Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Meya Kinondoni Mnajenga Msikiti wa Kudumu Coco Beach

Huyo aliyetoa kibali/ruhusa ijengwe msikiti hapo hana
Akili,na tunajuwa pesa itakuwa imeongea tu

Ova
Sisi tumelaaniwa ni ukweli mtupu, ukishamuonesha pesa mswahili NI shida, hata Mkwawa aliuzwa na Machifu wenzake Kwa sababu Wajerumani waliwahonga pesa wale Machifu ili wauza ramani ya vita
 
Masallafi, Wasunni wafuatao sunna za Mtume na Washia wanatofauriana ktk imani hata kama wanaswali katika msikiti mmoja
Waislamu hawatofautiani sana.Ndio ukaona madhehebu yote ya kiislamu,wanakwenda kuhiji Maka na Madina,Saudia,na wote wanaswali kwenye msikiti mmoja,na ibada zao zinafanana.
 
Waislamu hawatofautiani sana.Ndio ukaona madhehebu yote ya kiislamu,wanakwenda kuhiji Maka na Madina,Saudia,na wote wanaswali kwenye msikiti mmoja,na ibada zao zinafanana.

Najaf Iraq maeneo takatifu kwa dhehebu la kislamu la Shia

Ni kwa ajili ya kuhiji kwenye kaburi la Husein ibn Ali, mjukuu wa Mtume wa Kiislamu Muhammad na imamu wa tatu wa Shia. Kila mwaka, siku ya ishirini ya Safar, pia inajulikana kama Arba'in, mamilioni ya mahujaji humiminika Karbala, Iraqi, mara nyingi hufika huko kwa miguu kutoka mji wa karibu wa Najaf
1712321541789.png

1712322430933.png

1712322514565.png
 
Najaf Iraq maeneo takatifu kwa dhehebu la kislamu la Shia

Ni kwa ajili ya kuhiji kwenye kaburi la Husein ibn Ali, mjukuu wa Mtume wa Kiislamu Muhammad na imamu wa tatu wa Shia. Kila mwaka, siku ya ishirini ya Safar, pia inajulikana kama Arba'in, mamilioni ya mahujaji humiminika Karbala, Iraqi, mara nyingi hufika huko kwa miguu kutoka mji wa karibu wa Najaf
View attachment 2954623
Wakiswali wanaelekea Makkah,na ibada ya hijjah huenda kufanya Makkah,huko kwa mjukuu wa mtume ni sawa na makonda kwenda kwenye kaburi' la magu
 
Kwanza mtambue tu kuwa sisi wote ni ndugu dini hizi zimekuja tu.Wakristo wao sala zao ni Jumapili kwa jumapili au Jumamosi kwa jumamosi tu.Ndugu zetu Waislam wao amri yao ni sala tano kwa siku na sala hizi hazikuanzia Coco beach.Sasa kuna ubaya gani wakawa na Msikiti wao pale unaoeleweka kuliko kusalia kwenye makuti.Tuweni waungwana jamani.Kusali tu peke yake siyo kama nchi imekuwa Islamic state.Mbona kila mahali Misikiti ipo na wanasali humo sala tano ? Ile jamii pale Coco beach inamuhitaji Mungu na miongoni mwao waisalamu wamo.Labda kama ni kutafuta balance lijengwe kanisa moja liwe na parttion kutokana na madhehebu ili Jumamosi na Jumapili wale watakaokuwa Coco beach wahudumiwe.Vinginevyo tuache roho mbaya.
Tatizo hao wengine Ibada ya si ibada ni shughuli,kuanzia saa moja asubuhi Hadi saa Saba mchana, wengine saa mbili asubuhi mpaka saa 11 jioni,watapishana vipi!?..halafu siyo wafanyaji ibada hao!!
 
Sasa mjukuu wa mtume ana nini kwenye dini!?..kwa nini usimtukuze mtoto wa mtume,fa'tima,ambaye ni mama wa huyo mjukuu!?

Sheikh Jalala
Kiongozi wa taasisi ya kiislam ya Shia Ithnasharia jijini Dar es salaam, Sheikh Hemed Jalala amewaomba waislam kote nchini kuendeleza mshikamano na umoja walio nao pamoja na kuheshimu imani za watu wengine ili kuleta maelewano mazuri katika jamii.

