Punguza ubishiMimi nijipinge nimekuwa kichaa? Acha dharau mara moja
Nilikuwa najibu hoja yako kuwa vilabu vya bocce juniors na rivar plate ni bora kuliko vya uropa ndio nikakuambia km ni bora mbona hawaonekani kuchukua ubingwa wa klabu wa Dunia?
Sasa umejileta mwenyewe kwa kusingiziq ulaya kulikuwa na ubaguzi mbona wachezaji wengi weusi walikuwa wanacheza au yeye pele alikuwa mchezaji wa njano ndio akakataliwa?
Complete player.Inategemea unafanisha nini
Kama tattoo ni kweli Pele hamfikii Messi
Tattoo
3 world cup una lingine
Hapo ni kumdharau Izack Newton na kumkubali teacher wako wa math kuwa ni mkali wa hesabu za mafumboMtu anakuja kukuambia eti "enzi hizo mpira ulikua mgumu". Hebu tuheshimiane asee!
Kipindi ambacho akina Maradona walichukua ndoo kwa goli lililofungwa kwa mkono ndio mpira ulikua mgumu? Kipindi ambacho hakuna VAR, wala idadi kubwa ya mashindano ndio mpira ulikua mgumu? Acheni porojo.
Huu ndio wakati bora kabisa wa mchezo wa mpira, kwa sababu probability ya kufanya udanganyifu ni ndogo sana. Teknolojia imeweka mambo mengi sawa, yani hata ukizidi nywele tu watu wanajua hiyo ni offside, na hupewi goli.
Huwezi kufunga goli kwa mkono katika zama hizi za V.A.R alafu likahesabika!
Watu wanacheza ligi ina mechi 30, wanapiga sijui Carrabao cup, wanapiga FA cup, wanapiga UEFA na wengine EUROPA. Hapo bado michezo ya kimataifa inawasubiri, na kote huko teknolojia ipo kuhakikisha hakuna udanganyifu. Hakuna kitu utaniambia kuhusu mpira wa zamani nikakuelewa!
Messi is the GOAT. That's what the numbers say. And last time I checked, numbers didn't lie!
Sisi hatuja kukataza wewe kutoa maoni yako kihisia kwasababu tunafahamu spirit ya ushabikiMessi ndo mchezaji Bora wa muda wote wewe endelea kuamini unavyo amini sikuzuii ila kwangu Messi ndo mchezaji bora
Asipoelewa na hapo aje home kuna tuitionHata uelewa unao mkuu ? Kipindi anaanza kulikuwa hakuna red/ yellow wala substitution na rafu nyingi refa anapeta.
Narudia uelewa wako unatia mashaka nimesema kipindi cha pele assists zilikuwa haziwi recorded kwahio inabidi watu warudi kutazama mechi ambazo zilikuwa televised (sio zote) kwahio hii stats ni ngumu kuipata sababu hatuna kina opta index wanaochukua kila takwimu Kwahio hizo sio official upande wa Pele
Again uelewa wako mkuu kipindi kile hakuna marginally offside yaani achana na shati yaani hata kama defender anakuweka onside kwa nusu mwili bado ni offside na zamani kabisa haikuwa mmoja tu bali wawili kwahio kila wakati kulikuwa na defender mbele yako ambae haogopi kwamba ana-kuplay onside....
vipi ?
Yeye anazungumzia maoni binafsiHapa hatupo kuridhishana mimi na wewe bali ni kuweka data / facts za nini ni nini ? na vipi na wapi ?
Umeshawekewa sababu ya kwanini hilo lilitokea lakini bado unabishaPele hajacheza hata ulaya.
Alafu kacheza Vs wakulima na wavuta sigara.
Watu wanatoka kwenye mechi wanarudi vibaruani
Plus hana Assist hawezi hata kudribble
Mi nadhani hapo hoja ni kuangalia uhalisia zaidiKwahiyo baada ya CR7 kupigwa gape na Messi,mmeamua kuja kivingine kwa kumfananisha Messi na Pele?
Lionel MESSI
G.O.A.T
Kwa hiyo kama Pele hatujawahi kumshuhudia unaliwekaje hili jambo?Nimeona Messi kalinganishwa na njemba nyingi ili imradi kubatilisha uwezo wake.
Wametumia vigezo Kama International trophies kumkandia yeye sio Bora kavipata vyote wanaanza kuleta unoko.
Wengi humu waongo Pele hamjawahi kushuhudia mapambano yake mmejaa porojo TU.
#Era tofauti position tofauti hawalingani.
Vikombe Ata kina Sergio Ramos wameshindwa mjomba kwanin mkipewa takwimu hamtaki kukubali shida yenu mnalazimisha Messi awe GOAT ila takwimu zinamgomea
Mjadala wa Messi na Pele unakaribia kuisha now ni Messi na MbappeHaijalishi hata kama alishikwa ugoni ukamzuia kwenda ulaya, point is hakucheza competitive league ya ulaya
Kipindi hiko dunia nzima mpaka ulaya wachezaji walikuwa wavuta sigara na kufanya vibarua kama maseremala, wajenzi maana kulikuwa hakuna sheria za kuwabana na soka lilikuwa halilipi, haikuwa full time job
Umeshindwa kujua kuwa soka la kipindi kile lilikuwa primitve ukilinganisha na hili la kisasa, hakukuwa na mbinu za kudefend au kuattack kama soka la leo.
Watu walikuwa bado wanafanya experimentantion mpaka timu inakuja na formation ya 3111111
Ukweli usiopingika ni kuwa Soka la sasa ni advanced kuliko la zamani na soka la baadae litakuwa advanced kuliko la sasa.
Yanga ya leo ikicheza na Timu ya brazil ya Mwaka 1962 Yanga itashinda nyingi tu kwasababu ya mbinu na tactics.
Nimemlinganisha na Messi sijamlinganisha na Lukaku.
Kwa dribbling na Assist anamfikia messi? Em twende googleView attachment 2456689
We jamaa maradona alishinda Ballon d,Or mwaka Gani ivi unaijua kweli History ya Ballon d,Or ilivyo na unajua Sheria ambazo zilikua zinatumika kutoa hizo Tuzo miaka hiyo Futa madudu uliyoandika
Scars unachokifanya, ni kudokoa kihoja kimoja kidogo kabisa kwenye rundo la hoja then unakikomalia.Hapo ni kumdharau Izack Newton na kumkubali teacher wako wa math kuwa ni mkali wa hesabu za mafumbo
Kwakua umekua ukimuona kila siku darasani hivyo habari za Izack Newton ni upuuzi tu kwasababu ya nyakati zao
Mi nimeamua kuwa skip wengine nilipoona wana masikio ya kengeHivi nyie watu hata ku-google kunawasumbua ?
Aliyekwambia Offside ilikuwa haipo ni nani ? Yaani hadi nimeleta hapa history ya offside umeshindwa kusoma ? ngoja nikuwekee link hapa pia sijui utashindwa kusoma ?
The History of the Offside Rule | Sideline Soccer
Even during the early years of soccer, the problem with players "goal hanging" was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let's take a look at the history of the offside rule.www.sidelinesoccer.com
Kwa ufupi offside rule ipo tangia 1800's
Hahahaha ila watu mnapenda vibayaMessi angecheza enzi hizo za Pele angefanya maajabu mara mia ya maajabu ya Pele kwa sabab sheria hazikua nyungi,na Pele angecheza zama hizi angekuw km Hazard tu,kwahy Messi hana wa kulinganishwa nae