Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

Ujinga na upumbavu mwingine tokea kwa chama kinachojinasibu kama chama cha kutetea wanyonge..
 
Huyu baba Jesca ni zaidi ya shetani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo Uongo Mwingine wa kijinga!!!
 
Kuna vitu vinafanya nifikirie sana juu ya tafsiri halisi ya demokrasia ni nin? Je ni wengi wape hata kama wanakosea au ile ya Mwalimu Nyerere mwaka 1992 juu ya kuanzisha vyama Vingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon nchi yangu inakuwa BANANA REPUBLIC l
 
Nilikuwa nauliza tu naomba watalaamu wa hesabu mkoani Iringa mnisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee akidi ilitimia ambayo ni wajumbe 17

Inapopigwa kura kinachoangaliwa ni wingi wa kura siyo akidi.

Chadema kama walikuwemo ukumbini basi huo uamuzi ni halali meku.

Lakini ni uamuzi usio na tija masna hata huyu Meya wa Dar aliyeingilia dirishani anaogopa kuwazuia mwendokasi kujaza abiria kupita kiasi ili kuidhibiti Corona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…