JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Meya wa Manispaa ya Tabora, Ramadhan Kapela, amewataka vijana wa Manispaa hiyo kumkamata mtu yeyote atakayeonekana anatupa takataka hovyo mitaani ili kuimarisha hali ya usafi wa Manispaa.
Chanzo: ITV
Pia soma ~ Uchafu wa Stendi ya Mabasi Tabora unatishia Afya za watu
Chanzo: ITV
Pia soma ~ Uchafu wa Stendi ya Mabasi Tabora unatishia Afya za watu