evangelical JF-Expert Member Joined Nov 21, 2011 Posts 5,035 Reaction score 8,218 Jan 14, 2023 #161 peno hasegawa said: Sasa kuna Jiji la Ilala au halipo tena? Pili je jiji la Dar Bado lipo au lipo la Ilala? Click to expand... Sasa kuna halmashauri ya Jiji la DSM , Oliyokuwa inaitwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ndio imekufa. Hakukuwahi kuwa na kitu kinaitwa Jiji la Ilala, kuna wilaya ya Ilala tu,
peno hasegawa said: Sasa kuna Jiji la Ilala au halipo tena? Pili je jiji la Dar Bado lipo au lipo la Ilala? Click to expand... Sasa kuna halmashauri ya Jiji la DSM , Oliyokuwa inaitwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ndio imekufa. Hakukuwahi kuwa na kitu kinaitwa Jiji la Ilala, kuna wilaya ya Ilala tu,
Rayz JF-Expert Member Joined Sep 27, 2016 Posts 339 Reaction score 261 Jan 14, 2023 #162 PureView zeiss said: Kumbukeni huyu mama ni mzanzibar sikuzote huwa hapendi sifa za kijinga sidhani kama mama atapenda Aina hii ya sifa Click to expand... Kimsingi hilo halitafanyika
PureView zeiss said: Kumbukeni huyu mama ni mzanzibar sikuzote huwa hapendi sifa za kijinga sidhani kama mama atapenda Aina hii ya sifa Click to expand... Kimsingi hilo halitafanyika