Methali za makabila mbali mbali

Methali za makabila mbali mbali

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Tanzania tuna makabila mbalimbali
na yana utajiri mkubwa wa methali zenye mafunzo tofauti...
sasa basi anaezijua aweke hapa tuweze faidika na wengine
unaweka kama ilivyo,halafu tafsiri yake na unataja kabila la methali hiyo...
 
"atakwendela muhigo ati ebwa yawe nekuntira" - Hayatafsiri- asiyekutakia ufanisi katika mawindo,atakuadaa (katisha tamaa) kuwa mbwa wako ana kishindo hivyo anaathiri mawindo
 
"atakwendela muhigo ati ebwa yawe nekuntira" - Hayatafsiri- asiyekutakia ufanisi katika mawindo,atakuadaa (katisha tamaa) kuwa mbwa wako ana kishindo hivyo anaathiri mawindo


asante..
kabila gani?
 
Japielo ebath yo emo ema iro luwo . Anae jisaidia porini lazma afuatwe na moshi
 
Hefinyu ho webanilaga --- Mahali pembamba (penye njia ndogo) ndipo wanapobanana!
 
boss wana jf wanajua kidhungu tu na tafsiri zake walikwenda mjini wakiwa academi mpaka leo ni waajiriwa hawajui kabisa ya home :heh:
 
Inka ukulisha yanzila mwilembo. Maana yake Ng'omba huanzia kula getini.
Leka dutigite hiyo a.k.a Kiha.
 
wanika nrutu na nng'alo kuwinge fitua vfafo! Wekeza pande zote za mto uwashinde adui zako
 
Omukazi kalichumba ebhitahile omanye aragaine no 'omugenda.
(Kinyambo hicho).
Tafsiri: Mwanamke akipika chakula kisiive jua ana miadi na mwanamme mwingine nje ya ndoa.
 
Unyanyalha wiucha (Kimakua) = Kususa ni kujipunja au kujinyima

Achinsyene kwa achinsyene kulya mandanda (Kiyao) = Wenyewe kwa wenyewe ndio wanaokula mayai
Maana yake "Wanaojuana na kula ndio wanaofaidi"
 
Khuntwimila mbokhu khumala maswa(kisukuma). Maana yake 'kumumulikia kipofu ni kumaliza nyasi'
 
kaya ya ng'obha nayo kaya (kisukuma)kaya ya muoga nayo ni kaya
 
Mweza uko, Nketangwa (KI-BONDEI)
Ajae huko, Haitwi
 
Back
Top Bottom