Messi Vs Pele


Kwenye 100 wale 90 huwa Target 9 huwa wapiganaji kweli kweli ila mmoja ndio yule mmaliza vita.
 
Huyo Mwakalebela anayemjua ni yule wa Yanga mwenye kilo 800
 
Fungua tuition bila hivyo hawa watu hawakuelewi
 
Kwa Mantiki hii tunasema mchezaji bora ni yule tuliemshuhudia live baada ya teknolojia ya tv kusambaa duniani.

Au kwanini tusikeep it simple tukasema Messi ni mchezaji bora wa kizazi hiki na Pele ni mchezaji bora wa kizazi kilichopita. Hoja kuu si kumuona au sio?
 
Habari za kina mkwawa katika kipindi ambacho Tanganyika ilikuwa nyuma kielimu na swala zima la uhifadhiji wa historia mwenzetu yeye alikuwepo ndio maana habari hizo hazipingi

Ila habati za 1800 tena zilizohifadhiwa katika nchi ambayo miaka hiyo ilikuwa advanced kuliko Tanganyika hazikubali kwake ni uzushi
 
Ukifanya hivyo utaondoa maana halisi ya GOAT na hicho ndio kitu fans wa Messi hawawezi ruhusu kitokee
 
Aisee
 
Pele ilifika hatua raisi akamdeclare as national treasurer, ndio maana hakuuzwa kwenda ulaya.. Alikuwa ni kama pembe za ndovu au meno ya simba.

Pele kacheza kipindi kigumu jamani, tafuteni video zake watu wanachapa kisawa sawa, hakuna redcard
Hawa wanaona hiki ndio kipindi kigumu kwa kuangalia ugumu wa maisha

Hizi tozo na mvurugano wa ajira haujawapa watu uwiano mzuri umefanya uwe sababu ya vitu vyote ambavyo hawavielewi
 
Atakuja na hoja ya kati ya Pele na Messi nani ana followers wengi insta
 
Naona mnaanza kufukua na magombo mara mpira ulikuwa mzito , mara sjui Rafu , yaan bla bla kibao , tunaposema Greatest of all Time , tunamaanisha hvi nyie washabiki wa babuπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Na mjue hatujastaafu tunaendelea kucheza mpak tuvunje vichaka vyenu vyote

 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila mashabiki wa ronaldo wana shida sana
Yani wanatapa kama nyani anayeanguka, wanatafuta tawi la kushika, kila tawi linateleza.

Mara Mbappe mara Pele mara MaradonaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi haya yote unayofanyia wanakulipa au umeamua tu kutoa elimu bure kwa mapenzi yako?
 
Huyo Messi unataka kumkopa?
 
Na hayo yote akumbuke yalifanywa kwa mtu mwenye race ambayo mara nyingi haipewi favour kwa nchi hizo

Tafsiri yake ni kwamba angekuwq white angepewa heshima zaidi ya hiyo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila mashabiki wa ronaldo wana shida sana
Yani wanatapa kama nyani anayeanguka, wanatafuta tawi la kushika, kila tawi linateleza.

Mara Mbappe mara Pele mara MaradonaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kesho watakwambia Pele alikuwa anacheza bila viatu , utaambiwa alikuwa anafunga huku amevutwa jezi...!! 😁😁😁
 
Messi ana makombe mangapi ya wc?

Sometimes watu hawajishughulishi na maswali yako kwasababu wanayaona ni ridiculous
 
Raha ya Jf ni kukuta serious hoja kwenye jukwaa la jokes na kukuta jokes kwenye jukwaa la sports
 
We hujawahi kusikia kuwa Fifa ilimgeuza pele kuwa chombo chao cha propaganda? Hizi shutuma zisemwa sana.
Kusikia kutoka chanzo kipi?

Hao hao FIFA au sources nyingine?

Unazihakiki vipi kuwa ni valid na sio conspiracy tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…