Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Toa goli 14 hapo kwenye hzo 109Tuwekee na penati. Je katika hayo magoli ya mesi ni mangapi ya kawaida na mangapi ni penati. Na cr hivyo hivyo tupe ya penati mangapi katika hayo magoli
Ballon d'or ni kura kiongoz watu wanakaa wanapiiga kura ni kama ambavo watu katika muziki wengine w6anaclaim kwamba ukubwa au ubora wa msanii sio tuzo....Six ballon D'ors, endelea kujifanya hujayaona hayo maneno!
Neymar as soon as atakapoetaaf na rekodi yake itakomea hapoNeymar mzee wa game la show, hawa sio level zake..
Unanikumbusha okocha, na mbwembwe zake nyiingi, wakati mwingine anafosi kufanya vitu havina faida na timu, hii ilimcost saana huyu legend wa kinaijeria.
Na ukisema hibo na pia team ronaldo watasema mengi pia kujitetea mkuu sasa na ronaldo pia england na real madrid mwanzoni alicheza kama winger ni baadae baada ya kuja zidane ndio akabadilishiwa role...Lazima pia utazame position wanazocheza ,Messi national timu ni kiungo mshambuliaji wakati Ronaldo ni mshambuliaji direct.
Kama Messi angekuwa anacheza position ya Ronaldo yaani mshambuliaji tu basi Messi angekuwa juu kwa idadi ya mabao na real example ni idadi ya mabao aliyoyafunga wakati wa Guardiola alipomchezesha kama false 9 yaani alikuwa ana kazi moja tu nayo ni kufunga ndiyo maana 2011-2012 alifunga mabao 91 kwa msimu hii ni rekodi ya dunia ila tangu waondoke akina Iniesta na Xavi amekuwa more creater wa nafasi za kufungwa kwa wengine ndiyo maana baada ya hapo amekuwa na assist nyingi zaidi maana haangaliwi yeye zaidi kama focal point ya kufunga bali anatengeneza nafasi na kusaidia kufunga.
Kwangu Messi anakuwa bora zaidi na kwa takwimu Ronaldo kacheza mechi 30 zaidi ya Messi hivi unadhani Messi angekuwa ni no 9 kama anavyochezeshwa Ronaldo siku hizi katika mechi hizo 30 angekuwa ana mabao mangapi ?
Ukiesema kikombe pia basi naye messi anaangukia kwa neymar chiefKwani uchezaji bora unapimwa kwa uwezo wa kufunga tu? Kumbe waliompa Ballon D'Or Cannavaro na Zidane walikosea sio? Wabongo bhana! Mtu anakurupuka hapa anakuja na Mtu mwenye Magoli mengi Timu ya Taifa kutaka kuwaaminisha Watu kuwa ndiye mchezaji bora.
Soon mutakuja na Posts ya Kuwa Neymar ndiye mchezaji bora wa Brazil wa Muda wote manake anaelekea kuvunja every record ya Wafungaji bora wa Timu ya Taifa akiwemo Pele mwenyewe wakati hajawahi kushinda hata kikombe cha kahawa.
Namba hazidanganyi.Kama Messi amefunga magoli 73 kwa mechi 146 ina maana anahitaji mechi 2 ili afunge goli 1. Tofauti ya mechi kati yao ni 30. Kwa hiyo kwa kasi ya Messi angefunga magoli 15 katika hizo mechi alizopungukiwa. Ukimwongezea hayo magoli 15 anafikisha magoli 88, wakati Ronaldo ana magoli 109!!! Namba hazidanganyi.mmoja kapiga gem 146
mngine kapiga gem 176
nahisi tofauti inaanzia hapoo
Goal = Lengo/shabaha!! Lengo la mpira wa miguu ni kufunga magoli na si vinginevyo!! Pointi hupatikana kwa kufunga timu pinzani!! Utamu wote wa mpira kilele chake ni goli. Kwa hiyo anayefanikisha kufikia lengo hilo ni mchezaji bora sana!! Kwa mantiki hiyo Ronaldo ni mchezaji bora.Hivi hapa tunajadili mchezaji bora au mfungaji bora? Mimi naamini kuna tofauti ya mfungaji bora na mchezaji bora. Kama wachezaji hawa wote ni ma super star kwa miaka mingi lakini hawa wote wawili wameshindwa kuzisaidia nchi zao kuchukuwa WC. Pia huu ni mwaka wa 3 wa champions league wote wawili hawajafika mbali na club zao na zaidi uchezaji wao tofauti hawafanani. Ronaldo yuko direct sana na mfungaji mzuri sana tu alikuwa japo sio siku hizi unaona wakati mwingine anataka kufanya trick zake ila umri unakataa. Messi kiufundi ni fundi hasa ule wakati wake japo naye ame slow sio Messi yule leo Messi kabakiza wiki contract iishe soko liko kimyaaa. Leo Ronaldo Juve wanatafuta njia ya kumtoa soko kimyaa. Nadhani kuanzia sasa tutakuwa tunaongelea team bora sio mchezaji bora na Italy wametufundisha EURO hawana ma star majina makubwa ila wanacheza kama team wachezaji wengine tunaanza ku search huyu anacheza wapi mbona nilikuwa simjui. Yule mtoto wa German ndio nimejuwa yuko Atalanta. Miaka hii sasa itakuwa team bora ndio inashinda ila hawa wote watabaki katika History kama wachezaji bora wamecheza mpira. Ronaldo wa Brazil, Ronaldinho, Messi, CR, Xavi, Iniesta.....
