Messi vs Ronaldo: Rekodi mechi za kimataifa-Namba hazidanganyi!

Messi vs Ronaldo: Rekodi mechi za kimataifa-Namba hazidanganyi!

Tuwekee na penati. Je katika hayo magoli ya mesi ni mangapi ya kawaida na mangapi ni penati. Na cr hivyo hivyo tupe ya penati mangapi katika hayo magoli
 
nakaxia hapo hapo...
shabiki weng wa cr hawajuagi kuwa cr kacheza mechi nying kuliko messi...
Ronaldo kaanza kuchezea timu ya Ureno mwaka 2003 wakati Messi kaanza kuchezea timu ya Argentina mwaka 2005. Kwahiyo wanapishana miaka miwili. Basi tuwahesabie magoli yao kuanzia mwaka 2005 ambapo wote walianza kucheza. Yaani magoli ya Ronaldo aliyofunga mwaka 2003 na 2004 tusiyahesabu! Tukifanya hivyo mpaka sasa Ronaldo atakuwa na magoli 100 wakati Messi ana magoli 73 tu toka 2005 mpaka sasa!!
Halafu kwa mechi za kimataifa wakati kasi ya Ronaldo kufunga magoli inazidi kupaa, kwa Messi kasi ya kufu ga magoli inazidi kushuka! Ushahidi wa hilo ni mashindano yanayoendelea sasa ya Euro cup na Copa America!
 
Mzee wa game la show wa muda wote ni Ronadinnho!! Wote waliowahi kucheza mpira hakuna anayejua kuuchezea mpira kama anavyotaka!! Jkitaka kuyaona maajabu yake weka bandk la nguvu halafu mtafute you tube!!
Mimi sio wa kumtafuta Ronaldinho YouTube.
 
Kasi ya Messi ya kufumania nyavu ni asilimia 20% tu ukilinganisha na kasi ya Ronaldo. Kwa mechi 3 alizocheza Messi kwenye mashindano ya Copa America yanayoendelea sasa amefunga goli 1 tu. Lakini kwa mechi 3 alizocheza Ronaldo kwenye mashindano ya Euro 2020 yanayoendelea sasa amefunga magoli 5!! What a difference!! Tukubaliane Ronaldo ni wa kutoka sayari nyingine!! Kwa umri wa Ronaldo wa miaka 36 usingetegemea awafunike wachezaji vijana kama kina Messi, Mbape, Lukaku, nk. Sababu pekee ni kwamba R7 ni wa kutoka sayari nyingine!! Dunia anasubiri maajabu ya Ronaldo kwenye kombe la dunia mwakani 2022!!
 
Tuwekee na penati. Je katika hayo magoli ya mesi ni mangapi ya kawaida na mangapi ni penati. Na cr hivyo hivyo tupe ya penati mangapi katika hayo magoli

Takwimu za penati kwa RONALDO na MESSI kwenye mechi za Kimataifa

RONALDO
Mabao -109
Penati -14

*Sawa na 13% ya mabao yake yote

MESSI
Mabao -73
Penati -17

*Sawa na 17% ya mabao yake yote
 
Takwimu za penati kwa RONALDO na MESSI kwenye mechi za Kimataifa

RONALDO
Mabao -109
Penati -14

*Sawa na 13% ya mabao yake yote

MESSI
Mabao -73
Penati -17

*Sawa na 17% ya mabao yake yote
Basi mjadala ufungwe mpaka hapo kwa kuhitimisha kuwa Ronaldo ni bora kuliko Messi
 
Six ballon D'ors!

Mjadala ulifungwa hapo. Mmoja ni mchezaji bora duniani mara tano, wakati mwingine ni mchezaji bora duniani mara sita.

Wewe endelea kuhesabu magoli wanayofungwa North Ireland, Malta na Faroe Islands. Sisi tulifunga mjadala hapo kwenye ballon d'ors!
 
Six ballon D'ors!

Mjadala ulifungwa hapo. Mmoja ni mchezaji bora duniani mara tano, wakati mwingine ni mchezaji bora duniani mara sita.

