Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu baba Jesca ni zaidi ya shetani!Kuna mambo ambayo watu wanayafanya unajiulizaaaaa hadi hupati majibu, sasa unatumiaje madaraka yako ya umma kuwaondoa watu waliochaguliwa na umma? Hivi huyo mtu mmoja tu akiwa hapo utakufaaaaa? Na Kwa nini unataka uchukue asilimia Mia moja Kwa kutumia nguvu? Ili iweje? Daaaaah sijui tumefikaje hapa yani watu wanasikitika Sana na hiii hali Lakini ipo Siku tu hawa yatawakuta Kama yaliyomkuta logemarila
Sent using Jamii Forums mobile app
Da HepiDc Hepi bwana
Uongo Mwingine wa kijinga!!!Meya wetu Iringa Mjini Ametuheshimu WanaIringa Tuliomchagua na Chadema chama kilicho mpa Dhamana.
2016 Alipewa Million 150 akazitosa, akapewa 2017 akapewa 180 akazitosa , 2019 Walimletea milion 200
250
300. Three times
Leo anaingia Chumba cha kuvaa Ameletewa Milion 400 amewatosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
2/3 ya 26 ni 17..Nilikuwa nauliza tu naomba watalaamu wa hesabu mkoani Iringa mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama itakupendeza ungeelewa kwanza nilichouliza naona umekurupuka sina shida na kuondolewa au kutoondolewa nimeuliza 2/3 ya 26 ni 14?Meya kishang'oka iwe akidi imetimia au haijatimia kwani Meya w DSM alipong'olewa akidi ilitimia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama itakupendeza ungeelewa kwanza nilichouliza naona umekurupuka sina shida na kuondolewa au kutoondolewa nimeuliza 2/3 ya 26 ni 14?
Sent using Jamii Forums mobile app
Interesting indeedMeya kishang'oka iwe akidi imetimia au haijatimia kwani Meya w DSM alipong'olewa akidi ilitimia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unapost ujumbe wako alikuwa hajag'olewa? Au ulikuwa umelala?
Bwashee akidi ilitimia ambayo ni wajumbe 17Nilikuwa nauliza tu naomba watalaamu wa hesabu mkoani Iringa mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pambaNilikuwa nauliza tu naomba watalaamu wa hesabu mkoani Iringa mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Meya kishang'oka iwe akidi imetimia au haijatimia kwani Meya w DSM alipong'olewa akidi ilitimia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu mnapenda kuhurumiwa sana. Kwa hiyo polisi waliingia kwenye ukumbi na kupiga kura?