Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Atakwambia aliangalia clip[emoji23][emoji23]
Kwa huyo??Mkuu mbona unakuwa mvivu ? Ulishawahi kujiuliza na kufanya Research kwanini Pele hakwenda Juventus, Real n.k. Tafuta sababu alafu utaelewa...
Ila kama watu wenye uwezo wa kuchambua ngoja tupime like for like..., yaani makombe / mashindano aliyocheza Pele na ambayo kacheza Messi (like for like) ambayo ni World Cup.., Hapo Stats zipo vipi naomba unijibu...
TattooMessi anamzidi Pele kwa kipi labda hilo ndio swali rahisi zaidi ambalo naweza nikakupa jibu kwa haraka...
The Penalty GOAT wouldn't make it kama angekuwepo katika hizo zamaAHSANTE MKUU KeyserSoze kama ni hivyo kuwa enzi za pele offside zilikuwepo ila hakukuwa na faulo au penalt za mchongo kama sasa basi hakuna kama PELE.
Kwa hoja hizi hizi tayari ushaanza kuita na watu hawana akili??Huna akili
Kombe la dunia ni mechi saba, mechi za ligi 30+
Messi hata asingechukua kombe lw dunia hakuna mchezaji wa kulinganishwa naye kwa kweli
Ni kweli pele alifanya vizuri enzi za mpira wa giza lkn kaachwa mbali na messi
Intercontinetal Cup... endorsed by UEFA (Europe) and CONMEBOL (South America),[1][2] contested between representative clubs from these confederations (representatives of most developed continents in the football world), usually the winners of the UEFA Champions League and the South American Copa Libertadores.Ilikuwa inashirikisha timu ngapi maana naona za Ulaya mbili na moja ya America kusini.Huu utakuwa uongo bila shaka
Pele alihitaji football awe bora wakati Messi alihitaji FIFA, UEFA na media ili awe GOATMpira si magoli tu, Ingekuwa hivyo basi viungo wasingeingia ktk list ya wachezaji bora duniani.
By the way, Messi alianza kama Winger, lazima ufungaji wake uwe mdogo kuliko forward. Hata hivyo mpaka sasa Messi keshamzidi Pele idadi ya Magoli na Assists. Lakini ukiacha yote hayo, Messi ana uwezo mkubwa wa kukusanya kijiji kuliko Pele. Pele alikuwa mwepesi wa kupoteza mpira kuliko Messi
Kinini hiki umetuma?
Scars, bado kinyongo chako kwa Messi hakijaisha?Kwani umesahau kwamba kuna timu Messi mwenzako alikuja na mjadala wa Mbappe na Messi humu?
Hukufatilia stats zilizowekwa zinazoonesha kayika umri wa miaka 23 nani alikuwa anaonekana kuwa perfomance kubwa kumzidi mwanzake??
Hufatilii huu mjadala na hujabaini kwamba hata diehard fans wenzako wa Messi wanakubali kuwa Pele is far better than dwarf??
Elimu uliyoipata kwa shida afu kwa gharama unaitoa JF buree bila tuition feeSasa unataka kulinganisha nini ? Au nikutajie wachezaji ambao waliweza kucheza vizuri La Liga wakarudi huko makwao wakashindwa kucheza au unadhani River Plate, Santos n.k. ni timu za vijiweni ?
Au unadhani kuna timu duniani ilikuwa haimtaki au kumfuata Pele ? Kama haujui ni kwamba Timu zote za ulaya zilikuja kumtafuta na nchi / Bunge kulazimika kubadilisha Sheria ili asiweze kuuzwa nje.....
Nilikuuliza swaliBallon d'Or ndio takataka gani. Hajawahi kutokea mchezaji wa kufikia kiwango cha Pele katika dunia hii na labda zitapita karne nyingi.
Fifa walifanya kosa kubwa kuleta sheria nyingi na kuharibu mchezo wa soka eti ili kulinda mastaa wangefanya hivyo mapema Pele asingeacha mpira mwaka 1970 akiwa na miaka 29 tu.
Vile viatu vilivyokuwa vinatembezwa enzi hizo na akina Uruguay Messi asingecheza kabisa mpira, sasa hivi mshambuliaji akiguswa tu kadi hali inayowafanya wachezaji wacheze kwa hofu muda wote. Fifa bure kabisa.
Bora kaka komeo useme wewe maana enzi zile hawakuepo hawa vijana ila wabishi kweli.
He might be a good but he's not a bestScars, bado kinyongo chako kwa Messi hakijaisha?
Yes he's dwarf (according to you), but his achievements in the football world, stand taller than the Eiffel tower in Paris. Hao giants wako hafui dafu!
Messi sio the best player in the world, he's the best in the entire solar system. Chuki zako kwake hazitabadili chochote!
Wachezaji bora wa muda wote wapo wengiHiguan yule mshenzi sana alinifanya nimchukie mno
Ila kwa mchango wa messi kwenye mpira dunia hii hata asingebeba kombe la Dunia bado ndiye angekuwa mchezaji bora wa wakati wote
Ballon d'Or ndio takataka gani. Hajawahi kutokea mchezaji wa kufikia kiwango cha Pele katika dunia hii na labda zitapita karne nyingi.
Fifa walifanya kosa kubwa kuleta sheria nyingi na kuharibu mchezo wa soka eti ili kulinda mastaa wangefanya hivyo mapema Pele asingeacha mpira mwaka 1970 akiwa na miaka 29 tu.
Vile viatu vilivyokuwa vinatembezwa enzi hizo na akina Uruguay Messi asingecheza kabisa mpira, sasa hivi mshambuliaji akiguswa tu kadi hali inayowafanya wachezaji wacheze kwa hofu muda wote. Fifa bure kabisa.
Watu hili hawalioni halafu wanataka wote twende sawa na mitazamo yao ili tusionekane hatersNi upuuzi kumlinganisha Pele na Messi
Pele ni Baba wa Mpira duniani , ndio maana ukaja msemo maarufu umecheza kama Pele sio umecheza kama Messi
Nikiwa sec kuna mwalimu alikua analeta TV yake na kutuonyesha tapes za Pele. Mimi nilikua napingana nae na kudai Maradona alikua bora zaidi. Baadae nikaja kutulia na kuangalia documentaries mbalimbali nikakiri kuwa Pele aliwaacha mbali sana wachezaji wenzake.
Messi ni mchezaji hatari sana na ameprove hilo kwenye mashindano tofauti lakini kulinganisha na mambo aliyoyafanya Pele kwa miaka ile nadhani Pele ni zaidi ya wote. Kwa maoni yangu
1- Pele
2- Messi
3- Maradona
4- Cristiano
5-Di Stefano
Kila mtu ana maoni yake, hatuwezi kuwa Sawa. Wote tukiwa na mawazo yanayofanana basi maisha yasingekuwa poa. Muhimu tuheshimu maoni ya kila mtu. To each his own.
Messi ni borakati ya Messi na Ronaldo kwako wewe nani ni bora zaidi a complete footballer ?