Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
[emoji850]
JamiiForums634242635.jpg
JamiiForums2073952431.jpg
JamiiForums1688563994.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka huyu kumbilamoto ashindwe kujibu swali la Odemba was star tv..kwamba kwanini wameondoa picha ya meya aliyepita meya mwita kwenye picha za mameya waliowai kuongoza Jiji la Dar
 
Kwa CDM haya mambo wanatakiwa kuyafurahia ni kama vile CCM inawafanyia promo ya bure na kuonyesha uoga wao.

Yaani ata kama kulikiwa na baadhi ya watu moyoni washahitimisha CDM hawana jipya, huu upuuzi wa CCM unawafanya waamke upya kwa hamu kwenda kwenye mikutano ya CDM.

Ila huyo anatafuta chaka tu lakupigia hela. Ndio ubaya wa kuwa na madiwani wa chama kimoja wanaoweza pitisha budget ya kipuuzi ivyo as if hiyo hela isingeweza tatua changamoto kadhaa za wananchi.
 
Kama hilo litatokea kweli, mimi nitakuwa mstari wa mbele kuhamasisha watu kuikataa katakata CCM katika chaguzi zijazo.

Kuanzia hapo nitaichukia na kuilaani CCM milele yote.
 
Kwa CDM haya mambo wanatakiwa kuyafurahia ni kama vile CCM inawafanyia promo ya bure na kuonyesha uoga wao.

Yaani ata kama kulikiwa na baadhi ya watu moyoni washahitimisha CDM hawana jipya, huu upuuzi wa CCM unawafanya waamke upya kwa hamu kwenda kwenye mikutano ya CDM.

Ila huyo anatafuta chaka tu lakupigia hela. Ndio ubaya wa kuwa na madiwani wa chama kimoja wanaoweza pitisha budget ya kipuuzi ivyo as if hiyo hela isingeweza tatua changamoto kadhaa za wananchi.
Umesema ukweli mtupu

Mtaalam wa kodi

Ova
 
Safi sana ni tukio la kwanza kabisa la kihistoria tangu tupate uhuru haijawahi kutokea👏👏👏Mama,doctor, chief anaupiga mwingi sana sana.
 
Hao chawa unakuta wananuka madeni kila mahali kutokana na ugumu wa maisha.

Nauli ya kufikia eneo la tikio wamekopa.

Maji waliyotumia kuoga wamechota kwa jirani.

Ukosefu wa ufahamu ni tatizo kubwa sana kwa sasa ingawa Mbwembwe kibao.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Jiji la Dar Lilifutwa na JPM na kubaki Jiji la Ilala.
Mbona kuna Jiji la Dar tena?
 
Huwa nikifananisha Mayor wa duniani na wa kwetu naona hata udereva asingepewa
Hebu angalia nguvu za Mayor wa majiji makubwa na kazi zao halafu anakuja mwingine kwa cheo hicho hicho anaandaa upuuzi huu

Poleni sana View attachment 2478383View attachment 2478384View attachment 2478385
Mayor in Tanzania:
Payment ni USD 1,500

Powers:
1.Preparing Chawa wa mama Concert.
2.Reading Newspapers in the office.
3.Eating tea and lunch everyday.
4.Preparing roads for presidential convoys.
5.Embezzlement of city collections.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Kama hujawahi kuona au kusikia popote duniani basi jua tupo mbele ya Muda-Time traverse
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom