Mesut Ozil anazidi kuwa complete player kila kukicha

ndo tatzo la ulaya ingekuwa zama zetu za Warumba FC Pale tunacheza mtu unakula red yanaisha ila sio kufungwa kwa ufundi ule [emoji23][emoji23][emoji23] mipira n mdogo kuliko mtu why choosin to tackle the ball
 
huyu mtu kwa sasa yupo ktk kiwango kizuri sana sana.....!!
 
Siwapendi kabisa Arsenal...ila napenda wanavyo cheza kwakweli wanavutia....Ozil ameonyesha kiwango cha kina Mess.


Viva Man utd.
Umemalizia vibaya.
 
Hatari! alichowafanya ludogorets mungu anamuona!!
 
Ila mkumbuke hayumo hata kwenye list ya wachezaji 30 wa kiwango cha dunia...
 
Wabongo bhana, mwenzenu anajiyengenezea nazingira ya kuboresha mkataba mpya. Angalia wachezaji wa Bongo hasa Yanga na Simba wanapo karibia kumaliza mikataba yao.
 
Tukio la alhaj ozil limetusaharisha shida za dunia kwakweli
 
Mesut Ozil angekua level flani sawa na kina Messi au Neymar. Sema Uvivu na uvutaji mwingi wa Bangii..
 
Ila mkumbuke hayumo hata kwenye list ya wachezaji 30 wa kiwango cha dunia...
Acha ujinga wewe, usiwe tegemezi kiasi hicho, qachezaji bora kwako mpaka mtu akitajie?? Wewe huna macho ya kumuona??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…