Methali ya ajabu niliyopewa na mama mkwe wakati anakazia hoja yake, "aliyejamba hayaachi kunuka".

Methali ya ajabu niliyopewa na mama mkwe wakati anakazia hoja yake, "aliyejamba hayaachi kunuka".

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Nilimkuta anaandaa mahindi, kipindi ambacho kulikuwa na balaa la wadudu na ukame hivyo uvunaji haukuwepo kabisa au ilikuwa duni mno. Katika kuchangamsha tu genge nikamsifu kidogo kwa kumwambia kuwa kumbe amejitahidi Hadi amevuna kidogo. Hii ndo ilikuwa respond yake,

"ee baba, anayejamba hayaachi kunuka"

Niliduwaa na nikajuta hata kwanini niligusia hata suala lenyewe. Rohoni nikawa ninajisemea, "I've got mother in law who is very stupid".
 
Hilo unaona ni upumbavu. Lakini ukipata hela kidogo na mkeo akikwambia 'maskini umepata matako yamelia mbwata'; utacheka.

Waswahili mtaacha lini unafiki?
 
Nilimkuta anaandaa mahindi, kipindi ambacho kulikuwa na balaa la wadudu na ukame hivyo uvunaji haukuwepo kabisa au ilikuwa duni mno. Katika kuchangamsha tu genge nikamsifu kidogo kwa kumwambia kuwa kumbe amejitahidi Hadi amevuna kidogo. Hii ndo ilikuwa respond yake,

"ee baba, anayejamba hayaachi kunuka"

Niliduwaa na nikajuta hata kwanini niligusia hata suala lenyewe. Rohoni nikawa ninajisemea, "I've got mother in law who is very stupid".
we achana nae,maana ajambae akinuka hashtakiwi
 
Nilimkuta anaandaa mahindi, kipindi ambacho kulikuwa na balaa la wadudu na ukame hivyo uvunaji haukuwepo kabisa au ilikuwa duni mno. Katika kuchangamsha tu genge nikamsifu kidogo kwa kumwambia kuwa kumbe amejitahidi Hadi amevuna kidogo. Hii ndo ilikuwa respond yake,

"ee baba, anayejamba hayaachi kunuka"

Niliduwaa na nikajuta hata kwanini niligusia hata suala lenyewe. Rohoni nikawa ninajisemea, "I've got mother in law who is very stupid".
Mamkwe asiye na mipaka.

Makabila mengine ma'mkwe huitwa 'msoni', anatakiwa kukuheshimu kuliko anavyomheshimu mwanaye.

Kusogeleana ama kutaniana na mkwe ni mwiko sembuse maneno ya kihuni huni hayo?
 
Aliyejamba (aliyelima/aliyepanda) hayaachi kunuka (hakosi mazao)..

Huyo Mama amepata Mkwe Mpuuzi sana..
 
Back
Top Bottom