Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

Huu ujinga wapinzani wenyewe ndio wanasababisha, km wamejua sheria na taratibu hazijafatwa wameshindwa nini kukomaa nao mpaka kikaeleweka!!? Wakati mwingine wapinzani mnatukera mnatuvunja moyo na mnatukatisha Tamaa. Sasa km tunanyang'anywa umeya kizembe namna hiyo, tutaweza kusimamia ushindi wa madiwani wabunge na urais?! Nan atawaongoza wananchi katka kusimamia na kulinda ushindi huo?! Wapinzani badilikeni bwana wakati mwingne mnatukera Sana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni kichaa huelewi mambo yanavyoenda
 
Back
Top Bottom