View: https://m.youtube.com/watch?v=bba_0w615Z4
 
Sasa mjukuu wa mtume ana nini kwenye dini!?..kwa nini usimtukuze mtoto wa mtume,fa'tima,ambaye ni mama wa huyo mjukuu!?
Yani Shia hawampendi Bi Ayesha mke wa mtume wa Mungu kwasababu alikuwa kahaba anagongwa hovyo hovyo. Licha ya Bi Ayesha kugongwa group sex alikuwa akioga uchi na hadharani mbele ya wanaume.
 
Wakiswali wanaelekea Makkah,na ibada ya hijjah huenda kufanya Makkah,huko kwa mjukuu wa mtume ni sawa na makonda kwenda kwenye kaburi' la magu

Hata Sheikh wetu nchini Tanzania, mwanazuoni Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania aliwahi kuonya juu ya dhehebu moja kuanza fitna, misuguano, kutishiana n.k dhidi la dhehebu jingine, wakati wote ni dini moja ya ki-Islamu..

19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha sawia na maktaba yake binafsi iliyosheni mabuku juu ya mabuku ya elimu duniya na ilm ya dini pia ktk utumishi ulitukuka kwa dini na jamii.

Pia sheikh Abuu Iddi ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano
 
Sheikh Jalala
Kiongozi wa taasisi ya kiislam ya Shia Ithnasharia jijini Dar es salaam, Sheikh Hemed Jalala amewaomba waislam kote nchini kuendeleza mshikamano na umoja walio nao pamoja na kuheshimu imani za watu wengine ili kuleta maelewano mazuri katika jamii.

View: https://m.youtube.com/watch?v=bba_0w615Z4

Sivunji maelewano baina ya madhehebu ya kiislam, infant mi ni pioneer wa umoja wa waislam bila kujali madhehebu,Ila haizuwii kuuliza swali,na naheshimu Imani yao
 
Hata Sheikh wetu nchini Tanzania, mwanazuoni Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania aliwahi kuonya juu ya dhehebu moja kuanza fitna, misuguano, kutishiana n.k dhidi la dhehebu jingine, wakati wote ni dini moja ya ki-Islamu..

19 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania

SHEIKH ABUU - HATARI INAKUJA TUSIPOTOA TAHADHARI KWA HAYA YANAYOENDELEA



Sheikh Abuu Iddi ambaye ni Msaidizi wa Mufti wa Tanzania ametoa tahadhari hiyo kwa kuwa inaweza kupelekea amani kuvunjika nchini Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi CV (wasifu) yake imesheheni nyadhifa kadha wa kadha sawia na maktaba yake binafsi iliyosheni mabuku juu ya mabuku ya elimu duniya na ilm ya dini pia ktk utumishi ulitukuka kwa dini na jamii.

Pia sheikh Abuu Iddi ni imamu mkuu msikiti wa Masjid Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam. Pia kwa miaka 16 amekuwa akiendesha kipindi ktk kituo cha televisheni cha Channel Ten kutoa daawa na darsa, mratibu Al Risala Foundation, Mratibu wa Kudumisha Amani katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwandishi wa kitabu kinachokwenda kwa jina Misingi 15 ya amani, mwandishi wa makala katika gazeti kubwa la Mwananchi pia ni Mshauri wa dini na jamii wa Mufti Mkuu wa Tanzania.

Sheikh Abuu Iddi ameelekeza tahadhari hii hususan kwa madhehebu ya Sunni Saudia na Shia linaloegamia Iran yanayo shambuliana kupitia propaganda kutoka maeneo mbalimbali ya dunia ya mitandao ya kijamii wakiongozwa na viongozi wao wa ndani na nje ya nchi kuchochea misuguano

Suala siyo wadhifa wa msemaji, infact nilikua namjibu mtu aliyedai shia wanahiji Karbala na si Makkah,ikiwa nguzo yake ya kuonesha tofauti za madh'hab ya kiislam
 
Yani Shia hawampendi Bi Ayesha mke wa mtume wa Mungu kwasababu alikuwa kahaba anagongwa hovyo hovyo. Licha ya Bi Ayesha kugongwa group sex alikuwa akioga uchi na hadharani mbele ya wanaume.
Pole sana, kelele zote za shia ni kutokana na Ali (binam wa mtume) kutorithi Dola ya kiislam,ni siasa.. nothing else
 
Back
Top Bottom