Messi Vs Pele

Messi Vs Pele

Wanaoongelea mpira sababu ya social media waache waendelee kuongea ukisoma post yangu ya mwanzo kabisa nimesema football is a game of opinions na hilo sikatai mimi ukiniambia wachezaji wakali duniani naweza kumtaja Andre Pirlo, the guy has footballing brain..., wala sitashangaa watu wanaopenda entertainers, au waliompenda OCD kutokana na uchezaji wake wa akili au Samli Ayoub kutokana na Ustaarabu wake wakati ni beki..., its all about Opinions wala haikatazwi.... Na wakati watu walikuwa wanaangalia Galacticos kina Zidanne na Roberto Carlos mimi nilikuwa naangalia umuhimu wa Makelele bila yeye timu inakosa balance wakati wengine wanafanya fancy stuff yeye anaprovide safety...

Kama unafuata mchezaji bora kwa kura kama za urais hio ni prerogative yenu, lazima kizazi ambacho kipo current kichagua mtu ambaye yupo current sababu ndio wamemuona na kukua nae; ila footballing people tunakwenda deep..., Sasa baada ya kuja Kwamba Messi ni bora kwa miaka yote ndio likaja swali Pele vipi ? Ooh Pele kipindi kile kulikuwa hakuna sheria, mara kulikuwa offside (hizi zote ni story za kwenye Gahawa..., Na mimi kama mpenzi wa soka ninasaidia kuchambua makapi kwenye ukweli hayo mengine ya mapenzi ya fulani au nani ninawaachia nyie na social media zenu
Unaelewa watu wengi hawaelewi?

Hawaelewi kuwa hatupingi kwamba Messi sio bora, tunapinga kusema Messi ni GOAT yani wa muda wote compared na malegends kina Pele na Diego

Diehard fans wa Messi ni watata sana, wamenisumbua sana kwenye uzi wa World cup
 
Vile vikosi ambavyo Pele alichezea kwenye kombe la dunia vilikuwa vimekamilika. Kwa hiyo hata kama Pele asingekuwemo vingetwaa ubingwa tu.

Chukilia mfano michuano ya meaka 1962, licha ya Pele kuumia katika mechi ya pili, lakini akina Garincha waliibeba timu mpaka ikafanikiwa kubeba ubingwa.

Halafu kitu kingine inabidi uelewe, Kubeba Worldcup ni team work. Sasa kama wewe kwenye kikosi ni bora sana ila kuna wenzio wanafungisha, hilo linakufanyaje usiwe bora?

Cha msingi angalia individual contributions katika kila gemu, usichukue mafanikio ya timu nzima na kumtwika mtu mmoja, au usitumie kuvurunda kwa timu ukamtwika mtu mmoja!.
Kwako wewe kati ya Messi na Di Maria nani aliyekiwa na mchango kwenye kuibeba timu kwenye mechi ya fainali??
 
Bora kaka komeo useme wewe maana enzi zile hawakuepo hawa vijana ila wabishi kweli.
Hawaelewi na ndo maana wabishi. Ni kizazi cha dot com. Kizazi hiki tatizo kubwa ni kuwa HAKIJUI KUWA HAKIJUI. Tofauti na sisi enzi zetu tulikuwa tunajua kuwa hatujui. Katika akili timamu bila kuvuta bangi,kulewa ,kuwa umeathirika na kubakwa au jambo baya lolote. UNAWEZAJE MLINGANISHA MESSI NA MCHAWI PELE? YAANI UNAANZIA WAPI? HAIWEZEKANI KAMWE.
 
Kwahio unaweza kumchezesha Messi kama target man ?, Hivi wewe kama kocha na ukaambiwa uchague mchezaji mmoja kiraka utamchagua Messi au Zidanne (na kabla haujawaza sana kumbuka Zizzu ni Midfilder)

Unajua Pele alikuwa hadi anadaka ?!!!

“Although I’m not that tall,” Pele wrote in his 2006 autobiography, “I was always a good goalkeeper because of my leap. Both with Santos and the [Brazilian] national team, I was always the reserve goalkeeper. I played four times in goal for the club and just once, in a friendly, for Brazil.”
Umeuliza Messi na Pele

Mambo ya zizzou yametoka wapi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alicheza namba zote sio? Sasa tupe statistics zake kwa kila idara aliyocheza.
Mfano akiwa striker no 9 alifunga goli kadhaa
Akiwa playmaker (kiungo) alitoa asist ngapi na kushinda duels on ball ngapi , akiwa Golikipa alipata cleansheat ngapi? Akiwa beki no 2 alipiga crosses ngapi na kumdhibiti vilivyo winga yupi?

