Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na unalipa zaidiii.Tunalipeleka taifa kusiko, vijana wetu watadhani kwamba Uchawa ni kazi kamili. (professional)
we haumo mkuu ?
Kila siku ccm inakuja na kituko kipya
Hakuna namna,Imegeuza vijana kuwa chawa baada ya kupigika mtaani bila ajira.
Wamebuni ajira mpya ya uchawa
Hekima sasa inabidi itumike hapa badala ya kutumia neno CHAWA, atafute neno jingine asije akazindua kitu ambacho kinaweza kikaleta NEGATIVE CONNOTATIONS ambazo zinaweza kupelekea kumporomosha Mama kisiasa.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA ...
vijana wa Tanzania wana mambo mawili tu , kubet na uchawaUchawa imekuwa ajira rasmi[emoji2372][emoji15]
Mzee wangu wa kitaa songoro mnyonge tena hapo hakosiMayor in Tanzania:
Payment ni USD 1,500
Powers:
1.Preparing Chawa wa mama Concert....
Kutwa hawa wanataka tuone mauno ya wasaniii tuunadhani tutaweza kutoboa kwa style hii
Cjui Taifa linapelekwa wapi na hawa watu asee!!!Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA...
Halafu zuchu anataka akajaze New York 🤣🤣Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA...