Meya Songoro: Tumeshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba, tutaomba ihalalishwe wasajiliwe

Meya Songoro: Tumeshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba, tutaomba ihalalishwe wasajiliwe

Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
🤣🤣🤣🤣
 
Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Kodi za ukahaba 🤣🤣
 
Bora wahalalishe!Wachukue na kodi ili tuache kubanana na kodi sisizo na kichwa wala miguu!Pia wakihalalisha wakague na viwango kama vinaendana na bei,mambo ya kuuziwa elfu50 halafu ukifika ndani **** mdebwedo,utamu hamna,harufu kama panya kafa hatutaki.
Bashe si alisema mali za watu Siyo za umma?
 
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni amesema Wameshindwa kupambana na Biashara ya Ukahaba hivyo Wataomba Ihalalishwe na Wasajiliwe Kabisa

View attachment 2528343

Chanzo: Jambo TV
Badala ya kusimamia maadili yeye kwa fikra zake anataka kuhalalisha haramu!!??
Hatufai huyu
Hv unadhani hayo mambo yakihalalishwa mabinti zetu watakuwa wapi!???
Anaongea kama vile sio baba wa familia!!??
Apishe kiti huyu kazi imemshinda na amekiri wazi hawezi kupambana na makahaba. Aje mtu mwingine mwenyewe mwenye mbinu mbadala.
 
Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaoweza

Kwa kusema hivo tu apumzike????
Sasa si watapumzika watu wote??
Itakua nchi ya design gani?
 
Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaoweza
Serikali huwa inashindwa, hata nchi kubwa super power kuna mambo inashindwa.
Mbona serikali imeshindwa kujenga hospitali na zahanati kila mkoa, wilaya, kata na tarafa? Maji vipi? Umeme vipi? Rushwa umeanza kusikia tangu muda gani? Imeisha?
Vipi kuhusu barabara zimejengea kila mkoa mpk vijijini?
Hata km wewe, huwezi kumaliza hili suala.
Maisha usiyachukulie poa. Siku hizi serikali haiajiri watu tena kwahiyo mrundiko wa jobless ni mwingi sana mtaani
 
Mkuu,Serikali ni Binadamu sio Mungu,
Mkuu kwa sikio la tatu hiyo kauli ni ya Songoro, Meya mwenye kujua wajibu wake akitumia vizuri vyombo vyake vya kazi hawezi kudeclare ameshindwa hiyo ndiyo hoja yangu

Kwamfano, akionekana anapata huduma kwa moja ya kahaba implication yake ni kwamba hitaji ni la Songoro😅🤣😂 siyo Meya
 
Kwamba PANYA road wasajiliwe pia wawe wanalipa Kodi maana ni kama wameshindikana.

Kusajili makahaba ni kukusanya UJIRA wa MBWA.

Kahaba ni mbwa ktk Roho.

Pia mods mjiridhishe na source za thread kabla hazijaruhusiwa kuepuka taharuki, meya hajasema hivyo.
 
Hivi kwa akili ya kawaida serikali huwa inashindwa jambo? Hayo ni maneno yake binafsi, huenda na yeye ni mteja, nashauri 2025 apumzike awaachie kazi wanaoweza
SERIKALI ya AJABU SANA IPO SIKU SERIKALI ITASEMA IMESHINDWA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA hivyo WAUZAJI WAPEWE "LESENI"
 
Mkuu inaonekana umeathirika na ugonjwa wa Politicsmithithi unapenda kudanganywa!!...Bora huyu mwanasiasa lkn amenyooka kusema ukweli!!!
UKWELI upi,

Wazazi kwann wapeleke watoto wa kike shuleni kupoteza muda wakati UKAHABA utakuwa ni Ajira rasmi?

Serikali haitakuwa na haja tena kusajili NDOA, sababu UKAHABA utakuwa na ujira mkubwa kuliko NDOA.

Hivi mmelaaniwa na nani kizazi hiki?
 
Meya anaonaje PANYA road wakisajiliwa kabisa wawe wanalipa Kodi maana ni kama wameshindikana.

Kusajili makahaba ni kukusanya UJIRA wa MBWA.

Kahaba ni mbwa.

Enyi viongozi vipofu, nani atawaponya na upanga ulionyooshwa juu yenu?
[emoji28][emoji28]
 
UKWELI upi,

Wazazi kwann wapeleke watoto wa kike shuleni kupoteza muda wakati UKAHABA utakuwa ni Ajira rasmi?

Serikali haitakuwa na haja tena kusajili NDOA, sababu UKAHABA utakuwa na ujira mkubwa kuliko NDOA.

Hivi mmelaaniwa na nani kizazi hiki?
Kwani hawajashindwa kudhibiti ukahaba?
 
Kwa lugha nyingine, Dunia ilipo na inapokwenda, ni mahali pa hatari zaidi, na kwa kasi iliyoko nyuma ya mambo hayo, serikali zetu hizi za kupewa maagizo na nguvu iliyowekeza kwenye mambo hayo miaka mamia iliyopita, haitaweza kuzuwia kamwe!

Kwani tayari maji ya mafuriko yalishafika pahala pa mteremko haitawezekana kuyazuia yatakufagia na wewe mzuiaji!

Miaka ya huko ya mababu zetu, jinsia zote zilizaliwa katika ukamilifu wake!

Kwa sasa ni changanyikeni, kumekuwepo na muonekano wa sura tu kwamba, yule ni ME na yule ni KE lakini ukifuatilia, ni tofauti kabisa!

Huo ni uwekezaji uliofanywa miaka mingi iliyopita! Wengi wameathirika na uwekezaji huo!

Na ili hasira na ghadhabu za muumbaji zifike kwenye kilele cha kushindwa uvumilivu! Hayo hayana budi kuwako!

Najiuliza tu, kukihalarishwa, tayari biashara hiyo ya umalaya na ushoga! Maana yake hakutakuwa na kubughudhiwa tena na itakuwa ni jambo la kawaida kama wafanyavyo watu wa kawaida?

Mwanaume kumfuata mwanaume mwenzake mchana kweupe kumtaka kimapenzi na kisha waingie guest mchana kweupe?

Kama ndivyo! Kuna la ziada ambalo bado halijafikia kiwango cha sodoma na gomola?
 
Serikali si washikaji wenzetu.
Swala dogo sana kukomesha ukahaba kwanza kuna njia mbili hapa naziona.
Nchi iongozwe kwa misingi ya dini ya kiislamu.

Au wafunge bar, casino,club, saloon zenye huduma ya massage nadhani hapa watakuwa wamefika hata asilimia 70.

Serikali haiwezi kusema imeshindwa kuthibiti ukahaba ilo nakataa kabisa sema kwakuwa wanunuzi nao wako serikalini inakuwa ngumu sana kuwa na mikakati thabiti.

[emoji419] Jiulize hao makahaba pindi wanapokamatwa mbona wanaonga pesa na wanatolewa. Afu kufanya kazi ya ukahaba ni upungufu wa MAARIFA afu akili chenga.

[emoji419] Wasichana wanatoka mikoani kuja dar kufanya shughuri za ukahaba mwingine anakuja kujificha bar kwa ni mhudumu wa bar kumbe anauza sangara.

Wanakataa kuuza karanga wanaona wauze miili yao .
Mkuu kwenye nchi zinazoongozwa kwa misingi ya dini ya kiislamu kamwe hakuna makahaba?.
 
Back
Top Bottom