Hivo no nyingine uzitaje pia
Stats nyingi za Pele ni za mchongo.

Hakuna clear stats.

WC na uweusi wake unambeba

Mostly wanaomoamba humu hawajawahi hata muona akicheza katika mechi za live labda clips fupi fupi(simaanishi kumuona kwa macho)

Messi tumemuona na tumemshuhudia kwa macho yetu tangu anaanza first team enzi za frank rijkaard
 
ila ilikosa sifa za kipindi kile.
Nyie si ndo mnalazimisha tukompee era za wavuta sigara na professional athletes
Kwa maana hiyo hata hawa wavuta shisha waliochukua hii kombe wangeweza kukosa ingetumika system ya kipindi kile na yule dwarf angekosa hiyo sifa mnayompa hapa jukwaani
 
Kwa hiyo kama Pele hatujawahi kumshuhudia unaliwekaje hili jambo?
Sishuhudii nisichokiona kwa ukubwa na sinaga muda na debate dhidi ya watu wa era na roles tofauti.
Sipotezi muda.
 
Sishuhudii nisichokiona kwa ukubwa na sinaga muda na debate dhidi ya watu wa era na roles tofauti.
Sipotezi muda.
Mpaka hapa usha debate, mpaka hapa ushapoteza muda

Uuna unafki mwingine zaidi ya huo unaweza share na sisi?
 
Mpaka hapa usha debate, mpaka hapa ushapoteza muda

Uuna unafki mwingine zaidi ya huo unaweza share na sisi?
Kuna mtu mnafk Kama wewe.
Mnaletaga ngonjera mnazozani zinaweza kuwa deabte mnasimama kudefend uchafu
 
Hawaelewi na ndo maana wabishi. Ni kizazi cha dot com. Kizazi hiki tatizo kubwa ni kuwa HAKIJUI KUWA HAKIJUI. Tofauti na sisi enzi zetu tulikuwa tunajua kuwa hatujui. Katika akili timamu bila kuvuta bangi,kulewa ,kuwa umeathirika na kubakwa au jambo baya lolote. UNAWEZAJE MLINGANISHA MESSI NA MCHAWI PELE? YAANI UNAANZIA WAPI? HAIWEZEKANI KAMWE.
Enzi zenu za wapi wewe ? Kama tunaona matukio yaliyotokea kwenye ww2 , tushindwe kuona script za Pele , et Enzi zetu , yote aliyoyafanya Pele nasema yote clip zipo hakuna haja ya kudanganya watu...!! Zote zipo hakuna iliyojificha , hata Messi tunamuona kwenye TV , wachache wanaomshuhudia uwanjani kila game, hata kama ulikuwepo kipind cha Pele ( possibly not ) waliokuwepo wengi wao walimuona kwenye TV kama Sisi tunavyomuona kwenye TV Messi Leo , Hakuna jipya Pele amefanya Messi hajafanya , makombe kazidiwa na Messi , magori kazidiwa , average stats za game , goal and assist ndo mnajifichia hapo , Kwa vile Messi anaendelea kucheza tutazifunika na hzo zotee....!! Kichaka cha mda mrefu kilikuwa ni World cup , imenyanyuliwa mnaanza kuleta ngojera za mara kipind kile kulikuwa na hki mara kile , yaan full ujinga mtupu....
Huyo babu yenu Pele kwishaaaa, sku ZOTE REKODI HUWA ZINAVUNJWA, tunashukru kwa inspiration aliyofanya Ila kuna wababe Zaid yake ...
 
😂😂😂 ila mashabiki wa ronaldo wana shida sana
Yani wanatapa kama nyani anayeanguka, wanatafuta tawi la kushika, kila tawi linateleza.

Mara Mbappe mara Pele mara Maradona😂😂😂
Mimi sio Mshabiki wa mtu ni shabiki wa mpira kwahio nina appreaciate talent..., ila like for like Messi anamshinda Ronaldo kwa Chenga, lakini suala la kufunga, pace, nguvu header ability hamfikii hata kidogo...

