vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Mkuu mbona unakuwa mvivu ? Ulishawahi kujiuliza na kufanya Research kwanini Pele hakwenda Juventus, Real n.k. Tafuta sababu alafu utaelewa...Ukiona mjadala wanauhamishia kwa pele kutoka kwa ronaldo ujue wamekwishwa[emoji16]
Tutajie timu alizochezea pele
kwanza ligi ya USA na brazil km messi angecheza akiwa kijana angefunga goli alfu tatu na kuendelea
Namkubali pele km mfungaji mzuri ila hajamfkia messi
AHSANTE MKUU KeyserSoze kama ni hivyo kuwa enzi za pele offside zilikuwepo ila hakukuwa na faulo au penalt za mchongo kama sasa basi hakuna kama PELE.Mpangumbe
Shida ya uongo ukikaa kimya wala bila kubisha wala kurekebishwe hutokea kuaminiwa kama ni ukweli kwahio karne hii ya information at your fingertips mtu ukisikia story yoyote ni vema kujiridhisha ama sivyo unakuwa part ya ku-recycle uongo...
Ukweli ni kwamba enzi za kina Pele bora uwe defender kuwa stricker wewe na maumivi ilikuwa pete na kidole issue za ma-winger kupanda zilikuwa hazipo mijamaa imekaa nyuma tu inakusubiri ikupe maumivu na offside ilikuwa offside kweli sio sasa hivi sijui nipo marginally onside....
Mkuu mbona unakuwa mvivu ? Ulishawahi kujiuliza na kufanya Research kwanini Pele hakwenda Juventus, Real n.k. Tafuta sababu alafu utaelewa...
Ila kama watu wenye uwezo wa kuchambua ngoja tupime like for like..., yaani makombe / mashindano aliyocheza Pele na ambayo kacheza Messi (like for like) ambayo ni World Cup.., Hapo Stats zipo vipi naomba unijibu...
Mpira si magoli tu, Ingekuwa hivyo basi viungo wasingeingia ktk list ya wachezaji bora duniani.Football is a Game of Opinions, na kuna wengi wanajaribu kufananisha umahiri wa mchezaji wa kipindi fulani na kipindi kingine; Ingawa ni vigumu na kila mchezaji ana repertoire yake tofauti tofauti ndio maana nikitaka kuwa entertained huenda ningemuangalia...
Sasa unataka kulinganisha nini ? Au nikutajie wachezaji ambao waliweza kucheza vizuri La Liga wakarudi huko makwao wakashindwa kucheza au unadhani River Plate, Santos n.k. ni timu za vijiweni ?Huna akili
Kombe la dunia ni mechi saba, mechi za ligi 30+
Messi hata asingechukua kombe lw dunia hakuna mchezaji wa kulinganishwa naye kwa kweli
Ni kweli pele alifanya vizuri enzi za mpira wa giza lkn kaachwa mbali na messi
Sasa unataka kulinganisha nini ? Au nikutajie wachezaji ambao waliweza kucheza vizuri La Liga wakarudi huko makwao wakashindwa kucheza au unadhani River Plate, Santos n.k. ni timu za vijiweni ?
Au unadhani kuna timu duniani ilikuwa haimtaki au kumfuata Pele ? Kama haujui ni kwamba Timu zote za ulaya zilikuja kumtafuta na nchi / Bunge kulazimika kubadilisha Sheria ili asiweze kuuzwa nje.....
Nani kasema ni Magoli ? Na unadhani Pele alikuwa na Magoli Pekee kuna kitu kinaitwa clinical ambacho Pele alikuwa nacho na Messi hana....Mpira si magoli tu, Ingekuwa hivyo basi viungo wasingeingia ktk list ya wachezaji bora duniani.
kuanza kama winger hata kina Henry, Ronaldo n.k. walianza hivyo mpira wa sasa wale original number 9 / 10 hawapo tena..., na Pele pamoja na kuwa forward alikuwa anashuka na kutafuta mipira na ku-take on defenders....By the way, Messi alianza kama Winger, lazima ufungaji wake uwe mdogo kuliko forward.
Yaani ucheze mechi nyingi zaidi alafu ujifananishe na mtu aliyecheza mechi chache...., ndio maana kuna kitu kinaitwa ratio....,Hata hivyo mpaka sasa Messi keshamzidi Pele idadi ya Magoli na Assists.
Kukusanya kijiji ili waende wapi..., Pele alikuwa anazungukwa na madefender pia na sio kuzungukwa na kumwangalia bali kuzungukwa na kupigwa kiatu huku refa anapeta...., (sasa unadhani hapo mpira hautapotea) alafu hizo stats za pele kupoteza mipira umezitoa wapi ? Una stats ya Pass Completion ya Pele ?Lakini ukiacha yote hayo, Messi ana uwezo mkubwa wa kukusanya kijiji kuliko Pele. Pele alikuwa mwepesi wa kupoteza mpira kuliko Messi
Sasa hii chenga ni ngumu kabisa hadi iwe kigezo cha kuwa the Greatest? ina maajabu gani?Burudika na Chenga ya Pele kidogo ya ku-feint mwili umshuhudie kidogo...
Sasa hii chenga ni ngumu kabisa hadi iwe kigezo cha kuwa the Greatest? ina maajabu gani?
