njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Vumilieni tu wazee wa visit kidimbwi yatakwisha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wachezaji walikuwa nawaihujimu timuVumilieni tu wazee wa visit kidimbwi yatakwisha tu
View attachment 1720409
Sio kwamba hii ni fake accountVumilieni tu wazee wa visit kidimbwi yatakwisha tu
View attachment 1720409
wacha wee wamechukuliwa hatua gani nilidhani ilikuwaga ni yondani na kina juma abdul kumbe bado kuna hujuma,ndugu zangu mnahujumiwa hadi na CAS,FIFA hadi bunge la tanzania limekataa kuwaalika bungeni wakati mmechukua kombe la mapinduzi,oh by the way namungo ni ya 59 afrika kwa sasa hadi CAF inawahujumu mko nyuma ya namungoKuna wachezaji walikuwa nawaihujimu timu
Very nice point, ukweli mchunguHahahahahaha mpira bila pesa ni sawa Kuwa na demu usimuudumie
mnafanyiwa hujuma sana hadi CAs wanawaonea jameniSio kwamba hii ni fake account
Sijawahi kuwa Utopolo tafadhalimnafanyiwa hujuma sana hadi CAs wanawaonea jameni