Meya ashushiwa kipigo kikali kikaoni, aokolewa na walinzi wa Manispaa, akimbizwa hospitalini

Waache wauane.
 
madiwani wa ccm wanashindana kula mapato ya manispaa, anayekula kuliko mwenzake wanamng,oa
 
Kumbe yule hakurudishwa? Nilijua kidampa alirudi ktk kiti chake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nchi hata uwe na Elimu au weledi ktk utwndaji wa majukumu Fulani, ukiwa au ukijihusisha na Ushoga, bas hapo kwishaaaa kabisaa.

Bora hata wasagaji/usagaji wana nafasi.
 
Hii nchi hata uwe na Elimu au weledi ktk utwndaji wa majukumu Fulani, ukiwa au ukijihusisha na Ushoga, bas hapo kwishaaaa kabisaa.

Bora hata wasagaji/usagaji wana nafasi.
Kweli, Binafsi naona Juma raibu alienda kuwachora tu wangese na haijihusishi na hizo mambo tatzo wale waliomuundia kamati wakaona ndo gia ya kumtoa kwenye kiti Kwa kuaminisha umma vile walivyotka
 
Pole sana ndg Raibu kwa yaliyokukuta...ila elewa mambo ya upinde kwenye jamii zetu hayakubaliki.
Upinde upi tena mkuu si tulikubalia na hizo ni zana za kale na kwasasa hazifai Kwa matumizi 🥴
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…