Messi Vs Pele

Pele ndio binadamu pekeee ambaye miaka ya 70 alikuwa anaandaliwa mapokezi na nchi
Yaani ugeni wa Pele ni zaidu ya Marais
 
Messi amewahi kusimamisha vita ??
 
Hahhaaaa.. kumfananisha kapele na KING MESSI ni kumkosea heshima Messi.

Pele ndio binadamu pekeee ambaye miaka ya 70 alikuwa anaandaliwa mapokezi na nchi
Yaani ugeni wa Pele ni zaidu ya Marais
Wakati huo angelikua Messi hata urais angepata

1 Messi
2 Diego Armando Maradona
3 โŒโŒโŒ
 
-Pele vs Maradona

-Messi vs Cr7

-Zidane, A.Pirlor, Ronaldo, Ronaldinho na wengine

Messi na Pele wapi na wapi?
 
Mtu asiemkubali Messi ajitathmini upya.. na anaemkubali pele na kumponda Diego Armando Maradona ajitathmini upya..

Hapa kuna matabaka zaidi ya matatu ๐Ÿ‘‡
1 wapo walio upande wa pele kisa mweusi
2 wapo walio upande wa pele kisa jamaa yao cr7 hupotezwa vibaya sana..
3 wapo wanaomkubali pele kisa ushabiki wa timu aliyochezea
N.k
N.k

Moyoni wanajua fiika Messi ni zaidi ya mchezaji yeyote aliewahi kucheza soka, ila wanaona aibu, nafsi inawasuta.


1 Messi
2 Diego Armando
 
Mtoa mada yupo kundi no 2 hapo
 
Umehama tena kwamba Pele hakuwa goli poacher na ndiyo maana hakuwa top scorer kama ndivyo unawez kuniambia if Messi ni goal poacher au la? Ili tuwalinganishe in other roles tuhame kwenye mabao?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aisee unaongelea Pele hakuwa top scorer kwenye world Cup alizocheza Messi alikuwa Top Scorer pamoja na kucheza mechi nyingi kuwazidi wengine ?

Nimekuonyesha hapo kwamba hata hio world cup 1970 ingawa alifunga bao za maana pia alikuwa top assist... Na nimekuonyesha jedwali la wafungaji wa world cup zote uone ratio zinasemaje kati ya Messi na Pele...
 

Wengine inatunuwia ngumu kuamini kwa kapele kako mkuu, kwanza kabisa kamecheza enzi hizo hapakua na sheria ngumu kama ilivyo sasa na hata era ya Diego Armando mambo yalichange.. pili, kapele kamecheza viklabu vidogo na kukutana na viklabu dhaifu ukilinganisha na Messi and Armando ambao wamecheza ulaya timu ambazo ni kubwa zaidi ya hivyo viklabu vya pele, na isitoshe wamekutana mara kibao na matimu makubwa ulaya na kuzipatia ubingwa timu zao.

Tatu, angalia na pozesheni wanazochezea ndio utajua mpira sio kitu rahisi rahisi, lakini kwa Messi imekua viseversa.. magoli tu pekee na matuzo+makombe na man of the matches ndio utambue hakuna wa kumlinganishanae... pele level yake wakina Alfredo de stefano, kempes, zidane n.k..

Umecheza kama Messiโœ”
Umecheza kama Maradonaโœ”
Pele โŒ
 
Vita ya biafra au hufatilii

Sasa vita ndio inamuweka awe mchezaji bora!! Siasa na mpira ni vitu viwili tofauti bwana.. hata angeenda sayari ya mars lakini haiondoi ubora wa Messi na Diego Armando..

Messi is the greatest Footballer ever

Muwe munaona aibu Messi kumlinganisha na wachezaji wengine..
 
Goal contribution yake inazidi ile ya Messi?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Goal contribution yake inazidi ile ya Messi?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Wanatoka kwa Cr7 wanaenda kwa pele, wanatangatanga tu hawajui waangukie kwa nani ๐Ÿ˜ƒ na wote hao wamepigwa vibaya sana na Muargentina huyu.

Hawampendi Messi ila moyoni wanamkubali kuliko mchezaji yeyote duniani ๐Ÿ˜ƒ
 
Messi ashindanishwe na akina Cristiano na Mbappe, mkipata muda kaangalieni clip au mechi aliyocheza Pele akiwa na Miaka 50 ilikuwa kati ya Brazil vs World stars.
Yaan zile skills anazotoa na kufanya uwanjani na kwa umri ule mtaona how far jamaa alikuwa. Yaan skills zake mguuni, Afrika nzima hakuna wa kumfikia kwa katika umri ule tu wa miaka 50.
 

Huu ndo ukweli, Pele ni muhuni aliongeza magoli
 

Messi >>> Pele
 

Acha utoto Mbappe anafanya nini hapo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