Sasa mbona hapo anachezewa rafu na refa anasimamisha mpira kuonesha ni faulo? Tafuteni vigezo ndugu zangu otherwise Messi ni bora kuliko huyo pele.Ngoja nikupe dondoo..., mwaka ni 1966
1966 World Cup
Pelé scored the first goal from a free kick against Bulgaria, becoming the first player to score in three successive FIFA World Cups, but due to his injury, a result of persistent fouling by the Bulgarians, he missed the second game against Hungary.
Ingawa mechi ya tatu alirudi ila alipigwa kiatu na akianguka watu bado wanakanyaga..., kipindi kile hakuna substitution inabidi mtu unaendelea kuchechemea tu..., In short ilikuwa Brutal (ndio maana Pele akaamua kujiuzulu ingawa baadae alirudi (ama sivyo tungeshindwa kushuhudia vitu vyake 1970) na hapo FIFA ilibidi wa-introduce red / yellow cards
SahihiUkiona mjadala wanauhamishia kwa pele kutoka kwa ronaldo ujue wamekwishwa[emoji16]
Tutajie timu alizochezea pele
kwanza ligi ya USA na brazil km messi angecheza akiwa kijana angefunga goli alfu tatu na kuendelea
Namkubali pele km mfungaji mzuri ila hajamfkia messi
Kama ni World cup hata Messi 3 angekuwa nazo timu ilikuwa haijitambui tu eg 2014 ile fainal Argentina alishindwa mwenyewe kisa ujinga wa other strikers huwezi kumlaumu Messi hapoMkuu mbona unakuwa mvivu ? Ulishawahi kujiuliza na kufanya Research kwanini Pele hakwenda Juventus, Real n.k. Tafuta sababu alafu utaelewa...
Ila kama watu wenye uwezo wa kuchambua ngoja tupime like for like..., yaani makombe / mashindano aliyocheza Pele na ambayo kacheza Messi (like for like) ambayo ni World Cup.., Hapo Stats zipo vipi naomba unijibu...
Okay kwahio cup competition haina maana ? Sawa.... ngoja nifuate logic yako ili uone kwamba hata wewe mwenyewe hujui unaongea nini au unasimamia nini ?Narudia huna akili
Kombe la Dunia ni mechi saba ligi ni mechi 30+
Messi hapimwi kwa kuchukua kombe la mechi saba tu japo amechukua
Hivi unashindwa hata kufanya research kidogo ndugu yangu.... unaongelea kwamba Europe ndio kuna mpira kipindi cha Pele wangapi walikuwa wanatoka kwao kucheza Europe ? Na kipindi hicho ambacho Brazil ilikuwa inachukua makombe huku na kule wale wachezaji walikuwa wanacheza timu gani ? Pili unajua 1961 pele alifanywa nyara ya Serikali ili asichukuliwe ?Pele aliogopa kwenda uropa kwasababu ushindani ni mkubwa kuliko huko kwao markani
Club Bingwa ya dunia ilianza lini ? Mkuu cheki hapo continental cup ambayo ilikuwa ni European and South American Cup kipindi cha Pele...River plate au bocca ingekuwa bora ingekuwa inachukua klabu bingwa wa dunia
Tunaona kila msimu klabu bingwa ya dunia inaenda ulaya
FactNarudia huna akili
Kombe la Dunia ni mechi saba ligi ni mechi 30+
Messi hapimwi kwa kuchukua kombe la mechi saba tu japo amechukua
Pele aliogopa kwenda uropa kwasababu ushindani ni mkubwa kuliko huko kwao markani
River plate au bocca ingekuwa bora ingekuwa inachukua klabu bingwa wa dunia
Tunaona kila msimu klabu bingwa ya dunia inaenda ulaya
Kwahio unadhani watu na akili zao wanatafuta stats za kina Pele kwa kutumia Instagram ya Pele ? Yaani FIFA Officially verified Stats ni Insta ya Pele ?Pele ni muongo muongo Ronaldo alivyofikiwa idadi ya magoli aliyo funga aka update bio ya insta kuongeza magoli ili aonekane bado anaongoza wakati mwanzo bio yake ilikua inasoma idadi ya magoli ambayo Ronaldo kayafikia.
Hii nishajibu mara kibao hata kwenye Post hapo juu acheni kudanganyana Offside rule imeanza tangia 1800's na pia haikuwa marginally onside bali lazima awepo jamaa kabisa mbele yako achana na sasa kwamba upo nae sambambaKwangu Mimi Messi ndo mchezaji Bora zaidi kwanza anacheza nyakati ngumu sana hakuna magoli ya offside Kama enzi ya kina pele na maradona waliokua wanafunga hadi na mkono
Hiyo tu ilinifanya nimwone ni mwoga kufunikwa hahahaPele ni muongo muongo Ronaldo alivyofikiwa idadi ya magoli aliyo funga aka update bio ya insta kuongeza magoli ili aonekane bado anaongoza wakati mwanzo bio yake ilikua inasoma idadi ya magoli ambayo Ronaldo kayafikia.
Kwangu Mimi Messi ndo mchezaji Bora zaidi kwanza anacheza nyakati ngumu sana hakuna magoli ya offside Kama enzi ya kina pele na maradona waliokua wanafunga hadi na mkono