Wewe endelea kuhesabu magoli wanayofungwa North Ireland, Malta na Faroe Islands. Sisi tulifunga mjadala hapo kwenye ballon d'ors!
Magoli aliyofunga Ronaldo kwenye Euro 2020 ni dhidi ya Ujerumani, Ufaransa na Hungary!! Timu zote hizo ziko juu kwenye msimamo wa FIFA tofauti na unavyotaka kusema!! Kwa sasa Messi amezeeka kuliko kuliko Ronaldo japo miaka yake ni kidogo! Umri na uzee ni vitu tofauti! Umri ni namba lakini uzee ni hali ya kutokujiweza kufanya mambo ambayo mwanzoni uliweza kuyafanya bila shida!! Kielelezo cha uzee wa Messi: mechi 3 goli 1 huko copa america lakini Ronaldo mechi 3 goli 5! huko Euro 2020! Hakika namba hazidanganyi
 
Magoli aliyofunga Ronaldo kwenye Euro 2020 ni dhidi ya Ujerumani, Ufaransa na Hungary!! Timu zote hizo ziko juu kwenye msimamo wa FIFA tofauti na unavyotaka kusema!! Kwa sasa Messi amezeeka kuliko kuliko Ronaldo japo miaka yake ni kidogo! Umri na uzee ni vitu tofauti! Umri ni namba lakini uzee ni hali ya kutokujiweza kufanya mambo ambayo mwanzoni uliweza kuyafanya bila shida!! Kielelezo cha uzee wa Messi: mechi 3 goli 1 huko copa america lakini Ronaldo mechi 3 goli 5! huko Euro 2020! Hakika namba hazidanganyi
Six ballon D'ors, endelea kujifanya hujayaona hayo maneno!
 
Wakati Messi anachukua tuzo nne za ballon d'or miaka minne mfululizo penaldo alikuwa wapi kama yeye ni bora kuliko King Leo??

Penaldo kaanza kucheza mpira zamani kuliko Messi lakini cha ajabu Messi ameanza kuwa mchezaji bora mara nyingi kuliko penaldo.

Huyo penaldo wenu achukue kwanza Ballon d'or ya sita ndio tuje tukae hapa kujadili upya.
 
Na kasi ya kufunga je? Yaani minutes per goal? Je kkla mmoja anahitaji dakika ngapi aweze kufunga goli moja? Hata ukianzia kuwahesabia magoli kwa mwaka ule ambao mdogo (maana hapa hatutaji majina ni namba tu zinazungumza) alianza kuchezea timu ya wakubwa bado mmoja anazidiwa sana!! Maana kupishana kwao ni takriban miaka miwili tu.
Lazima pia utazame position wanazocheza ,Messi national timu ni kiungo mshambuliaji wakati Ronaldo ni mshambuliaji direct.
Kama Messi angekuwa anacheza position ya Ronaldo yaani mshambuliaji tu basi Messi angekuwa juu kwa idadi ya mabao na real example ni idadi ya mabao aliyoyafunga wakati wa Guardiola alipomchezesha kama false 9 yaani alikuwa ana kazi moja tu nayo ni kufunga ndiyo maana 2011-2012 alifunga mabao 91 kwa msimu hii ni rekodi ya dunia ila tangu waondoke akina Iniesta na Xavi amekuwa more creater wa nafasi za kufungwa kwa wengine ndiyo maana baada ya hapo amekuwa na assist nyingi zaidi maana haangaliwi yeye zaidi kama focal point ya kufunga bali anatengeneza nafasi na kusaidia kufunga.

Kwangu Messi anakuwa bora zaidi na kwa takwimu Ronaldo kacheza mechi 30 zaidi ya Messi hivi unadhani Messi angekuwa ni no 9 kama anavyochezeshwa Ronaldo siku hizi katika mechi hizo 30 angekuwa ana mabao mangapi ?
 
Kasi ya Messi ya kufumania nyavu ni asilimia 20% tu ukilinganisha na kasi ya Ronaldo. Kwa mechi 3 alizocheza Messi kwenye mashindano ya Copa America yanayoendelea sasa amefunga goli 1 tu. Lakini kwa mechi 3 alizocheza Ronaldo kwenye mashindano ya Euro 2020 yanayoendelea sasa amefunga magoli 5!! What a difference!! Tukubaliane Ronaldo ni wa kutoka sayari nyingine!! Kwa umri wa Ronaldo wa miaka 36 usingetegemea awafunike wachezaji vijana kama kina Messi, Mbape, Lukaku, nk. Sababu pekee ni kwamba R7 ni wa kutoka sayari nyingine!! Dunia anasubiri maajabu ya Ronaldo kwenye kombe la dunia mwakani 2022!!
Euro iliyopita alifunga magoli mangapi baada ya kucheza mechi 6? Je alifunga goli 18 ili kuhanikiza hoja yako ya kwamba anafunga sana kadri muda unavyokwenda?