Ulimwengu wa soka hautamkumbuka.Neymar as soon as atakapoetaaf na rekodi yake itakomea hapo
Ni kweli kabisa, bila mataji huwezi kukumbukwa. Na taji pekee linalotenganisha wavulana wa soka na wanaume wa soka ni kombe la dunia likifuatiwa na makombe ya mabara!!Ulimwengu wa soka hautamkumbuka.
Katika kila mashindano huwa kunakuwa na mchezaji bora anachaguliwa na mfungaji bora wa mashindano ni award mbili tofauti. Kumbuka Canavaro alishawahi kuwa mchezaji bora duniani sasa sijui ni goal=Lengo/shabaha....Goal = Lengo/shabaha!! Lengo la mpira wa miguu ni kufunga magoli na si vinginevyo!! Pointi hupatikana kwa kufunga timu pinzani!! Utamu wote wa mpira kilele chake ni goli. Kwa hiyo anayefanikisha kufikia lengo hilo ni mchezaji bora sana!! Kwa mantiki hiyo Ronaldo ni mchezaji bora.
Namba hazidanganyi! Maneno yamejaa udanganyifu ndio maana unatumia maneno mengi na nguvu nyingi kugombana na namba! Kwa taarifa yako Taifa bora duniani kwa soka kwa sasa liko ulaya na si Amerika ya kusini! tatizo umekariri mambo yaliyopitwa na wakati. Tazama ranking ya FIFA halafu uje uniambie hapa kwenye kumi bora ni nchi ngapi zinatoka amerika ya kusini na ngapi zinatoka ulaya!!Mkae mkijua America ya kusini timu zao huko chache na wanakamiana sana
Ulaya timu bora ni chache na nfondocha ni nyingi
Mfumo wa ligi ya south america ni noma kama kufuzu world cup kila taifa la south america wanacheza mechi na kila nchi kisha wanaangalia points kw ujumla
Ulaya timu kama germany inaweza pangiwa timu kama israel lithuania na timu zifananazo na hozo hivo kw ninavo ona no rahisi zaidi kufunga magoli ulaya kuliko america ya kusini
Sent from my X-TIGI_V13 using JamiiForums mobile ap
Namba hazidanganyi! Soka bora kwa sasa liko ulaya na si South America kama unavyotaka kutuaminisha! Nikuulize, lini mara ya mwisho Argentina ilichukua kombe la dunia? Au lini mara ya mwisho nchi kutoka amerika ya kusini ilichukua kombe la dunia? Hizo nfiyo namba ambazo hazidanganyi. Nakuwekea mkeka hapa wa nchi 20 bora katika soka kwa mujibu wa FIFA halafu nihesabie wewe mwenyewe katika 20 bora ni nchi ngapi zinatoka amerika ya kusini? Nasema tena namba hazidanganyi, angalia hapa! Kwenye kumi bora ziko 3 tu za amerika ya kusini na ukiacha brazil ambayo ni ya 3, zingine ziko mkiani mwa kumi bora ziko 6 tu za kutoka amerika ya kusini! Namba hazidanganyi! Kwa hiyo Messi anashindana na vibonde zaidi kuliko Ronaldo na bado hapati matokeo mazuri kulinganisha na mwenzake!! Angalia hizo namba chini ambazo hazidanganyi!Mkae mkijua America ya kusini timu zao huko chache na wanakamiana sana
Ulaya timu bora ni chache na nfondocha ni nyingi
Mfumo wa ligi ya south america ni noma kama kufuzu world cup kila taifa la south america wanacheza mechi na kila nchi kisha wanaangalia points kw ujumla
Ulaya timu kama germany inaweza pangiwa timu kama israel lithuania na timu zifananazo na hozo hivo kw ninavo ona no rahisi zaidi kufunga magoli ulaya kuliko america ya kusini
