Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Hilo ndio tatizo kuu la wabongo. Hawajiamini, ndio maana huwa hawawezi kujenga hoja na hawako self oriented. Wazee wa copy paste na kumtegemea mzungu kasemaje ndio nawao wasemewabongo kwanini mnakua na tabia ya kuzi sarendesha akili zenu kwa watu wengine? Kwahiyo sisi haturuhusiwi kuchambua na kuikitathmini tunachokiona?