Amesema, biashara inayofanyika inaharibu maadili, anaomba waziri Asaidie kuikomesha.Amesemaje?
Source Jambo TV
Weka video sio kuchukua maneno ya kuedit na kupost.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema, biashara inayofanyika inaharibu maadili, anaomba waziri Asaidie kuikomesha.Amesemaje?
Source Jambo TV
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2960][emoji2960]Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Wewe ndiye Meya Songoro?Amesema, biashara inayofanyika inaharibu maadili, anaomba waziri Asaidie kuikomesha.
Weka video sio kuchukua maneno ya kuedit na kupost.
Wewe ulivaa miwani mpaka unaitajavaa miwani
Asilimia chache sana wanao ingia kwa ajili ya ugumu wa maisha.Namna ya kukabiliana na tatizo ni kutoa mitaji kwa vijana wajiajiri,Lowassa alishasema miaka kama 10 iliyopita kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana ni Bomu linalosubiri kulipuka,ndio haya sasa matokeo.
Wengi wanaingia huko sio kwa kupenda,ni shida ndio inawalazimisha