Sent from my X-TIGI_V13 using JamiiForums mobile app
| Rank | Points | Team | |
|---|---|---|---|
| 1 | 1783.38 |
| |
| 2 | 1757.3 |
| |
| 3 | 1742.65 |
| |
| 4 | 1686.78 |
| |
| 5 | 1666.12 |
| |
| 6 | 1648.13 |
| |
| 7 | 1642.06 |
| |
| 8 | 1641.95 |
| |
| 9 | 1639.08 |
| |
| 10 | 1631.55 |
| |
| 11 | 1629.56 |
| |
| 12 | 1609.12 |
| |
| 13 | 1606.21 |
| |
| 14 | 1605.75 |
| |
| 15 | 1600.66 |
| |
| 16 | 1598.04 |
| |
| 17 | 1570.36 |
| |
| 18 | 1569.81 |
| |
| 19 | 1569.52 |
| |
| 20 | 1549.87 |
|
Yaani majibu kama haya ndo nayafurahia sana, timu MESSI naona kwenye huu uzi hawana pakutokeaNamba hazidanganyi.Kama Messi amefunga magoli 73 kwa mechi 146 ina maana anahitaji mechi 2 ili afunge goli 1. Tofauti ya mechi kati yao ni 30. Kwa hiyo kwa kasi ya Messi angefunga magoli 15 katika hizo mechi alizopungukiwa. Ukimwongezea hayo magoli 15 anafikisha magoli 88, wakati Ronaldo ana magoli 109!!! Namba hazidanganyi.
Lakini pia tukiwahesabia magoli yao kwa kipindi ambacho wote walikuwa wanacheza yaani kuanzia mwaka 2005. Yaani tusiyahesabu magoli aliyofunga Ronaldo mwaka 2003 na 2004. Tukifanya hivyo tunamwondolea Ronaldo magoli 9, atabaki na magoli 100, na Messi magoli yake 73!! Namba hazidanganyi!!
We kijana wewee,kwa majibu haya daah! yaani hapa timu messi umewawekea GOTI shingoniNamba hazidanganyi! Soka bora kwa sasa liko ulaya na si South America kama unavyotaka kutuaminisha! Nikuulize, lini mara ya mwisho Argentina ilichukua kombe la dunia? Au lini mara ya mwisho nchi kutoka amerika ya kusini ilichukua kombe la dunia? Hizo nfiyo namba ambazo hazidanganyi. Nakuwekea mkeka hapa wa nchi 20 bora katika soka kwa mujibu wa FIFA halafu nihesabie wewe mwenyewe katika 20 bora ni nchi ngapi zinatoka amerika ya kusini? Nasema tena namba hazidanganyi, angalia hapa! Kwenye kumi bora ziko 3 tu za amerika ya kusini na ukiacha brazil ambayo ni ya 3, zingine ziko mkiani mwa kumi bora ziko 6 tu za kutoka amerika ya kusini! Namba hazidanganyi! Kwa hiyo Messi anashindana na vibonde zaidi kuliko Ronaldo na bado hapati matokeo mazuri kulinganisha na mwenzake!! Angalia hizo namba chini ambazo hazidanganyi!
Rank: from 1st to 50th
Rank Points Team 1 1783.38 Belgium 2 1757.3 France 3 1742.65 Brazil 4 1686.78 England 5 1666.12 Portugal 6 1648.13 Spain 7 1642.06 Italy 8 1641.95 Argentina 9 1639.08 Uruguay 10 1631.55 Denmark 11 1629.56 Mexico 12 1609.12 Germany 13 1606.21 Switzerland 14 1605.75 Croatia 15 1600.66 Colombia 16 1598.04 Netherlands 17 1570.36 Wales 18 1569.81 Sweden 19 1569.52 Chile 20 1549.87 Poland
They can't breathNafunga mjadala! Timu Messi inapumulia kwenye mashine na hawana namna wanavyoweza kubishana na namba! Namba hazidanganyi!! CR7 juuuuuu!!!!!!!!!
Cr7 ktk magoli 109 ya timu ya taifa 14 ndio penalties...Tuwekee na penati. Je katika hayo magoli ya mesi ni mangapi ya kawaida na mangapi ni penati. Na cr hivyo hivyo tupe ya penati mangapi katika hayo magoli