vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Higuan yule mshenzi sana alinifanya nimchukie mno
Ila kwa mchango wa messi kwenye mpira dunia hii hata asingebeba kombe la Dunia bado ndiye angekuwa mchezaji bora wa wakati wote
Ila kwa mchango wa messi kwenye mpira dunia hii hata asingebeba kombe la Dunia bado ndiye angekuwa mchezaji bora wa wakati wote
Kama ni World cup hata Messi 3 angekuwa nazo timu ilikuwa haijitambui tu eg 2014 ile fainal Argentina alishindwa mwenyewe kisa ujinga wa other strikers huwezi kumlaumu Messi hapo