Mexico: Mchungaji wa Kanisa auza Viwanja vya Mbinguni,mita ya mraba TSH. 265,000 adai alipewa kibali na Mungu

Ukristo unadhalilika sana miaka hii.

Ukristo naufananisha na OS ya Android, kila mtu anaweza kujifanyia customization anavyojisikia wakati uislam ni kama OS ya Apple(iOS), hapa hakuna customization....

Ukristo unafanyiwa customization kila kukicha, ni aibu.
 
Kuna dini ziingine mpaka unajiuliza Waumini wao wapoje? Hata common sense mtu unashindwa kutumia??
 

Wale walioenda kwa Babu waliowatupa ndugu zao kule kwa kushindwa kuwabeba baada ya kufa hauwacheki?
Hata kama ni vya kiroho haviwezi uzwa kwa fedha. Mungu si masikini kwani fedha na Mali zote ni vyake.Kama habari hii ni kweli,basis shetani ameanza kutumia ujinga wa wanadamu wa kutokumjua Mungu ili aende jehanamu na wengi
 
Kumbe huko nako kuna wajinga. Mimi nilidhani wajinga wapo Tanzania tu.
 
Hivi hawa kwanini walijiita "wachungaji" na wenzao "kondoo"?
Hapa ndio shida ilipoanzia!
Hapo ni suala la mahusiano baina ya pande mbili zilizopo mahali. Nafasi ya Mchungaji ni Kiongozi au Mwelekezaji na na nafasi ya kondoo ni wanaoamini au Wafuasi.
Zama hizo, utaratibu wa kupeleka mifugo(Kondoo) machungajini, Mchungaji alitangulia na kondoo walimfuata kwa nyuma yake.
 
We are doomed kwakweli, yani ni kama binadam tumepoteza hope mtu yoyote akija na kablasha poyoyo mingi anapiga hela kwa manyumbu si mchezo

Mbona Mexico mbali kote huko, hapa tu kuna thread inatembea kinoma watu wanaomba msaada kwa jini na lina reply, full kujianika ooh nna shida vyeti vyangu mara nna mgonjwa, soon watafurahishwa! Wajinga ndo waliwao
 
viwanja vipo karibu kabisa na visima vya maji ya uzima, pembezoni mwa mito inayotiririsha MAZIWA NA ASALI,......πŸ₯±πŸ₯±πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii imekaa vzr, ngoja niwahi kui implement hii idea kwa mazombie ya bongo, yenye maisha magumu, ukiyaambia, "msijari, saana maisha ya hapa, we mtolee mungu Sana, uweke akiba yako mbinguni, riba ya huko ni asilimia 1000,utakuta mpunga wako huko, utanunua V8, utaishi kwenye nyumba kama bakheresa, nk, "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…