Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

Meya wa Jiji la Dar kuzindua kinachoitwa 'Chawa wa Mama'

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
Rais Hassan anajua nguvu yake ndogo na nyepesi muhimu ajipange kwa nguvu ya ziada kuvuka vikwazo, Musiba alikuwa chswa wa Magufuli
 
Iliyofutwa ni halmashauri ya Ilala , ikapandishwa hadhi na kuwa Jiji la Dar , lengo la Jiwe ni kuengua Temeke , Kinondoni , Ubungo na Kigamboni , kutokana na Wivu tu na roho mbaya tu
Sasa kuna Jiji la Ilala au halipo tena?
Pili je jiji la Dar Bado lipo au lipo la Ilala?
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .

Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya habari inaonyesha kwamba shughuli hiyo itasimamiwa na Mstahiki Meya Kumbilamoto , na Kwamba Wasanii kadhaa watatumbuiza , akiwemo Zuchu kutoka Wasafi .

Bali hakuna vigezo vyovyote vilivyotajwa kwa mtu kutambulika kuwa Chawa , lakini tunadhani Kusifia sifia kila kitu yaweza kuwa kigezo kikuu

Kwangu hili jambo ni jipya kabisa , na kwa kweli sijawahi kuona jambo kama hili likizinduliwa popote Duniani , Je sisi tuko mbele zaidi au tuko nyuma ?
kwa maneno mengine, kama jambo hili lingekuwa lipo huko duniani - ungekuwa ni mkutano wa ufunguzi wa wafuasi wa raisi "husika" sasa sijui ni kuwajua wafuasi, kuwatia moyo au nini! Na hii ni Januari, karibu tanzania!
 
Sasa kuna Jiji la Ilala au halipo tena?
Pili je jiji la Dar Bado lipo au lipo la Ilala?
kuwa mwepesi kuelewa mkuu , ilala imebadilishwa na kuwa jiji la Dar , wengine wametimuliwa , yaani Buguruni kwa Mnyamani ni Jiji lakini masaki , Mbezi Beach , oysterbay ni nje ya jiji
 
Back
Top Bottom