Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Meya anyang’anywa gari, ofisi yafungwa. Adai kuwa yeye bado ni Meya halali

Ccm ni wajinga sana,hapa namuona Paul Makonda (Bashite) akitaka kumpokonya Boniface umeya wa jiji kwa kuwa Boniface alishawahi kuligangamalia suala la vyeti vya Bashite!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipo haribu ni kusema raisi Alingilie Kati hilo swala ngoja nisiseme chochote nisikilizie tu nini kitatokea Mara baada ya hapo
 
Hizo bilioni 5.8 zingejenga madarasa mengi sana na kufanya watoto zaidi ya 5000 kuingia masomoni hapo Dar.Huyo meya ni wa kufurushwa mapema
Aliyelipa hizo pesa anafanya nini gerezani?
 
Dar ni mali ya upinzani tangu 2015 na huo ni ukweli. Kazi ya kuirudisha kwa mmiiki wa kabla ya 2015 inaambatana na baadhi ya mambo ya machafu.
 
Namshangaa Neya anapoomba Raia aingilie kati.... Hivi anafikiri haya yanafanyika bila kupata Baraka toka juu.....!!
 
Kutokutumia pesa za wananchi ni kuwanyima wananchi maendeleo,kuwanyima wananchi maendeleo ni kosa. Mengine sijui mkuu.

macson
Duuuh,basi tukakwapue hazina yote tubaki weupe!
 
Magufuri atakuwa alielekeza kuhakikisha wakati anarudi Dar hilo jiji lisiwe na MEYA wa Upinzani.

Ambacho anashindwa kukumbuka huyu meya alichaguliwa kwa ridhaa ya wananchi baada ya kuchaguwa madiwani wengi kutoka upinzani.

sisi wananchi tunafuatilia kwa karibu sana, kiwango cha dharau anachoonyesha Magufuri dhidi ya maamuzi yetu ya kikatiba.
Na ajue, tunajua, analiongoza Taifa hili kwa njia za ukwapuaji. hakushinda uchaguzi wa mwaka 2015.

Na kama anachokifanya kinatokana na kiburi cha kuliongoza Taifa japo hakushinda uchaguzi, tunampa salamu. haya mambo yana mwisho, aombe Mungu mwisho usiwe wakati wake.

Jiheshimu uheshimiwe
 
Amani ni kama afya ya mwili. Ni lazima itunzwe ila ukiamua kuibomoa unaweza mfano kwa kunywa viroba. Naona watu wameamua kinywa voroba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hizo tuhuma nyepesi hata kama ni kweli????
 
Hili lilishajulikana mapema sana, ccm kama hawakutaki watakuondoa hata kwa lazima,huko mahakamani alipokwenda kuzuia hilo sijui imekuaje..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishangaa sana jana eti Hakima anasema alikuwa amepanga kutoa uamuzi wake leo (tar 10/01/20) kwa sababu alikuwa hajamaliza kuandika, wakati yeye anapanga kutoa uamuzi juu ya shauri hilo huku kikao knaendelea cha kumuondoa meya madarakani as if hakuna issue yeyote imepelekwa mahakamani
 
Social Political Dimensional barriers will not be easily overcome d, It's a central and highly complex impediment of progress, especially if you do not recognise them as such!

Ufanyeje sasa;

Self identification as part of a Global community ndo dawa! wana JF!
 
Wapo wapi akina Iddy Amin dada na yule msaidizi wake mnyama mwenye Roho mbaya kama ya Daud Bashite alijulikana kwa jina la Maliyamungu , wapo wapi alina Sadam Hussein, Gadafi, Bokasa, Abacha, Mabutu, chiluba, Allbashiri na wenzao wenye Tabia kama zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…