Imagine katika magoli yote 5 magoli 3 ni penati na moja ni tap in in short hana goli ambalo unaweza kumwagia credit nyingi kwamba amefanya kazi kubwa sana

Hivi mfungaji bora wa Ulaya msimu huu ni nani vile? [emoji23][emoji23]
 
CR7 Hatari Sana. Kama angekua anacheza Argentina kwa wale jamaa wanao mzunguka Kwasasa tungekua hatuna wa kumfananisha nae.
 
Hivi hapa tunajadili mchezaji bora au mfungaji bora? Mimi naamini kuna tofauti ya mfungaji bora na mchezaji bora. Kama wachezaji hawa wote ni ma super star kwa miaka mingi lakini hawa wote wawili wameshindwa kuzisaidia nchi zao kuchukuwa WC. Pia huu ni mwaka wa 3 wa champions league wote wawili hawajafika mbali na club zao na zaidi uchezaji wao tofauti hawafanani. Ronaldo yuko direct sana na mfungaji mzuri sana tu alikuwa japo sio siku hizi unaona wakati mwingine anataka kufanya trick zake ila umri unakataa. Messi kiufundi ni fundi hasa ule wakati wake japo naye ame slow sio Messi yule leo Messi kabakiza wiki contract iishe soko liko kimyaaa. Leo Ronaldo Juve wanatafuta njia ya kumtoa soko kimyaa. Nadhani kuanzia sasa tutakuwa tunaongelea team bora sio mchezaji bora na Italy wametufundisha EURO hawana ma star majina makubwa ila wanacheza kama team wachezaji wengine tunaanza ku search huyu anacheza wapi mbona nilikuwa simjui. Yule mtoto wa German ndio nimejuwa yuko Atalanta. Miaka hii sasa itakuwa team bora ndio inashinda ila hawa wote watabaki katika History kama wachezaji bora wamecheza mpira. Ronaldo wa Brazil, Ronaldinho, Messi, CR, Xavi, Iniesta.....
 
Kwani uchezaji bora unapimwa kwa uwezo wa kufunga tu? Kumbe waliompa Ballon D'Or Cannavaro na Zidane walikosea sio? Wabongo bhana! Mtu anakurupuka hapa anakuja na Mtu mwenye Magoli mengi Timu ya Taifa kutaka kuwaaminisha Watu kuwa ndiye mchezaji bora.

Soon mutakuja na Posts ya Kuwa Neymar ndiye mchezaji bora wa Brazil wa Muda wote manake anaelekea kuvunja every record ya Wafungaji bora wa Timu ya Taifa akiwemo Pele mwenyewe wakati hajawahi kushinda hata kikombe cha kahawa.
 
Kwani uchezaji bora unapimwa kwa uwezo wa kufunga tu? Kumbe waliompa Ballon D'Or Cannavaro na Zidane walikosea sio? Wabongo bhana! Mtu anakurupuka hapa anakuja na Mtu mwenye Magoli mengi Timu ya Taifa kutaka kuwaaminisha Watu kuwa ndiye mchezaji bora.

Soon mutakuja na Posts ya Kuwa Neymar ndiye mchezaji bora wa Brazil wa Muda wote manake anaelekea kuvunja every record ya Wafungaji bora wa Timu ya Taifa akiwemo Pele mwenyewe wakati hajawahi kushinda hata kikombe cha kahawa.
Hivi mkuu unafuatilia mpira kweli au unausoma tu kwenye magazeti na mtandaonii? Neymar hajawahi kushinda hata kikombe cha kahawa na brazil?
 

MESSISTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME​

  • 73GOALS
  • 43ASSISTS
  • 146APPS
  • 165 mins per goal
  • 104 mins per goal contribution

RONALDOSTATS ALL TIME INTERNATIONALS ALL TIME​

  • 106GOALS
  • 30ASSISTS
  • 176APPS
  • 132 mins per goal
  • 103 mins per goal contribution
Mkuu!!!
CR7 ni CR7 tu, na Messi10 atabaki kuwa Messi10 tu... Nahaitakuja tokea iwe kinyume chake...

Kwa maelezo hayo, stats haziwezi kuwa sawa, ndiyo maana Kila mmoja anazakwake.
 
mmoja kapiga gem 146
mngine kapiga gem 176
nahisi tofauti inaanzia hapoo
 
Six ballon D'ors, endelea kujifanya hujayaona hayo maneno!
Tofauti ya 6 na 5 ni ndogo lakini tofauti ya 109 (magoli ya Ronaldo) na 73 (magoli ya Messi) kwenye mechi za kimataifa ni kubwa sana!! Namba zinajieleza!!
 
Back
Top Bottom