Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Meya anyang’anywa gari, ofisi yafungwa. Adai kuwa yeye bado ni Meya halali

Meya aligoma fedha hizi zisitumike kwa sababu zipi....yaani ni nini hasa kilitokea?
Hizo pesa ni za malipo ya ununuzi wa shirika la uda kwa Saimon Group .mchakato ambao wao kama chadema waliuona ni ubatili kwa hiyo na fedha zake ni batili.
Kama vipi tafuta mtandaoni " kesi ya idi simba kuhusu uda"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…