mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba hazidanganyi, wengi watapita kimya kimya!Umelianzisha.They're on the way!
Angalia hata goals per minute! Je kila mmoja anahitaji dakika ngapi ili afunge goli moja kwenye mechi za kimataifa? Hapo hoja nani kaanza mpira lini inakufa kifo cha mende! Namba hazidanganyi!Messi kaanza mpira lini na ronaldo kaanza lin..tuanzie hapo...
Namba hazidanganyi...Messi kaanza mpira lini na ronaldo kaanza lin..tuanzie hapo...
nakaxia hapo hapo...Messi kaanza mpira lini na ronaldo kaanza lin..tuanzie hapo...
Kwa ufupi kimahesabu kama Messi angecheza mechi 176 kama cr bado angekuwa na goli 88nakaxia hapo hapo...
shabiki weng wa cr hawajuagi kuwa cr kacheza mechi nying kuliko messi...
Na kasi ya kufunga je? Yaani minutes per goal? Je kkla mmoja anahitaji dakika ngapi aweze kufunga goli moja? Hata ukianzia kuwahesabia magoli kwa mwaka ule ambao mdogo (maana hapa hatutaji majina ni namba tu zinazungumza) alianza kuchezea timu ya wakubwa bado mmoja anazidiwa sana!! Maana kupishana kwao ni takriban miaka miwili tu.nakaxia hapo hapo...
shabiki weng wa cr hawajuagi kuwa cr kacheza mechi nying kuliko messi...
Namba zimewakamata! Huwezi kubishana na namba! Ndio maana wengi wanapita hapa kimya tu!! Wachache wanaojitosa wanajikuta hawana hoja ya msingi na hawawezi kuzifanyia ubishi namba!!Kwa ufupi kimahesabu kama Messi angecheza mechi 176 kama cr bado angekuwa na goli 88
Messi amebakiza kufunga magoli ya tuta na nina uhakika hafikishi goli 90 taifa. Scoring & working rate inashuka kwa kasi na mwakani atakimbilia marekani. Bado namuona cr at top level miaka 3 ijayoNamba zimewakamata! Huwezi kubishana na namba! Ndio maana wengi wanapita hapa kimya tu!! Wachache wanaojitosa wanajikuta hawana hoja ya msingi na hawawezi kuzifanyia ubishi namba!!
CR kaanza chukua vikombe vikuu kabla ya messi kuanza kucheza??nakaxia hapo hapo...
shabiki weng wa cr hawajuagi kuwa cr kacheza mechi nying kuliko messi...
Neymar mzee wa game la show, hawa sio level zake..Kwani tuzo ya Ballon d or ,inamaanisha ndiye mchezaji bora ,sasa aliyechukua nyingi kumzidi mwenzie huyo ndo bora mi staki kumjua ni nani
Nipo na neymar fundi wa mpira hapa Brazil
Mzee wa game la show wa muda wote ni Ronadinnho!! Wote waliowahi kucheza mpira hakuna anayejua kuuchezea mpira kama anavyotaka!! Jkitaka kuyaona maajabu yake weka bandk la nguvu halafu mtafute you tube!!Neymar mzee wa game la show, hawa sio level zake..
Unanikumbusha okocha, na mbwembwe zake nyiingi, wakati mwingine anafosi kufanya vitu havina faida na timu, hii ilimcost saana huyu legend wa kinaijeria.