Meya Songoro: Tumeshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba, tutaomba ihalalishwe wasajiliwe

Meya Songoro: Tumeshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba, tutaomba ihalalishwe wasajiliwe

Badala ya kusimamia maadili yeye kwa fikra zake anataka kuhalalisha haramu!!??
Hatufai huyu
Hv unadhani hayo mambo yakihalalishwa mabinti zetu watakuwa wapi!???
Anaongea kama vile sio baba wa familia!!??
Apishe kiti huyu kazi imemshinda na amekiri wazi hawezi kupambana na makahaba. Aje mtu mwingine mwenyewe mwenye mbinu mbadala.
Nani aliyeweza kupamba na makahaba?
Kumbuka hakuna sheria inayokataza mtu kujiuza ndio maana wanafunguliwa makosa ya uzururaji.

Ni rahisi zaidi kudhibiti kwa kutenga maeneo maalumu kuliko Sasa inavyofanyika holela kati kati ya makazi ya watu.

Mfano: Kigamboni ikawa ni red zone with red lights na makahaba kupewa leseni watakazo lipia, kupimwa hali zao kiafya wanapotaka kila baada ya muda fulani.

Kulipa Kodi na kulinda ujasiliamwili kwenye maeneo tengefu
 
Kwa lugha nyingine, Dunia ilipo na inapokwenda, ni mahali pa hatari zaidi, na kwa kasi iliyoko nyuma ya mambo hayo, serikali zetu hizi za kupewa maagizo na nguvu iliyowekeza kwenye mambo hayo miaka mamia iliyopita, haitaweza kuzuwia kamwe!

Kwani tayari maji ya mafuriko yalishafika pahala pa mteremko haitawezekana kuyazuia yatakufagia na wewe mzuiaji!

Miaka ya huko ya mababu zetu, jinsia zote zilizaliwa katika ukamilifu wake!

Kwa sasa ni changanyikeni, kumekuwepo na muonekano wa sura tu kwamba, yule ni ME na yule ni KE lakini ukifuatilia, ni tofauti kabisa!

Huo ni uwekezaji uliofanywa miaka mingi iliyopita! Wengi wameathirika na uwekezaji huo!

Na ili hasira na ghadhabu za muumbaji zifike kwenye kilele cha kushindwa uvumilivu! Hayo hayana budi kuwako!

Najiuliza tu, kukihalarishwa, tayari biashara hiyo ya umalaya na ushoga! Maana yake hakutakuwa na kubughudhiwa tena na itakuwa ni jambo la kawaida kama wafanyavyo watu wa kawaida?

Mwanaume kumfuata mwanaume mwenzake mchana kweupe kumtaka kimapenzi na kisha waingie guest mchana kweupe?

Kama ndivyo! Kuna la ziada ambalo bado halijafikia kiwango cha sodoma na gomola?
Tofautisha Ushoga na hili linalozungumzwa hapa
 
Nani aliyeweza kupamba na makahaba?
Kumbuka hakuna sheria inayokataza mtu kujiuza ndio maana wanafunguliwa makosa ya uzururaji.

Ni rahisi zaidi kudhibiti kwa kutenga maeneo maalumu kuliko Sasa inavyofanyika holela kati kati ya makazi ya watu.

Mfano: Kigamboni ikawa ni red zone with red lights na makahaba kupewa leseni watakazo lipia, kupimwa hali zao kiafya wanapotaka kila baada ya muda fulani.

Kulipa Kodi na kulinda ujasiliamwili kwenye maeneo tengefu
Jamii yetu haijafika huko mnakolazimisha tuende. Eboo. Bongo kuna ukahaba au maigizo tu !!?
Wawezeshe kwa mitaji hao wanawake unaoita makahaba kama utawaona huko
 
Huwezi kukusanya kodi kwenye chanzo haramu,hilo hata yeye anajua,anakuwaje yuko sahihi wakati anajua utamaduni na ustaarabu wa Tanzania hauruhusu na yeye ni Kiongozi? kusema Serikali imeshindwa kudhibiti kwahio iruhusu huo ni uhuja,kesho watasema serikali imeshindwa kudhibiti ujambazi kwahio tuwaruhusu?

Kama ni maoni yake binafsi sawa,ndio maana tunasema katiba mpya muhimu ili apeleke maoni yake yafikiriwe

Pombe ni halali?sigara ni halali? Na mbona wanakusanya kodi nyingi tu,uhalali na uharamu wa kitu ni mitazamo binafs tu ya jamii husika,
 
Ndo kwanza tunapambana na kurasimisha wafanyabiashara rasmi kidigitali wasiweze kukwepa kodi, malaya tutawaweza vp? Unathibitisha vp kuwa hapa anatoa huduma kwa mpenzi na hapa anauza? Labda utenge maeneo rasmi ya kuwauza na kwa watz tulivyo wanafiki hutaona mteja hata mmona ila watauziana, serikali itakutana na condom tu zilishatumika.

Halafu wakifika mauzo ya m100 na zaidi wanaungwa VAT?

Watafungiwa kifaa maalumu kwenye k,kinaitwa pussyefd au pussyspedometer.
 
Serikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.

Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.

Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.

[emoji419] Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.

[emoji419] Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kwa ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.

Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .

Una element za kigaidi chunga sana hii nchi sio iran.
 
Kama Serikali iliweza kudhibiti Magaidi wa Kibiti,

Ishindwe vp kuzuia UKAHABA?

Kama viongozi wameshindwa wapishe Ili waje watakaoweza!!

Tofautisha magaidi na makahaba,mana hata mkeo ndani anaweza kiwa kahaba,pia hao polisi ndio wanaokula mizigo,ukute hata mawaziri na viongozi wakubwa wanapata huduma kutoka kwa makahaba,hii vita huwezi shinda hata siku moja,
 
Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Hapo kwenye ukaguzi ndipo patageuka neema kwa wale Wazee wa mtelezo kama akina "Mzabzab na Mzee wa kupambania" [emoji1]
 
Meya anaonaje PANYA road wakisajiliwa kabisa wawe wanalipa Kodi maana ni kama wameshindikana.

Kusajili makahaba ni kukusanya UJIRA wa MBWA.

Kahaba ni mbwa ktk Roho.

Enyi viongozi vipofu, nani atawaponya na upanga ulionyooshwa juu yenu?
nini maana ya kahaba ni mbwa ktk roho, mkuu Rabbon ?
 
Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Wtf 😂😂😂😂!!! I laughed Soo hard. You're right anyway.
 
Back
Top Bottom