani wanaojifanya wanajua kila kitu wakati ni bongolala hakuna unachojua
Sawa upo sahihiMessi kafunga penalty dhidi ya Saudia, Netherlands, Croatia na France jumla 4, kafunga goli dhidi ya Mexico, Australia na France jumla 3 ukijumlisha unapata goli 7. Hizo penalty zako 5 kafunga tim gani??. Mzee mpaka sasa mpira hujui maana unakuja na stats za uongo
Messi = Play maker and goal scorerAttemp za Argenitina zilikua zinatokea kwa Messi kwa sababu yeye ndie alikua ndio Play Maker mkuu wa timu so lazima mipira itakua inapita kwake kwa wingi kuliko mtu yoyote, ni tofauti na france ambapo Grainzmen ndie aliekua anacheza playmakeer role.
We kiazi kweli , kupiga piga mapenati Yale ndo awe man of the match ,Mbappe jana ndie alikua Best Player in the field tena by miles kabisa.
Unatakiwa uwe mwehu kusema mpabe alistahili uchezaji boraMchezaji bora anakuja kugusa mpira dk ya 70, na penalty 2 za kupewa
Mkuu utakuwa na element za kichawi yaan unataka messi aoneshe mambo alivokuwa barca akiwa na miaka 23 akiwa barca huku akiwa na miaka 35+ sasa??messi anaonekana kwenye special occassions only..Cr7 alishasema fifa wanamuandalia messi cup kilazima France waliforce tu kupata draw, binafsi sijaona maajab ya messi yule wa barca.
We jamaa unachekesha sana hivi unajua ile fainali ya german huko brazil messi alicheza kwa kiwango bora sana na aliwatengenezea wenzie kina higuain clear chance nyingi san kuliko hata mechi ya france au TV yako ilikuwa ya choggo kuna muda zinakuwag na mchelemchele[emoji23][emoji119][emoji119]Jana mbappe kakinukisha na ni bonge la mchezaji... great future, still very young, alistahili yeye kuwa man of the match, hata man of the tournament. Nakumbuka kuna world cup final german vs argentina mesi alifunikwa vibaya na walifungwa ila yeye akapewa man of the tournament... hivyo hata jana mbappe alistahili licha ya kufungwa ila mtu kusema mafanikio ya messi kuwa messi ni overrated ni kipofu wa macho na kipofu wa akili ya kuchakata unachoona na kusikia... messi is GOAT, mbappe anaelekea huko pia...
Ile mechi ya Germany kama Kun Aguero hasingekuwa na majeruhi Argentina walikuwa wanachukua.We jamaa unachekesha sana hivi unajua ile fainali ya german huko brazil messi alicheza kwa kiwango bora sana na aliwatengenezea wenzie kina higuain clear chance nyingi san kuliko hata mechi ya france au TV yako ilikuwa ya choggo kuna muda zinakuwag na mchelemchele[emoji23][emoji119][emoji119]
Kwa comment hii nadiriki kusema we dada una uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo na kuangalia jambo kimapana...utakuwa umeutazama mchezo kwa utulivu mkubwa mbappe ameonekana kwenye magoli tu na mengi yalikuwa ni penalt,france walirud mchezoni dk za mwisho ndipo mbape akaonekana kwa dakika chache tu..ni bora uniambie kipa wa argentina alistahiki tuzo ya man of game au angel dimaria ukiachana na mchango wa messi kiujumla..mchezaji bora sio kufunga magoli pekee kuna kulink na wenzako,assist,key passes,kuzuia,kupass,dribbles,shoots n.k france had dakika ya 60 hawana shuti lolote golini mwa argentina kibaya first half hawakuwa na ontarget wala off target...nawaheshimu ufaransa pia mbappe ila aliyepewa muheshimu messi anakupa definition sasa ya kuenjoy soccerIla nyie waongo mbape alikuja ibuka kipindi cha pili, man of the match ni yule alocheza vizuri mwanzo mwisho.
Mimi sina mahaba na messi kiviile ila alicheza vizuri mwanzo mwisho.
Out of topic, dah watoto wa france baadhi watamu kweli, ngozi nyeusi ina mvuto wake.
Argentina walistahili kombe hawakubebwa.
Kijamaa kiazi sana ...man of the match sikuona messi alikotangazwaAmeondoka na tuzo ya mchezaji bora wa mashindano
Hiyo ya man of the match katangazwa wapi?
Messi kafunga 3 na kachukua kombe kabisa
Ilifika wakati watu wanauliza mbape yupo wapi? Kipindi cha kwanza aligusa mpira mara nne tu, yaani kama muujiza kipindi cha pili ndo sijui alienda kuongea na mganga wake? Basi akarudi na vibe mpira ukaanza.Kwa comment hii nadiriki kusema we dada una uwezo mkubwa wa kuchanganua mambo na kuangalia jambo kimapana...utakuwa umeutazama mchezo kwa utulivu mkubwa mbappe ameonekana kwenye magoli tu na mengi yalikuwa ni penalt,france walirud mchezoni dk za mwisho ndipo mbape akaonekana kwa dakika chache tu..ni bora uniambie kipa wa argentina alistahiki tuzo ya man of game au angel dimaria ukiachana na mchango wa messi kiujumla..mchezaji bora sio kufunga magoli pekee kuna kulink na wenzako,assist,key passes,kuzuia,kupass,dribbles,shoots n.k france had dakika ya 60 hawana shuti lolote golini mwa argentina kibaya first half hawakuwa na ontarget wala off target...nawaheshimu ufaransa pia mbappe ila aliyepewa muheshimu messi anakupa definition sasa ya kuenjoy soccer
Rangi mkuu. Skin colour. Matangazo. Biashara. Trust me angekuwa mzungu mbona kitambo sana, na kitakachomsaidia ku accelerate zaidi ni utaifa wake.Nafikiri baada ya messi na ronaldo kutundika daluga basi mbappe atapewa heshima anayostahili kwa sasa anafunikwa na vivuli vya hawa magwiji wawili ingawa currently uwanjani yeye ndie yupo productive zaidi