Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

0EF2318C-64AF-475C-A9AB-FE340E6F135F.jpeg
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
huwa nadhani huu ukumbi ni maalumu kwa mambo ya msingi. kumbe hata kwa mambo ya kipumbavu namna hii!!
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Kwakweli hii inadhihirisha ni jinsi gani tupo mbele ya ujinga kuliko ujinga wenyewe

Usishangae sana kaka hiyo ni version mpya ya wale buku 7 wa awamu ya 5

MAMBUZI WANA MBINU NYINGI ZA KUTAFUTA SHAMBA LENYE MAJANI LAINI

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani Meya wa Jiji mama anakosa ubunifu kiasi hiki? Huyu ni zao la Elimu duni CCM waliwekeza.
Haiwezakani kabisa Meya na ndevu zake anaenda kuzindua kampeni ya kijinga hata mwanangu wa darasa la pili hawezi kuwaza kijinga namna hii, No wonder jiji limejaa uchafu kila kona, kumbe tuna Meya kiazi namna hii
 
Mi naombea wazindue hao machawa ili CCM ife rasmi,na tarehe 21 Chadema wawapige vilivyo kwenye uzinduzi wa Kampeni,huku mtaani mambo ni magumu sana hakuna wa kusema wala kutenda,Leo watu wanajikusanya ili kuwa machawa wa Samia.

Sasa acha wazinduliwe hao machawa,najua ndio hao watakuwa wanamtetea mama yao akipigwa Spana na upinzani, Kwanza machawa akili zao zinaendeshwa na matumbo,badala ya kujibu hoja wao watakuja na vioja ndio hapo anguko la Samia na CCM litakapoanzia,enzi za kuzomewa mtaani zinawarudia.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?

Bila shaka mwenyekiti wao atakuwa ni sitivu nyerere
 
Hizo ndizo kazi za Mayor?

Jiji linanuka kwa uchafu!! then jiongozi pumba.vu linaenda kuidhalilisha CCM na mauzinduzi ya kijinga kama haya!

Rais Samia usikubali kudhalilishwa na hawa Wachumia tumbo!

Piga marufuku maujinga kama haya ya kutumia Jina lako vibaya!

Hilo neno au maneno " CHAWA WA MAMA" linakera masikioni na vichwani mwa watu wenye akili!

Hawa walishajitoa ufahamu wanaweza kunya hata hadharani ili mradi mkono uende kinywani!
Umeandika kwa hisia za juu Kama mlima Kilimanjaro
 
Upuz mtupu,waingie barabarani wakafanye usafi huko nako ni kutawaonesha wanamuunga mkono
Rais

Ova
kuunga mkono ni kitu tofauti , hawa ni chawa , yaani wanataka kula mgongoni mwa mama
 
Ujinga mtupu! Tayari hayo ni matabaka katika chama na serikali. Wengine wataonekana wa hovyo. Kuna walimu viherehere waliwahi kutaka kuunda jukwaa la walimu wazalendo enzi za JPM Bashiru amawapiga marufuku kuwa wanataka kuleta mgawanyiko. Mama naona anakumbatia sumu itamuua
 
Hao chawa unakuta wananuka madeni kila mahali kutokana na ugumu wa maisha.

Nauli ya kufikia eneo la tikio wamekopa.

Maji waliyotumia kuoga wamechota kwa jirani.

Ukosefu wa ufahamu ni tatizo kubwa sana kwa sasa ingawa Mbwembwe kibao.
Huo ndo mtaji wa chama cha mambuzi
 
Chawa ni parasite, anaishi kwa kificho.
Hebu jaribu kufikirisha akili, tafuteni jina lingine.
Naamini chama kina watu smart..
 
Mlimnanga sana mwendazake na kumsifia kwa sana mama, sasa kiko wapi? we kubali tu yaishe kama alivyofanya mwenyekiti wako, kwa siasa za Tanzania ukiziweka sana kifuani utapata ugonjwa wa moyo na kuacha familia yako ikiteseka, Jenerela Ulimwengu ana kamsemo kake kila ''mtu na kamhogo kake'' wacha watuwasifie ndivyo wanavyoishi kula yao inategemea na upepo wa mwenye kigoda.
Hii topic sidhani kama inamuhusu Mwendakuzimu lakini hata yeye alikuwa na chawa wengi sana ila kwa majina tofauti, wengine wapo humu JF wanapambana kulinda 'legacy' yake.
 
Back
Top Bottom