njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
- #21
Yanga haina golikipa mzuri toka kaondoka kakolanya,nadhani hili tatizo wahusika hawalioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga haina golikipa mzuri toka kaondoka kakolanya,nadhani hili tatizo wahusika hawalioni
Unaskia wapi?Mukoko naye nasikia
Hapo humsikii kitenge akiongea tetesi
Fiston naye alisaini mkataba wa miezi sita mjanja sanaNtibanzokiza alishasoma ramani, akaamua kutangulia zake Bujumbura
Fiston nini mzee? Yanga aliondoka Ajibu mzee wa assistFiston naye alisaini mkataba wa miezi sita mjanja sana
hata tetesi ya saido ntibakonzinza kudanganywa kuhusu hela zake hatasema ingawa wanayanga wanaliongelea hilo..aliahidiwa kulipwa milioni 60 ya kusaini akapewa 15..akahaidiwa gari na nyumba ,kapewa gari tu nyumba bado kasingizia ugonjwa yuko zake burundi kaenda kupumzikaHapo humsikii kitenge akiongea tetesi
Mchezaji haqezi kuondika kinyume na mkataba wake,kama ambavyo rimu nayo haiwezi kumfukuza mchezaji kinyume na mkataba kwani inabidi kumlipa
Kumbe ndio maana jamaa hachezi, haya ndio matatizo ya kuleta sarakasi za kiccm hadi kwenye mpira, yaani kipindi cha malinzi hawa jamaa walibebwa sana, sasa wanataka wapate ubingwa kwa kubebwa tena, waende pale tff wakaliibe, tatizo mpira ni mchezo wa wazi tofauti na kupiga kura.hata tetesi ya saido ntibakonzinza kudanganywa kuhusu hela zake hatasema ingawa wanayanga wanaliongelea hilo..aliahidiwa kulipwa milioni 60 ya kusaini akapewa 15..akahaidiwa gari na nyumba ,kapewa gari tu nyumba bado kasingizia ugonjwa yuko zake burundi kaenda kupumzika
kaona wanamchukulia poa kaenda kupumzika kwaoKumbe ndio maana jamaa hachezi, haya ndio matatizo ya kuleta sarakasi za kiccm hadi kwenye mpira, yaani kipindi cha malinzi hawa jamaa walibebwa sana, sasa wanataka wapate ubingwa kwa kubebwa tena, waende pale tff wakaliibe, tatizo mpira ni mchezo wa wazi tofauti na kupiga kura.
Ingekuwa hii taarifa inawahusu wao, basi ungeshangaa muda huu wangekuwa wako nyuma ya yule mzungu pori wao wakimshambulia aliyetuma hiyo taarifa ya upotoshaji!Sio kwamba hii ni fake account
Kakolanya aliondoka
Msolla si yuko kwenye payroll ya huyu nanihii?Anaenda wapi? au anarudi nyumbani kupumzika amechoka shida za matopeni!.
Zengwe hilo wanataka kumuondoa Msola, hizi timu zimejaa wachawi haswa.
Lile goli hata angekuwa nani angefungwa, Buswita katumia urefu wake kufunga lile goli hata mabeki wasingekuwa na la kufanya kingine zaidi ya kumchezea faulu ambayo ingezaa penati. Sio Metacha wala Kaze mwenye hatiaBadala ya kushughulika na MABEKI wenu wabovu
Mnamshambulia golikipa wenu eti anauza mechi
Mnajichimbia kabuli wenyewe......
Metacha byeeeeee
sawa mkuu inasemekana "hacker alidukua simu ya msolla akampigia mnata"hahahahahaha uuuwiii msola alimuwakia dogo kwamba anauza mechi halafu mchawi kwa wenzake hata jemedari said meneja wa mnata kathibitisha msolwa alipiga hiyo simuIngekuwa hii taarifa inawahusu wao, basi ungeshangaa muda huu wangekuwa wako nyuma ya yule mzungu pori wao wakimshambulia aliyetuma hiyo taarifa ya upotoshaji!
Hakika umbumbumbu ni mbaya sana.
mwenyekiti anamlalamikia kwamba ni mchawi anamloga mwenzake na kwamba anauza mechi,meneja wake leo EFM alikataa kutaja jina la kiongozi ila aksema "huyo kiongozi mkubwa kuna siku alinilalamikia hilo suala nikamuuuliza una uthibitisho?kama hauna achana nalo" leo msolwa anakataa hakupiga simu anadai ilidukuliwa,duhhhAnafungwa shikalo lawama metacha