Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Now it’s Islamic state [emoji1241]
Kwanza mtambue tu kuwa sisi wote ni ndugu dini hizi zimekuja tu.Wakristo wao sala zao ni Jumapili kwa jumapili au Jumamosi kwa jumamosi tu.Ndugu zetu Waislam wao amri yao ni sala tano kwa siku na sala hizi hazikuanzia Coco beach.Sasa kuna ubaya gani wakawa na Msikiti wao pale unaoeleweka kuliko kusalia kwenye makuti.Tuweni waungwana jamani.Kusali tu peke yake siyo kama nchi imekuwa Islamic state.Mbona kila mahali Misikiti ipo na wanasali humo sala tano ? Ile jamii pale Coco beach inamuhitaji Mungu na miongoni mwao waisalamu wamo.Labda kama ni kutafuta balance lijengwe kanisa moja liwe na parttion kutokana na madhehebu ili Jumamosi na Jumapili wale watakaokuwa Coco beach wahudumiwe.Vinginevyo tuache roho mbaya.
 
Kwanza mtambue tu kuwa sisi wote ni ndugu dini hizi zimekuja tu.Wakristo wao sala zao ni Jumapili kwa jumapili au Jumamosi kwa jumamosi tu.Ndugu zetu Waislam wao amri yao ni sala tano kwa siku na sala hizi hazikuanzia Coco beach.Sasa kuna ubaya gani wakawa na Msikiti wao pale unaoeleweka kuliko kusalia kwenye makuti.Tuweni waungwana jamani.Kusali tu peke yake siyo kama nchi imekuwa Islamic state.Mbona kila mahali Misikiti ipo na wanasali humo sala tano ? Ile jamii pale Coco beach inamuhitaji Mungu na miongoni mwao waisalamu wamo.Labda kama ni kutafuta balance lijengwe kanisa moja liwe na parttion kutokana na madhehebu ili Jumamosi na Jumapili wale watakaokuwa Coco beach wahudumiwe.Vinginevyo tuache roho mbaya.
Hujui maana yamipango miji yan kwakua sehem nisoko nawatu wanaingia nakutoka bhasi et ujenge nyumba yaibada pale ni open space watu wanaenda kubarizi misikit wataikuta huko makwao
 
Eneo la kudumu limeendelea kugubikwa na mipangp mibovu baada ya jengo la kudumu la msikiti kuanza kujemgwa sambamba na vibanda vya mihogo na kilevi
Hakuna anayekataa watu kuswali lakini wangeweza kutenga maeneo ambayo sio ya kudumu kama ilivyokua awali kuruhusu waislamu au wakristo wanaohitaji huduma hiyo

View attachment 2950662
Coco inaharibiwa na kuhujumiwa

Mazingira yote ya pale yamechafua the best beach in Tanzania
 
Kweli inasikitisha sana kuona Oysterbay kuvamiwa na watu holela.
Ilikuwa ni sehemu pekee DAR kwa watu kwenda na familia kupata sehemu ya kujipumzisha na kujenga uhusiano na watu wa jamii yote DAR.
Nakumbuka kwenye 90's nilikuwa naenda na watoto ufukweni kuogelea pale Coco Beach. Kulikuwa na miti na sehemu yote ikiwa na nyasi.
Sehemu hii kwa kila awamu ya serikali imekuwa na sera zake za kutwaa hili eneo kwa matumizi zaidi ya kuwa OPEN SPACE. Manispaa ya Kinondoni ilimpatia hii eneo Manji ili ajenge viunga vya biashara. Hayati Magufuli alimyanganya hiyo kiwanja Manji na kutamka hii eneo kuwa la WAZI.
Hivi sasa imekuwa ni viwanja vya kuni kutokana na vibanda vile na hakuna tena nafasi tosha kwa watu kwenda na familia pale kutokana na kujaa baa na malaya nyakati za jioni.
Nimepita jana pale naona kuna sehemu nyingine imesafishwa kwa Grader opposite na ubalozi wa Dubai au Ocean Front Appartments.

Tunataka ufukwa wote wa Oysterbay lirudi kuwa open space na Manispaa ya Kinondoni iache vishawishi ya kupatia watu eneo.
 
Eneo la kudumu limeendelea kugubikwa na mipangp mibovu baada ya jengo la kudumu la msikiti kuanza kujemgwa sambamba na vibanda vya mihogo na kilevi
Hakuna anayekataa watu kuswali lakini wangeweza kutenga maeneo ambayo sio ya kudumu kama ilivyokua awali kuruhusu waislamu au wakristo wanaohitaji huduma hiyo

View attachment 2950662
This is Bongo! Hahahahahaha.....akili zetu ni janga!
 
Ujinga ujinga tu nchi wakipewa wapumbavu wanahisi kila sehemu ni nyumba za ibada kuweka
Tatizo la nchi yetu siyo wanapopewa ''wapumbavu'' bali tatizo ni aina ya mfumo wetu wa uongozi. Andika hili. Aina ya mfumo wa uongozi unafanya nchi ipate viongozi matapeli, wasio na maono na wasiyo na hofu ya kuondolewa na wananchi. Mfumo wa uongozi unafanya maamuzi yote yaamuliwe na mtu mmoja au watu wachache bila kujali sheria za nchi na bila kuwajibishwa. Haya yasipofanyiwa marekebisho, haijalishi ni rahisi wa dini gani au kabila gani atatawala, hali itaendelea kuwa hii hii. Tunarudi kule kule, bila wananchi kuweza kufanya corrrelation kati ya matatizo yetu vs viongozi wetu wa kisiasa, na kuchukuwa hatua stahiki, hali itaendelea kuwa hii hii.
 
image_1d652b68-da33-479b-b849-7f076950f7da20231019_064712.jpg
 
Back
Top Bottom