Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Hapo wamekosea sana,wakristo nao wakitaka wamegewe eneo wajenge kanisa je??

Hilo deal la watu,waliotoa fedha kujenga hapo Kuna eneo wamepewa bure na sirikali yetu,hapo ni kama sadaka ya shukrani kwa deal walilopiga na watawala!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…