Messi Vs Pele

Messi Vs Pele

Hahaha team Cr mnamakasiriko balaaa apo kwnye uchambuzi huoni kila ukimtaja Messi unamcompare na wachezaji tofauti kuliko Pele ? Af uyo Pele kacheza kipindi watu hawajui kucheza ata kwa position mpira ukienda uku wapo huku wapo ila goat kapga Kaz huku kwny mpira ni sayansi
 
Messi ashindanishwe na akina Cristiano na Mbappe, mkipata muda kaangalieni clip au mechi aliyocheza Pele akiwa na Miaka 50 ilikuwa kati ya Brazil vs World stars.
Yaan zile skills anazotoa na kufanya uwanjani na kwa umri ule mtaona how far jamaa alikuwa. Yaan skills zake mguuni, Afrika nzima hakuna wa kumfikia kwa katika umri ule tu wa miaka 50.

humpendi ila moyoni unamkubali zaidi ya mchezaji yeyote.. pole sana.. Be patient
 
The special one said it!
2050557207.jpg
 
Naona ashakamatika hapo kama Pele hakuwa best scorer kwenye world cup zote 3 sasa huo ubora wake ulikuwa kwenye nini hasa? [emoji23]

Messi takwimu zipo wazi kila role yake imekuwa superb

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Du Aisee hivi unajua hata unachobishania ? Ingawa nishagundua ni mvivu wa kusumbua akili yako.., ngoja nikuulize tu Messi alikuwa mfungaji bora wa World Cup ya mwaka gani ?!!!! Ngoja nikusaidie kukuonyesha wafungaji bora wote wa world cup zote mpaka leo....,


Ili nikusaidie katika upimaji wa ufungaji wachambuzi ambao logic inatuongoza huwa tunaangalia ratio na katika Ratio ya World Cup Games (michezo waliyocheza na magori waliyofunga) wakati Messi ana 0.5 pele ana 0.86
 
Hahaha team Cr mnamakasiriko balaaa apo kwnye uchambuzi huoni kila ukimtaja Messi unamcompare na wachezaji tofauti kuliko Pele ? Af uyo Pele kacheza kipindi watu hawajui kucheza ata kwa position mpira ukienda uku wapo huku wapo ila goat kapga Kaz huku kwny mpira ni sayansi
Aisee hapa nafanya kazi ya kujirudia rudia tu..., what happen to no facts no right to speak hivi unajua formations zimeanza lini ? Au unajua Total football ilivumbuliwa huko 1930's
in the early 1930s, Meisl's Austria national football team (known as the "Wunderteam") became possibly the first side to play Total Football
.

Major Football Lineup Changes​

Dominant FormationsYearsMajor Influence
1-1-8, 1-2-7, 2-2-6 1860's - 1880's Rugby
2-3-5 1880's - 1925 Scottish Passing Game
3-3-4 1925 - 1950's Offside
4-2-4, 4-3-3 1950's - 1970's Countering 3-3-4
4-4-2, 5-4-11970's - 1990's Italian Defensive Game
3-5-2, 5-3-2 1990's - 2000's In Game Formation Changes
Variable Formations 2000's - Present Day Fluid Formations Changing On Situation

Au unadhani ni kipi kipya zaidi ya ku-recycle old ideas ? Ndio yale nilisema usipotembea (kwa mfano wangu usipokuwa mfuatiliaji / msomaji) utadhani mke / mama yako ndio mpishi hodari (kwa mfano wangu utadhani unachokiona wewe ndio bora kuliko vingine)

Penda kufanya utafiti ili uweze ku-appreciate kila kitu na wakati wake.....

Nachelea kusema tofauti kubwa imekuwa kwa ma-defender, walinzi wa sasa hawa-concentrate kwenye ulinzi bali kwenye uchezaji wa kusaidia mashambulizi..., Sheria zimefanya walinzi wawe na kazi ngumu hawawezi kutumia their physical strength tena ndio maana unakuta kina Kolo Toure wanabadilishwa from Midfielders na kuwa Central Defenders; Wingers (Kina Messi, Ronaldo, Henry wanabadilishwa kuwa Strikers), ili kutumia fursa ya marginally onside waweze kuwaponyoka walinzi (zamani hakuna marginally onside..., offside ilikuwa offside kweli)
 
Messi ukimtaka kama striker, forward, winger, playmaker anakupa vyote hivyo.

Anaweza kubadilisha mchezo, anafunga, anatoa pass zenye macho assist nyoofu.

Nimemuona Messi tangu akiwa kinda enzi za rijkaard hadi Leo akifikia ukingoni mwa career yake .

He is the best acha kizazi Cha Pele waamue wanavyoona wao.
Nakazia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alicheza namba zote sio? Sasa tupe statistics zake kwa kila idara aliyocheza.
Mfano akiwa striker no 9 alifunga goli kadhaa
Akiwa playmaker (kiungo) alitoa asist ngapi na kushinda duels on ball ngapi , akiwa Golikipa alipata cleansheat ngapi? Akiwa beki no 2 alipiga crosses ngapi na kumdhibiti vilivyo winga yupi?

Hivo no nyingine uzitaje pia
Achana nae
 
Hahaha team Cr mnamakasiriko balaaa apo kwnye uchambuzi huoni kila ukimtaja Messi unamcompare na wachezaji tofauti kuliko Pele ? Af uyo Pele kacheza kipindi watu hawajui kucheza ata kwa position mpira ukienda uku wapo huku wapo ila goat kapga Kaz huku kwny mpira ni sayansi

Siku hizi ball linapigwa kiakili, wakati wa pele mtu kama GOAT angefikisha magoli 2000, wakati wa GOAT, pele asingefikisha hata goli 500

Pele level yake wakina aguero, Zidane, de lima, gaucho, kempes, Alfredo Di Stéfano, puskas n.k.. Messi na Diego ni wapekee
 
Back
Top Bottom