Ronaldo naweza kumchezesha kama Target Man kirahisi zaidi kutokana na height yake, Mbappe ni among the fastest striker hakuitwa Cheetah sababu anafanana na Chui kwa Sura...., kwahio mkuu ukiwa mpenda Soka una-appreciate hadi kina Taribo West....

Ila tukija kwenye mambo yaliyofanyika kumlinganisha the King na hawa wengine ni kutotendea haki Soka... The King ni SI Unit yaani wengine wanalinganishwa kutokana na hiki kipimo..., Miaka mingapi imepita lakini bado unasikia fulani kafanya hivi since Pele...
 
Umesoma niliyoandika ? Ngoja nirudie na kukupa link...

Offside ya zamani haikuwa tu marginally bali ilitakiwa yawepo majamaa mawili mbele yako ambayo ni ruksa kukupiga kiatu na hata mtu wa nyuma kukubiga kiatu kutokea nyuma..

Hebu jipe elimu hapo chini... (Ili mkiwa mnadanganyana kwamba mpira zamani ulikuwa hauna offside uweze kuwarekebisha wenzako)
Even during the early years of soccer, the problem with players “goal hanging” was evident. Players would stand around the goal waiting for the right opportunity. In order to prevent this, the offside rule was born. Let’s take a look at the history of the offside rule.

The Offside Rule – 1863
history-offside-1863.gif

The offside rule originated in 1863. A player was considered offside unless three players of the opposing side are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is considered offside because only two players are in front of him.

The Offside Rule – 1925
history-offside-1863.gif


The offside rule was changed in 1925. A player was considered offside unless two players of the opposing team are in front of him (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because two players are in front of him.

The Offside Rule – 1990

history-offside-1990.gif


The offside rule was changed again in 1990. A player is onside if he is level with the second-to-last player of the opposing team (includes goalkeeper). So in the above diagram, the player with the ball is NOT considered offside because he is level with the second-to-last player.

Even though the rule has changed a couple times, many still have issues with the rule. Some say making an offside call is impossible and feel that FIFA should change the rule again. Only time will tell!

Mkuu umewapa takwimu, watakuua Hawa. HAWANA WAJUALO WALA WATAKALOLIKUBALI.. WATAKUUA.
 
Enzi zenu za wapi wewe ? Kama tunaona matukio yaliyotokea kwenye ww2 , tushindwe kuona script za Pele , et Enzi zetu , yote aliyoyafanya Pele nasema yote clip zipo hakuna haja ya kudanganya watu...!! Zote zipo hakuna iliyojificha , hata Messi tunamuona kwenye TV , wachache wanaomshuhudia uwanjani kila game, hata kama ulikuwepo kipind cha Pele ( possibly not ) waliokuwepo wengi wao walimuona kwenye TV kama Sisi tunavyomuona kwenye TV Messi Leo , Hakuna jipya Pele amefanya Messi hajafanya , makombe kazidiwa na Messi , magori kazidiwa , average stats za game , goal and assist ndo mnajifichia hapo , Kwa vile Messi anaendelea kucheza tutazifunika na hzo zotee....!! Kichaka cha mda mrefu kilikuwa ni World cup , imenyanyuliwa mnaanza kuleta ngojera za mara kipind kile kulikuwa na hki mara kile , yaan full ujinga mtupu....
Huyo babu yenu Pele kwishaaaa, sku ZOTE REKODI HUWA ZINAVUNJWA, tunashukru kwa inspiration aliyofanya Ila kuna wababe Zaid yake ...
Sasa kama unaandika Magori, script badala ya clip kweli kubishana nawe nitakuwa sikutendei haki nami wenzangu wakinisoma hapa wanaweza hisi nina tatizo la afya ya akili. Swali jepesi. Unajua Pele amechukua kombe la Dunia mara ngapi?
 
Kwa nini Pele hakufunga goli iwe 2-1 au hapo napo wangenyimwa kombe?
Kwenye hiyo fainali Pele alifunga goli 1 na Argentina walifunga 1 ikawa 1-1 ila kulingana na sheria za kipindi icho ikabidi kombe litolewe kwa sandakalawe
 
Back
Top Bottom