Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Talented na hardworking ni mtu na mdogo wake messi bila kuwa hardoworker asingefikia hapo usingemjuaHardworking Vs talent.
Nafikiri kila zama na mtu wake, ni bahati iliyoje safari hii tumepata magwiji wawili kwa wakati mmoja maana sidhani kama itakuja tokea tena, ila mimi nabaki kwa Dinho, mzee wangu humwambii kitu kuhusu Maradona.Nadhani unamzungumzia Cristian Ronaldo hakuna kama yeye dunia hii.. Ila ukija upande wa pili huyu Mess, mbilikimo, Lapuga aka chawa sio mchezaji wa dunia hii ni mchezaji labda sayar nyingine huko most talented ndio maana tunashindwa mfananisha na yoyote
Ni kweli ila Ronaldo took hardworking to another level, physique speaks volume! Mwili hujionyesha unapofanyishwa kazi ya ziada na matokeo yake huonekana!Talented na hardworking ni mtu na mdogo wake messi bila kuwa hardoworker asingefikia hapo usingemjua
Iyo sayari nyingine hakuna watu wanaoishi ndmana anaoneka bora Ila sayari hii yetu ni wapili baada ya ronaldoNadhani unamzungumzia Cristian Ronaldo hakuna kama yeye dunia hii.. Ila ukija upande wa pili huyu Mess, mbilikimo, Lapuga aka chawa sio mchezaji wa dunia hii ni mchezaji labda sayar nyingine huko most talented ndio maana tunashindwa mfananisha na yoyote
Babu anamtoto yuleUwezi kumlinganisha kooocho na Mwanaume kamili.
Kwaiyo beyern team ndogoWhen CR scores, it's ordinary game small teams(and always Madrid already leading)
When Messi scores, frequently it's a deciding goal/s and tough games vs big Teams
So unataka kuniambia ronaldo sio talentedNi kweli ila Ronaldo took hardworking to another level, physique speaks volume! Mwili hujionyesha unapofanyishwa kazi ya ziada na matokeo yake huonekana!
Kama ulivyosema talents na hardworking ni mtu na mdogo wake, talent unaweza i-boost zaidi kutokana na kiasi gani una-hard work, ronaldo kwangu namuona ni hard work zaidi ya messi ila simaanishi kuwa ni zaidi ya messi, hii ishu ya nani zaidi kati ya hawa jamaa ni mahaba tu, wote wana flavor tofauti ila wote ni hatari.So unataka kuniambia ronaldo sio talented
Umeongea fact broo niceKama ulivyosema talents na hardworking ni mtu na mdogo wake, talent unaweza i-boost zaidi kutokana na kiasi gani una-hard work, ronaldo kwangu namuona ni hard work zaidi ya messi ila simaanishi kuwa ni zaidi ya messi, hii ishu ya nani zaidi kati ya hawa jamaa ni mahaba tu, wote wana flavor tofauti ila wote ni hatari.
Tujivunie kizazi hiki kuwaona wote kwa wakati mmoja.
HahahaMmmh...... Hadi la kutembea na watoto wazuri???
Kweli mleta mada unamapenzi makubwa na Cristian R
Kazi na dawa kkMmmh...... Hadi la kutembea na watoto wazuri???
Kweli mleta mada unamapenzi makubwa na Cristian R
Kama ulivyosema talents na hardworking ni mtu na mdogo wake, talent unaweza i-boost zaidi kutokana na kiasi gani una-hard work, ronaldo kwangu namuona ni hard work zaidi ya messi ila simaanishi kuwa ni zaidi ya messi, hii ishu ya nani zaidi kati ya hawa jamaa ni mahaba tu, wote wana flavor tofauti ila wote ni hatari.
Tujivunie kizazi hiki kuwaona wote kwa wakati mmoja.
Umeongea vema na binafsi nimekuelewa na ombi langu ni wengine nao waelewe kama mimiKama ulivyosema talents na hardworking ni mtu na mdogo wake, talent unaweza i-boost zaidi kutokana na kiasi gani una-hard work, ronaldo kwangu namuona ni hard work zaidi ya messi ila simaanishi kuwa ni zaidi ya messi, hii ishu ya nani zaidi kati ya hawa jamaa ni mahaba tu, wote wana flavor tofauti ila wote ni hatari.
Tujivunie kizazi hiki kuwaona wote kwa wakati mmoja.
Mkuu naona hujaelewa maana ya neno talent. Rudi kwenye kamusi mkuuTalented na hardworking ni mtu na mdogo wake messi bila kuwa hardoworker asingefikia hapo usingemjua