Metacha mnata anaondoka Yanga

Sasa mbona timu inaparaganyika, kama benchi la ufundi hamna na hamna benchi la muda na wachezaji wanasepa[emoji849]
 
Kuna wachezaji walikuwa nawaihujimu timu
wacha wee wamechukuliwa hatua gani nilidhani ilikuwaga ni yondani na kina juma abdul kumbe bado kuna hujuma,ndugu zangu mnahujumiwa hadi na CAS,FIFA hadi bunge la tanzania limekataa kuwaalika bungeni wakati mmechukua kombe la mapinduzi,oh by the way namungo ni ya 59 afrika kwa sasa hadi CAF inawahujumu mko nyuma ya namungo
 
Km tatizo ni TFF na
waamuzi, mbona
kafukuzwa kocha
 
Hii timu yangu ni pasua kuchwa aisee🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…